Ni kweli,kuwa na chuo cha udaktari sio sawa na kuwa na chuo cha ualimu,au siasa, is more than that,ni kweli wanapapara,pale ifakara wale wanafunzi walikuwa wanasoma kwa shida sana,hakuna walimu ,walimu wanakodishwakodishwa why?Bora wajiandae ili wawe na chuo kizuri ,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.