Search results

  1. MSHINO

    Tulinganishe kauli mbiu na vitendo

    Mkweli ni Yupi kati ya hawa: Uwazi na ukweli, Maisha bora kwa kila MT, Hapa kazi tu, Kazi iendelee Ni awamu gani Ilitafsili kauli mbiu kwa viendo tukianza na awamu ya 3? Awamu ya tatu: Mzee Mkapa (R.I.P) Kaulimbiu : Uwazi na ukweli Awamu ya Nne: Mzee Kikwete Kauli mbiu : Maisha bora kwa kila...
  2. MSHINO

    Tujikite kumaliza miradi mikubwa iliyopo; madeni yaliyopo yanatosha. Haraka ya nini Bagamoyo?

    Ndugu watanzania wenzangu urefu wa pwani kutoka Tanga mpaka Mtwara ni 591.12km, kutoka Tanga mpaka Dar es salaam ni 195.07 na Dar es salaam kwenda Mtwara 397.39 km. Kwa kuwa umbali kutoka Tanga na Dar es salaam ni karibu sana yaani km 195.07, huku umbali wa kutoka Tanga mpaka Bagamoyo ni km...
  3. MSHINO

    Utafiti 1990: Watanzania ni wavivu

    Posted on January 1, 1990 by editor Tanzanian workers are lazy and unproductive says Tanzania’s National Productivity Council (NPC) quoted in ‘Business News’ on September 29th 1989. The NPC Executive Secretary, Mr Nikubuka Shimwela attributes the trend to a lack of a productive culture in the...
  4. MSHINO

    SAMIA’S FIRST SIX MONTHS: No one is yet in a position to conclude with confidence what President Hassan’s style or focus will be

    By Ben Taylor SAMIA’S FIRST SIX MONTHS Ben Taylor is a long-time analyst and civil society activist working on water and governance issues in Tanzania. He currently works on open data and open government for Twaweza in East Africa. Six months into the presidency of President Samia Suluhu...
  5. MSHINO

    Kama siyo Magufuli kuwaokoa 2015 na agenda ya mabadiliko CCM, leo ingekuwa chama cha upinzani

    Katika binadamu aliowaumba hapa duniani watanzania aliwapa sifa na vipawa tofauti kama ifuatavyo Wakati MUNGU amewaumba wanadamu kusahau lakini wamepewa uwezo wa kukumbuka lakini Watanzania MUNGU ametuumba kusahau milele bila kukumbuka. Mungu aliwaumba Watanzania kuwa wapole na wavumilivu...
  6. MSHINO

    CCM kutawala karne nyingine ijayo

    1. Tume ya uchaguzu inachaguliwa au kufutwa kazi na mwenyekeiti wa CCM 2. Msajili wa vyama vya siasa huteuliwa au kufutwa kazi na mwenyekeiti wa CCM 3. Rais ambaye ni mwenyekeiti wa CCM ndiye anatafuta pesa za uchaguzi 4. Jaji mkuu anateuliwa na kufukuzwa kazi na mwenyekeiti wa CCM...
  7. MSHINO

    Mbunge wetu Gwajima tunaomba kujua imekuaje uhamiaji kukamata mama ntilie na machinga pale mbuyuni

    Wakuu jana nilishudia askari wa uhamiaji wakifanya ambush kukamata wafanya biashara wadogo wadogo pale mbuyuni. Picha lilianza baada ya bus moja likiwa na watu walio valia sare za uhamiaji kufika km vile picha ya MAFIA VS NINJA likisdinidkizwa na gari ndogo. Walipofika waliwaweka chini ya...
  8. MSHINO

    Watanzania hatuna shukrani Mungu atusamehe kwa huu ujinga tunaofanya

    Baada ya Hayati Rais JPM (R.I.P) watanzania waliopoteza mkate kipndi chake wameanza kutema nyongo, wengine wamefikia mahali na kusema kilichofanyika likuwa ni wizi. hivi kweli ndugu zangu watanzania kuna wakati nchi ilipigwa mchana km kipindi cha awamu ya 4? kuna kashfa ngapi ziliingiza nchi...
  9. MSHINO

    Nikiona kipindi kwenye TV nazima; nasumbuliwa na ugonjwa gani?

    Wakuu habari za mchana, mimi siyo mpenzi wa siasa wala mfuasi wa chama chochote, huko nyuma niliwahi kufuatilia siasa nikaanza kukipenda sera za vyama vya upinzani hasa kipindi kile cha kuibuliwa kwa ufisadi wa RICHMOND, ECROW ACCOUNT, MELEMETA, TEGETA ECROW NA NK. Baada ya aliekuwa waziri mkuu...
  10. MSHINO

    Tozo Mpya za Miamala: Pigo kwa Sekta ya Mawasiliano nchini

    A new government levy on mobile money introduced last month in Tanzania has sparked outrage from citizens due to the significant increase in costs. With 26 million people, almost half the country’s population, using mobile money the surge in prices has been felt widely. The tax, which has...
  11. MSHINO

