Uume wangu umeshindwa kusimama

james2018 pole sana. inaonekana mchepuko wako hana mvuto na anakukinai mapema hivo unajilazimisha kumrizisha. Au mkeo kakukarabati?
 
Naitwa James nimeoa na nina watoto wa4, pamoja na kua nimeoa ila nje nina mchepuko

Nilipokua na huu mchepuko kwa mara ya kwanza kufanya nae mapenzi nilipiga show nzuri tu bila tatizo lolote siku nyingine Nilipo taka kufanya nae mapenzi kwa mara ya pili uume wangu ulisimama kabla ya tendo baadae ukanywea na nikashindwa kusimamisha tena na kushindwa kufanya tendo nikajua ni hali tu ya kawaida na yeye akanielewa

Kwa mara ya tatu nimekutana nae tena nikafanikiwa kusimamisha uume na tu Kashiriki tendo vizuri tu

Kwa mara ya nne uume ulisimama ghafla ukanywea tena nikashindwa tena kufanya tendo tukaondoka lodge

Kwa mara ya tano pia Hali imejitokeza hivi hivi uume unasimama baadae unanywea kabla ya tendo.

NAHITAJI MSAADA WENU WAKUU JUU YA TATIZO HILI, HALI HII INANIFANYA NIOGOPE HATA KUMUOMBA TENA GAME. AMEKUA AKINIOMBA TUFANYE NAE NIMEKUA NAMKWEPA KWEPA SIJUI TATIZO NINI

Naomba mnisaidie. Uume wangu unashindwa kusimama. NISAIDIENI TAFADHALI
Ebu jaribu kumshirikisha mkeo hiki kisa nadhani atakushauri vizuri tu
 
sasa bana itabidi tuu ujiweke kwenye listi ya mkulo mwenyewe! kuwa na ww ni kon××
 
Je unapokuwa na mkeo hali inakuaje? na je huyo mchepuko mazingira yake yakoje? anamume? bwana?

Mazingira yanatia wasiwasi kama pana mchezo mchafu hivi unafanyika.

Ila ukigundua kuna kajimchezo hata kama ni wife mtimue. Washirikina ni watu wabaya sana.
 
Back
Top Bottom