Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 47,229
- 122,901
ubinadamu gani huu mtu kafa maiti inazuiliwa jamani
Inasikikitisha sana
ubinadamu gani huu mtu kafa maiti inazuiliwa jamani
Soma tena Uzi utaelewa
Kuna vyanzo vingi mno mbali na kulipisha maiti! Hayo mambo yasikie tukulipa ni lazma,hizo ni pesa za serikali,kifo ni kitu kingine
Mkuu asante sana kwa maswali ya msingi....mtoa hoja yupo disorganised. Hii ni tabia mbaya sana..akijibu haya naamini atapata majibu muafaka...Pole na msiba!
Hoja yako ni nini haswa?
Je ni kukosekana kwa dawa ICU muhimbili?
Je gharama za ICU muhimbili ni kubwa?
Je familia ndio haina uwezo wakulipa?
Je huna imani na madaktari/wauguzi wanaohudumia ICU muhimbili?
Je unaomba msaada wa kifedha kwa jamii inayokuzunguka?
Ukiainisha hoja yako kwa uwazi ni rahisi kutatuliwa bila kuathiri majina au utendaji kazi wa watu wengine
Serikali ina mbinu nyingi za kukusanya Pesa! Nchi ina rasilimali nyingi sana ambzo zinawezaa fidia hilo gap na chenji inabaki ya kutosha!Kwa nini unapendekeza hospitali za serikali peke yake ndio zitoe misamah
Achana nae huyo we huoni tj jina lake hapo ? Huyo ni Jinga lao kweli yaniyeye ni mtu wa Pumba pumba nyingi kichwani kutupu.Soma tena Uzi utaelewa
Give facts nitakuelewa sanaHuyu huwa hakubali kuwa serikali inakosea. Ataitetea mpaka ata bleed.
Ukisha ziita za Serikali inamaana wanaanchi wanazichangia kwa kodi zao ndio maana zipo hapo, hivyo basi mwananchi ana haki ya kutoa maoni yake au dukuduku lake kuhusiana na huduma husika, tofauti na za watu binafsi au Taasisi ambazo sio za serikali.Kwa nini unapendekeza hospitali za serikali peke yake ndio zitoe misamah
Mkuu shikamoo.Huyu huwa hakubali kuwa serikali inakosea. Ataitetea mpaka ata bleed.
Kodi yako kwa mwaka ni shilingi ngapi?Ukisha ziita za Serikali inamaana wanaanchi wanazichangia kwa kodi zao ndio maana zipo hapo, hivyo basi mwananchi ana haki ya kutoa maoni yake au dukuduku lake kuhusiana na huduma husika, tofauti na za watu binafsi au Taasisi ambazo sio za serikali.