    Ilibaki kidogo tuwe sawa na wazungu

    2017 Ilibaki kidogo tuwe sawa na wazungu, kumbe Hayati Rais wangu aliposema sisi ni donor country alikuwa ana maanisha. Hivi kweli inakuja akilini kuomba misaada kutoka vinchi vidogo km Belgium, Netherlands au Uswis? mfano Ebelgiji inaingia mara mbili katika hifadhi ya serous. BELGIUM...
  12. MSHINO

    Fursa: Muda wa kuanzisha chama cha siasa ni sasa

    Wana jamii kama kuna kipindi kizuri cha kuanzisha chama cha kisiasa na kupata wafuasi ni sasa, kwa sababu zifuatazo;- Kuna tofauti ndani ya chama Tawala na ndani ya vyama vya upinzani; CDM, CUF na ACT si shwari, ndani ya CCM kuna msuguano mkali wapo wanaopenda kuona mabadiliko km alivyoanza...
  13. MSHINO

    Sasa inakuwa rasmi mafuta bila stakabadhi

    Tangu Rais wetu mpendwa aingie madarakani baadhi ya vituo vya mafuta havitoi receipt za ki eletronic. Mfano ukienda PUMA Kawe unaambiwa karatasi zimeisha, siku nyingine hakuna wino, ni mwezi sasa. PetroAfrica Bunju, unambiwa hakuna karatasi, Oilcom unaambiwa machinembovu. Ni vituo vingi...
  14. MSHINO

    Tetesi: Upigaji Kivuko cha Busisi

    Kuna wizi unaendelea siku ya 3 Leo kivuko cha busisi Mwanza. Wananchi wanalipia huduma ya Choo bila receipt wala machine siku ya 3 sasa. Watu wanatoa km sadaka kanisani. Nimejaribu kuuliza kwanini hawatoi receipt wala mashine nimeambiwa ni maelekezo kutoka ofisi ya TEMESA. Pia, nimemuuliza...
  15. MSHINO

    Mpenzi wangu nimemkuta anabebwa na 'Beach Boy'

    Wakuu nisaidieni ushauri demu wangu ninaetarajia kumuoa nimempa ruhusa kwenda beach na rafiki zake baadaye nikapita huko nikamkuta anabebwa na kijana juu kwa juu nikakasirika nikamtwanga kibao nikarudi home. Aliporudi home nikamuuliza akajibu eti hapakuwa kitu kibaya. Kwa kifupi nimeumia sana...
  16. MSHINO

    Huduma ya kusambaza maji imewashinda mmeamua kufanya biashara ya kuuza mabomba kwa Wananchi

    Napenda kuishauri serikali kuu kuzuia taasisi zake kuacha biashara ndogo ndogo kwani kufanya hivyo ni kuzuia kukua kwa biashara na wajasiliamali kwa ujumla hivyo kupunguza mzunguko wa pesa na kuikosesha serikali kodi. Mfano shirika la kusambaza maji Morogoro MOROWASA linalazimisha wananchi...
  17. MSHINO

    Huyu hapa Rais 2025 ili tuvuke salama

    Nikuu kutoka maktaba: Dar es Salaam. Baadhi ya wananchi wamekuwa na maoni tofauti kuhusu namna sakata la wizi wa fedha kwenye akaunti ya Escrow linavyoshughulikiwa, huku wengine wakisema umefika wakati sasa nchi iongozwe na rais dikteta. Wakizungumza kwa nyakati tofauti jana, walisema kuwa...
  18. MSHINO

    Sababu ya Siasa: Biashara Kariakoo zinakufa kisa kuwapenda na kuwakumbatia machinga

    Tangu awamu ya 5 ya Rais wetu JPM iingie madarakani imekuwa ikitoa kipaumbele kwa wafanyabiashara ndogo ndogo maarufu kama wamachinga. Pamoja na malengo mazuri ya serikali kuwasaidia wamachinga lakini pia wafanyabiashara wenye maduka nao wanatakiwa kuwekewa mazingira mazuri ya kufanya biashara...
  19. MSHINO

    Maalim Seif Hamad kwanini asipewe tuzo ya amani?

    Mwaka 1988 Maalim Seif alifukuzwa CCM kutokana na mgogoro ndani ya chama. Kwa kipindi cha miaka 26 Maalim Seif Hamadi amepambana bila kuchoka, amechochea mageuzi makubwa ndani ya Tanzania. Maalim amepambana na vigogo wakubwa kwenye chaguzi za kisiasa tangu mwaka 1995 na kuwatoa jasho kweli...
  20. MSHINO

    Kipi kifanyike baada ya uchaguzi wabunge wasiowajibika kwa wananchi

    Wana jamii, kwa sasa tunashuhudia majimboni wagombea mbalimbali wakipambana kuwa wawakirishi wa wananchi. Ukizingatia wananchi wote hatuwezi kwenda bungeni kujadili maendeleo yetu. Hivyo ni lazima watu wachache wachaguliwe ili kuwawakilisha wananchi baada ya kufanya mikutano na wananchi hivyo...
Back
Top Bottom