Management by objective
😁😁😁
Hiii ni kwa kitrump ikiwa kwa kibongo ndio tusiZenye T ... ASS ni nyingi tuuuu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nadhani O imerukwa kuondoa mkanganyiko kati ya O na 0 (O na sifuri).
Hizo herufi huwa hazitumiki, zinafanana na tarakimu 1 na 0. nakumbuka hata TZO ilirukwa miaka hiyo.
Kwenye mfumo wa plate number za magari naona kama herufi O imerukwa.
Yaani hii namba mpya D.
Baada ya kumalizika kwa namba DN....
Nilitarajia kuona T 111 DOA
lakini badala yake imekua DP...
Ni mimi tu ndo nimeona na nyie wenzangu mmegundua hii kitu
Mkuu hata herufi I ilirukwaWajuzi wa mambo na vijambo, heri ya mwaka mpya ulioanza na mabadiliko kiduchu kwenye baraza la wandugu mawaziri!!!!
Naona ni vyema kujulishana nimeshangaa sijaona herufi O katika mtiririko wa namba za magari.
Nilitegemea kabla ya herufi “P” ilipaswa kuanza “O” lakini sijaona gari zenye plate number za T 123 DOA nk ina nimeona zimerukia kwenye T123 DPA.
Mwenye kufahamu hayo mambo atujuze na sisi wengie tujue zaidi kama wao!!!!
Asentini!!!!!