Ni nyumba nzuri kwa ajili ya matumizi ya familia ipo jijini Mwanza, bei yake ni shilingi milioni 37 japo maongezi yapo. Wewe njoo na pesa yako tuongee, hiyo bei wala isikutishe, miliki na wewe...
Nyumba ina mwonekano wa kuvutia wa ndani na nje. Ina vyumba vine vya kulala vinachojitoshereza, subure kubwa, jiko la kisasa na mahali pa kula ( Dinning area).
Bei 500mil na inaongeleka. Kuiona...
Vipo chamazi
Bei yake ya kawaida sana
Hii ipo Na vyumba vitatu
Sebule
Vyumba viwili master
Choo cha public
Dining
Jiko
Full fance
Iko MITA 300 kutoka barabara kuu
Ina maji tayari
Inataka 78 mil
Nyumba ipo kwenye mauzo kwa yeyote mwenye uhitaji tsh.50m, vyumba 3 kimoja master, dining, kitchen, sitting room na public toilet kiwanja chake robo tatu heka. Inapatikana Manispaa ya Songea...
NYUMBA INAUZWA..
VYUMBA VITATU NA SEBULE NA CHOO NDANI
CHOO CHA NJE PIA KIPO
VYUMBA VITATU UKUBWA WA 10 KWA 12
KIMOJA 10 KWA 16
NYUMBA INA UKUBWA WA 29 KWA 20
NA KIWANJA NI 55 KWA 45
MIUNDO MBINU...
Habari, Kama uzi unavyojieleza. Nitakua nikipost hapa nyumba, Viwanja vikubwa na Apartment zinazouzwa. Location na bei. Zaidi ni nyumba za Dar es Salaam
Nyumba ipo Chanika mwisho wilaya ya ilala DSM
Ina chumba kimoja chenye ukubwa wa futi14 kwa14 na fremu ya biashara moja pia yenye ukubwa wa futi14 kwa 14. Imekamilika kila kitu pamoja na tiles...
Habari Wana jf
husika na kichwa cha habari juu, nauza nyumba chanika, njiapanda ya nyeburu upande wa mkono wa kulia ukitokea ngongolamboto, ipo jirani na shule ya DOCTOR ELIMU, ina vyumba viwili...
Nyumba zinauzwa, kibaha kwa Mathias,za kibiashara kwa ajili ya wapangaji na moja inayojitegemea,ziko tatu katika sehemu moja ,ya kwanza vyumba vitatu na sebule zake inajitegemea,ya pili vyumba...
Nyumba inauzwa (lakini ni muhimu zaidi ukiwa unanunua kama kiwanja ukubwa wa eneo 20 kwa 25 sqr 450. Umbali kutoka manzese tiptop stand ni km 1. Kwa unayeijua Manzese hii sehemu ni potential...
Ipo Kibaha kwa Mfipa, ni kama 5 toka barabara kubwa inauzwa ml 90. Huduma ya maji na umeme vipo karibu, ina kisima cha maji pia, nyumba kubwa ya vyumba 3 na master. Pia kuna nyumba ndogo yenye...
Hiyo nyumba inauzwa ipo kimara suka ina vyumba vitatu vya kulala kimoja master na jiko store public toilet na sitting room na dinning Room eneo lina ukubwa wa 25x27 Bei milioni 50
Sehemu: MWANZA USAGARA-NYANGHOMANGO.
[emoji2518] Ina vyumba vitatu kimoja ni master, sebule, public toilet,
[emoji312] Kiwanja cha nyuma kilichobaki 15 kwa 23, unaweza kujenga nyumba nyingine...
Nyumba inauzwa ipo toangoma dar es salaam
-Ina vyumba vitatu kimoja master na vyote vina feni juu na sehem ya kuweka kabati la nguo
-Dinning
-Jiko kubwa
-Sebule
-Choo cha ndani na nje(hiki cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.