Mine boy
Senior Member
- Dec 10, 2017
- 103
- 235
Yewoomi kibo cha ndesi.Halafu wakati niko hapo hapo akaja tena kaka wa makamo hivi sio mzee wala kijana, akaulizia kuna VIAGRA? yule shoga yangu akamwambia zipo? bei gani akamwambia Tshs.1.500/= akamwambia, nipe tatu. Shoga yangu akamwambia hapana inatumika moja tu, (hapo mie nikaona sasa nitoke nje ili wawe huru kuongea sio vizuri mtu ambaye sihusiki kusikiliza ugonjwa wa mtu, japo niliokota mawili matatu na kuyakimbiza hapa JF).
Nikaunga dots, isije ikawa huyu baba anakwenda kukashughulikia hako katoto, maana lafudhi yake ilikuwa ya Kilimanjaro na nikakumbuka dogo kasema tajiri ni mtu wa Moshi na familia yake iko Moshi.