Rais Magufuli afanya mabadiliko katika Baraza la Mawaziri. Juliana Shonza aula, Maghembe out..

Eti mihimili inajitegemea wakati Katibu Mkuu wa bunge anateuliwa na Mkuu wa mhimili mwingine, anyway... Nampongeza [HASHTAG]#kangilugola[/HASHTAG].
 
Rais Magufuli ametangaza mabadiliko katika Baraza la Mawaziri na pia kuteua Katibu mpya wa Bunge.

Mahiga, Mwakyembe, Kabudi, nk waendelea kupeta na wizara zao.

More updates:




Kwa ufupi:

Wizara zimeongezeka kutoka 19 hadi 21
Juliana Shonza ameteuliwa kuwa Naibu Waziri (Michezo)
Hussein Bashe: TAMISEMI
Katibu wa Bunge: Aondolewa na kuwekwa mpya
Medadi Kalemani: Wizara ya Madini (imegawanywa kwa sasa)
Angela Kairuki: Waziri wa Nishati na Madini
HKigwangalla amehamishwa na kupelekwa Wizara ya Utalii.

Wizara zimeongezeka kutoka 19 hadi 21, Mawaziri kutoka 19 hadi 21, Manaibu Waziri kutoka 16 hadi 21.

Rais Magufuli: Pia tumeongeza Mawaziri 2 na Manaibu Waziri 5

Hakuna mabadiliko makubwa.Wengi ni walewale.Baadhi ya manaibu wachache ni wapya
 
Utawala bora-Mkuchika
Tamisemi-Jafo
Muungano mazingira-Makamba
Kazi na Vijana-Muhagama
Kilimo-Tizeba
Uvuvi-Mpina
Uchukuzi na mawasiliano- Mbalawa
Fedha - Mpango
Nishati- Kalemani
Madini- Kairuki
Katiba na sheria-Kabudi
Mambo ya nje Mahiga
Ulinzi- Hussein Mwinyi
Mambo ya ndani-Nchemba
Maliasili na Utalii-Kigwangala
Ardhi nyumba-Lukuvi
Viwanda na biashara-Mwijage
Elimu-Ndalichako
Afya-Ummy mwalimu
Habari na Michezo-Mwakwembe
Maji-Isack aloyce

katibu wa bunge-Steven Kagaigai
 
Back
Top Bottom