Mkweli ni Yupi kati ya hawa: Uwazi na ukweli, Maisha bora kwa kila MT, Hapa kazi tu, Kazi iendelee
Ni awamu gani Ilitafsili kauli mbiu kwa viendo tukianza na awamu ya 3?
Awamu ya tatu: Mzee Mkapa (R.I.P) Kaulimbiu : Uwazi na ukweli
Awamu ya Nne: Mzee Kikwete Kauli mbiu : Maisha bora kwa kila...
Ndugu watanzania wenzangu urefu wa pwani kutoka Tanga mpaka Mtwara ni 591.12km, kutoka Tanga mpaka Dar es salaam ni 195.07 na Dar es salaam kwenda Mtwara 397.39 km.
Kwa kuwa umbali kutoka Tanga na Dar es salaam ni karibu sana yaani km 195.07, huku umbali wa kutoka Tanga mpaka Bagamoyo ni km...
Posted on January 1, 1990 by editor
Tanzanian workers are lazy and unproductive says Tanzania’s National Productivity Council (NPC) quoted in ‘Business News’ on September 29th 1989. The NPC Executive Secretary, Mr Nikubuka Shimwela attributes the trend to a lack of a productive culture in the...
By Ben Taylor SAMIA’S FIRST SIX MONTHS
Ben Taylor is a long-time analyst and civil society activist working on water and governance issues in Tanzania. He currently works on open data and open government for Twaweza in East Africa.
Six months into the presidency of President Samia Suluhu...
Katika binadamu aliowaumba hapa duniani watanzania aliwapa sifa na vipawa tofauti kama ifuatavyo
Wakati MUNGU amewaumba wanadamu kusahau lakini wamepewa uwezo wa kukumbuka lakini Watanzania MUNGU ametuumba kusahau milele bila kukumbuka.
Mungu aliwaumba Watanzania kuwa wapole na wavumilivu...
1. Tume ya uchaguzu inachaguliwa au kufutwa kazi na mwenyekeiti wa CCM
2. Msajili wa vyama vya siasa huteuliwa au kufutwa kazi na mwenyekeiti wa CCM
3. Rais ambaye ni mwenyekeiti wa CCM ndiye anatafuta pesa za uchaguzi
4. Jaji mkuu anateuliwa na kufukuzwa kazi na mwenyekeiti wa CCM...
Wakuu jana nilishudia askari wa uhamiaji wakifanya ambush kukamata wafanya biashara wadogo wadogo pale mbuyuni. Picha lilianza baada ya bus moja likiwa na watu walio valia sare za uhamiaji kufika km vile picha ya MAFIA VS NINJA likisdinidkizwa na gari ndogo. Walipofika waliwaweka chini ya...
Baada ya Hayati Rais JPM (R.I.P) watanzania waliopoteza mkate kipndi chake wameanza kutema nyongo, wengine wamefikia mahali na kusema kilichofanyika likuwa ni wizi. hivi kweli ndugu zangu watanzania kuna wakati nchi ilipigwa mchana km kipindi cha awamu ya 4? kuna kashfa ngapi ziliingiza nchi...
Wakuu habari za mchana, mimi siyo mpenzi wa siasa wala mfuasi wa chama chochote, huko nyuma niliwahi kufuatilia siasa nikaanza kukipenda sera za vyama vya upinzani hasa kipindi kile cha kuibuliwa kwa ufisadi wa RICHMOND, ECROW ACCOUNT, MELEMETA, TEGETA ECROW NA NK.
Baada ya aliekuwa waziri mkuu...
A new government levy on mobile money introduced last month in Tanzania has sparked outrage from citizens due to the significant increase in costs. With 26 million people, almost half the country’s population, using mobile money the surge in prices has been felt widely.
The tax, which has...
