Hello bosses and roses...
Nauza Apple iPhone XS Max Gold kwa 500k tu. Nimeitumia kwa miezi miwili tu, battery health ni 87%.
Bado ni mpya kimwonekano hata kimatumizi.
UPDATE.
========
SOLD
Nyumba inauzwa eneo ni Keko kilometer chache kuelekea ama kutoka mjini (city center), yaani kutoka hapo kuelekea Kariakoo kwa miguu ni dk 10-15 pia kuelekea posta ni 15-20.
Ina vyumba sita na...
OFFA!!
Dar electronics wanakuletea mashine za Canon selphy CP 760.
Mashine ni used but works perfectly.
Other details
Name; canon
Model; selphy CP760
Sheet size ; 148cm x 100cm
Printing...
Hili dude nilikuwa naweza kupikia kila kitu kasoro UGALI TU. KWA SABABU UGALI unahusisha kusonga. Wakati niko single.
Lipo sokoni kwa sasa sina matumizi nalo... NIMEOA. VERY STRONG.
BEI KITONGA...
Samsung Galaxy A32
4G Network
64 GB internal Storage
Single Sim Card
No Scratch No Dent
Comes with charger
Call/text/whatsapp 0689341445
Price: Tsh.380,000/=
Toyota Vitz New Model (DMZ)[emoji91][emoji91][emoji91]
.
YOM: 2005
Engine Capacity: 990cc
Automatic
Petrol
Mileage: 95,000 Kms
Color: Silver
Haijarudiwa rangi popote
Haijawahi kupata ajali
.
Bei...
Gari iko ktk hali nzuri kama unavyoiona kwenye picha hapa chini.
.
Push to start [emoji736]
YOM: 2009
Engine: 1NZ vvti
Capacity: 1490cc
Automatic
Petrol
128,000 Kms
From Japan
AC [emoji736]...
HP Pavilion dv6RAM : 4GB
Processor: core i5
Hard Disk Drive : 500GB
DVD-RW
WEBCAM
Battery last up to 3 hours
Who come first take it first
Price: Tsh 530,000/= (negotiable)
Contact: +255769142586...
NAUZA MRADI WANGU WA SHAMBA EKA 105 KWA MILIONI 135
Ningependa kuchukua nafasi hii kutangaza kuuza shamba langu lenye ukubwa wa eka 105 lililopo kijiji cha lutukila katika wilaya ya madaba mkoa...
Jengo la ghorofa 2 na nyumba ya chini zote zinauzwa Kijitonyama Ghorofa Lina vyumba 6 ambavyo ni master vyote Nyumba ya chini ina vyumba 3, kimoja master, jiko, sitting room na public toilet.
Plot...
processor Intel(R) Core i5 CPU 2.50GHz
RAM 8.00GB
system type 64~bit operating system
Edition windows 10 pro
Kipengele sensor imekufa inabidi utumue mouse, pia battery halikai na chaji zaidi ya...
Eneo lenye Pagale Mbili Linauzwa
Eneo Lipo Boma Ng'ombe kwa Wasomali.KM 1 kutoka barabara kuu ya Moshi Arusha.
Eneo lina Pagale Mbili Moja Self ya Vyumba 3 na NYingine in ni Double yenye Master...
Habari nauza laptop yangu iko na hali zuri haina tatizo lolote
Ina Ram 4 GB
Charge inakaa sana zaid ya masaa matatu
Intel 1:10 ghz
No:0748008079
Price Tsh 250000
SOLD, SOLD, SOLD
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.