Karibu kwenye ukulasa wa Dovillen Property.
Kwa mahitaji ya kuuza au kununua nyumba, viwanja,yard, maeneo ya kujenga petrol station nk
POSTA,UPANGA, MASAKI, MSASANI, MIKOCHENI, MBEZI BEACH...
Kiwanja Chenye Msingi kinauzwa Kipo mbweni geza kina UKUBWA wa sqm 700
Kimepimwa Ila Bado hakijatolewa hati
KINAUZWA milion 45 maongezi yapo
Kiwanja Kipo flat Nyote mnakaribishwa
0712464777...
Kipo kiwanja mbweni jkt block 5 kina sqm 1020. bei 80milion kina hat
Kipo kiwanja mbweni malindi block c sqm 1100. Bei 80milion kina hat
Kipo kiwanja mbweni mpiji sqm 912 bei milion 55 kina...
Kiwanja kinauzwa kama ifuatavyo:
i: Mahali kilipo: Kwa bibi barabara ya Tabata/Segerea mita 20 toka barabara kuu.
ii: Eneo: Sqm 1,416
iii. Kina hati: Ndio
iv: Bei: 310m
v: Mawasiliano: +255...
Kiwanja kinauzwa KITUNDA DAR ES SALAAM, kiwanja hiki ni kikubwa 30*40 bei milioni 23 tu...!
Unaweza ukajenga nyumba 2 za wastani... na car parking kidogo ikabaki. Barabara ya mtaa inafika hadi...
Miliki kiwanja Michese Dodoma kwa ajili ya kujenga nyumba ya kuishi, lodge, apartments au fremu za biashara. Kiwanja kipo kwenye barabara ya mtaa na kinatazamana na nyumba ya kulala wageni.
Ni...
VIWANJA, VIWANJA.
viwanja vinne vikubwa vinavyouzwa katika eneo la Turiani, Morogoro vyote vipo block b karibu na barabara kubwa,Viwanja hivi vina ukubwa wa square meter 1150, 1270, 1149, na...
Habari!Karibu Tongilo Trust solution wauzaji wa viwanja vilivyopimwa na unqkopeshwa bila dhaman yeyote. Unaruhusiwa kulipa Kwa awamu.
[emoji1753]PATA BEACH PLOTS Kwa Million 6 Tuh (Installments 12...
Kiwanja kinauzwa Arusha Mkonoo kipo karibu na barabara. Maji, umeme, shule, hospitali vyote vinapatika maeneo ya jirani.
Kina ukubwa wa Square meter 1080
Bei million 13
kwa mawasiliano zaidi...
FORODHANI CITY nakuletea OFFER Kabambe ya viwanja vya makazi kwa bei nafuu, Wahi mapema,
BEI SASA NI MILIONI MOJA NA LAKI TATU (1300000) TU . Ni Viwanja vizuri sana VIMEPIMWA,
UKUBWA kwa kila...
Nunua kiwanja kwa bei chee.
Mbezi Msakuzi Makabe 18×22 kiwanja kina nyumba kuu kuu ya vyumba 3 bei mln 20
Kiluvya Gogoni 22×25 bei mln 9
Kiluvya kwa Komba 20×20 mln 6
Kiluvya kwa Sumaye...
Kiwanja nakiuza mil 5( maongezi yapo)
Ukubwa wake ni hatua za miguu 25 upana, 25 urefu.
Kipo Nyashishi nyuma ya Mwabebeya shule ya msingi, documents zilizopo ni karatasi ya serikali ya mtaa Bado...
Kipo ukonga msimbaz miguu 28 kwa 58 kina mawe ya serikali yamtaa bei milion 6.5 maongez yapo umeme maji upo ni dakika 15 tu ufike gereza la ukonga yaan main road mawasiliano 0763932278 .
[emoji625]LOCATION :: KILUVYA KWA KOMBA
[emoji625]Ukubwa 10/20 bei mln 7
[emoji625]Ndani ya kiwanja Kuna Tofali 400,Kokoto tiper 1 na Mchanga
●Huduma zote za kijamii zinapatikana
●Umeme, Maji...
Ardhi ni mali isiyohamishika, haiozi, haiharibiki, haiibiwi, ni investment ambayo haikupi stress na zaidi sana thamani yake inaongezeka kila siku. Ukiinunua leo laki tano, kesho jioni utaiuza...
Viwanja vinauzwa, vipo Kibaha picha ya ndege, vimepimwa na miundombinu ya barabara, umeme upo. Vina offer. Vipo karibu na hospitali ya halmashauri ya mji Kibaha, pia shamba linauzwa lipo Kisarawe...
CHAHWA, CHAMWINO IKULU, DODOMA
Eneo la kiuwekezaji, linakaribia ekari moja. Ni 4350 sqm. Limepimwa tayari. Hapa unanunua then unagawa viwanja unaanza kutengeneza faida kemkem. Ni nyuma ya Ikulu...
Nauza kiwanja bei 4M
ukubwa 60*15
Eneo Fumagila/Nyamagana/Mwanza
Maji Yamefika
Umeme umepita
Barabara zipo
Hakijapimwa
Contact
Dm
au ukihitaji nakucheki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.