Bado simu za mezani zimeendelea kuwa hitaji kubwa hasa Kwa watu wenye ofisi ambao wanahitaji mawasiliano muda wote (kuwa hewani)
Pia Kwa familia hii simu inakuhakikishia upatikanaji wa watu wako...
Habari wana jf Simu tajwa hapo juu
Yenye storage Gb 512
Ram Gb 12
Bei Tshs 1,500,000/=
Simu ipo kwenye hali nzuri ndio hii ninayotumia hapa
Ukinunua unapewa na Charge yake Original
Mawasiliano...
Hello wana Jamii Forums naleta huu uzi kwa simu bei ya jumla, simu aina zote ndogo hadi smartphones.
Karibuni sana tunapatikana Kariakoo mtaa wa Masasi na Msimbazi
Contact: +255 714036595...
0783060577
SAMSUNG GALAXY S10e 330,000
BRAND NEW & CLEAN FROM KOREA
SPECIFICATIONS
Battery Performance - 100%
Fingerprint Sensor - Working
Face Unlock Sensor - Working
RAM - 6GB
Internal...
Wakuu.
OFFER: Samsung galaxy S10e mpya imetumika mwezi mmoja tu inauzwa laki 3 na Nusu
Specification:
Kwanza kabisa ina wireless charging system
Yaani unaweza kuchaji kwa kuilaza juu ya simu...
IPO IPHONE 14 PRO MAX COPY KWA 170,000 TU,RISITI YAKE IPO NA INA CRACK KWA NYUMA VINGINE VIPO FRESH SANA,INATUMIA ANDROID ,STORAGE 512GB
IPO USED AQUAS 701SH KWA 50,000 TU,RISITI YAKE IPO HAINA...
Habari wadau,
Nauza simu yangu kwa mtu anayetaka kuinunua hapa Dar es Salaam. Nakupa na chaja yake bure. Simu ipo rooted na unaweza kutumia line 2 za simu. Kama utataka nikufungulie social media...
Nimenunua pixel 5 kwa ajili wife kasema kadogo anataka simu ya kujaa mkononi, naiuza bei hiyo ina wiki tu. RAM 8GB, 128GB STORAGE.
HAINA SHIDA YOYOTE CHAJI INAKAA ASUBUHI MPAKA JION DATA IKIWA...
Sim aina ya Google Pixel 6A used but in good condition.
Ram 6 GB
Internal storage 128 GB
Single sim card
Size 6.1 inches
Network 5G
Bei 500,000/=
Protector cover bure
Nipo Tabata Segerea
Contact...
Nauza simu yangu kwa shida za kifedha.
Details kama internal memory ni 64 GB RAM ni 3GB
Bei 190,000
Niko old moshi ...Moshi mjini
Mawasiliano 0756294771....karibuni wandugu .........
Habari wakuu,
Infinix smart 6 inauzwa, Good Condition imetumika miez 3 tu!
Inatakiwa laki moja na tisini chapu,
Simu haina tatizo lolote lile.
Nipo Tabata Kimanga, kwa mawasiliano zaidi
No...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.