2017 Ilibaki kidogo tuwe sawa na wazungu, kumbe Hayati Rais wangu aliposema sisi ni donor country alikuwa ana maanisha.
Hivi kweli inakuja akilini kuomba misaada kutoka vinchi vidogo km Belgium, Netherlands au Uswis?
mfano Ebelgiji inaingia mara mbili katika hifadhi ya serous.
BELGIUM...
Wana jamii kama kuna kipindi kizuri cha kuanzisha chama cha kisiasa na kupata wafuasi ni sasa, kwa sababu zifuatazo;-
Kuna tofauti ndani ya chama Tawala na ndani ya vyama vya upinzani; CDM, CUF na ACT si shwari, ndani ya CCM kuna msuguano mkali wapo wanaopenda kuona mabadiliko km alivyoanza...
Tangu Rais wetu mpendwa aingie madarakani baadhi ya vituo vya mafuta havitoi receipt za ki eletronic. Mfano ukienda PUMA Kawe unaambiwa karatasi zimeisha, siku nyingine hakuna wino, ni mwezi sasa. PetroAfrica Bunju, unambiwa hakuna karatasi, Oilcom unaambiwa machinembovu. Ni vituo vingi...
Kuna wizi unaendelea siku ya 3 Leo kivuko cha busisi Mwanza. Wananchi wanalipia huduma ya Choo bila receipt wala machine siku ya 3 sasa. Watu wanatoa km sadaka kanisani. Nimejaribu kuuliza kwanini hawatoi receipt wala mashine nimeambiwa ni maelekezo kutoka ofisi ya TEMESA.
Pia, nimemuuliza...
Wakuu nisaidieni ushauri demu wangu ninaetarajia kumuoa nimempa ruhusa kwenda beach na rafiki zake baadaye nikapita huko nikamkuta anabebwa na kijana juu kwa juu nikakasirika nikamtwanga kibao nikarudi home.
Aliporudi home nikamuuliza akajibu eti hapakuwa kitu kibaya. Kwa kifupi nimeumia sana...
Napenda kuishauri serikali kuu kuzuia taasisi zake kuacha biashara ndogo ndogo kwani kufanya hivyo ni kuzuia kukua kwa biashara na wajasiliamali kwa ujumla hivyo kupunguza mzunguko wa pesa na kuikosesha serikali kodi. Mfano shirika la kusambaza maji Morogoro MOROWASA linalazimisha wananchi...
Nikuu kutoka maktaba: Dar es Salaam. Baadhi ya wananchi wamekuwa na maoni tofauti kuhusu namna sakata la wizi wa fedha kwenye akaunti ya Escrow linavyoshughulikiwa, huku wengine wakisema umefika wakati sasa nchi iongozwe na rais dikteta.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti jana, walisema kuwa...
Tangu awamu ya 5 ya Rais wetu JPM iingie madarakani imekuwa ikitoa kipaumbele kwa wafanyabiashara ndogo ndogo maarufu kama wamachinga. Pamoja na malengo mazuri ya serikali kuwasaidia wamachinga lakini pia wafanyabiashara wenye maduka nao wanatakiwa kuwekewa mazingira mazuri ya kufanya biashara...
Mwaka 1988 Maalim Seif alifukuzwa CCM kutokana na mgogoro ndani ya chama.
Kwa kipindi cha miaka 26 Maalim Seif Hamadi amepambana bila kuchoka, amechochea mageuzi makubwa ndani ya Tanzania.
Maalim amepambana na vigogo wakubwa kwenye chaguzi za kisiasa tangu mwaka 1995 na kuwatoa jasho kweli...
Wana jamii, kwa sasa tunashuhudia majimboni wagombea mbalimbali wakipambana kuwa wawakirishi wa wananchi. Ukizingatia wananchi wote hatuwezi kwenda bungeni kujadili maendeleo yetu. Hivyo ni lazima watu wachache wachaguliwe ili kuwawakilisha wananchi baada ya kufanya mikutano na wananchi hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.