Offer offer offer
Kwa 260,000/= tu mzigo mpyaaa kabisa
KARIBU #TUKUSHAURI NA #KUKUELIMISHA KABLA YA KUNUNUA
KWA ODA NA MAELEKEZO ZAIDI
TUPO #KARIAKOO DAR
thegreatsolar@gmail.com...
TV USED lakini naweza sema ni zile USED FROM DUBAI japo ni FROM Tanzania
Tv ni NET and CLEAN safi sana, Uhakika Sana.
Njoo ichukue hiii utaipata kwa bei rafiki kabisa TV ni kama Mpya Ndugu yangu...
Habari,
Nauza tv yangu imetumika kwa muda mchache ila ni bado mpya kabisa aina ya LG inch 21 inaonyesha picha nzuri zaidi ya FLAT bei tsh 50,000. contact 0753505115 na 0715505115.
habari nauza tv yangu mpya kabisa full box aina ya ALITOP inch 32 smart kwa bei ya kutupa kabisa bei ni tsh 200,000 namba ya kunipata 0753505115 au 0715505115
Kumekuwa na ongezeko la bei kwenye electronics ila nimekuja na suluhisho,
Unaletewa mpka ulipo kwa bei za store au unakuja ila kumbuka bei hii nikikuuzia nitakupa warranty kulingana na product...
Hii TV imevunjika screen kwa bahati mbaya, sasa kwa yeyote ambaye anaweza kuichukua akabadilishe kioo karibuni nasikiliza offer zenu.
Call: 0684 848 801
Karibuni wadau
TV ipo Dar es Salaam...
Habari, nauza TV yangu baada ya kubadilisha na kuwa na nyingine hivyo nimeona ni busara kupitia hii.
Brand: LG LED TV
Size: 43inch
Price: Tzs 350,000
Inafanya kazi vizuri sana with super clear...
Wakuu hisense TV nchi 50 inauzwa
Smart TV
Ultra HD
Inapatikana kijitonyama,DSM
TV ina miezi 11, haijawahi sumbua
Inauzwa tsh 550,000
Mwenye uhitaji karibu PM tuyajenge
Habari za humu ndani nimejichanga nikaona sio mbaya kukusanya TV za mtumba na kuja kuziuza kwa wale wanaopendelea vitu vya mtumba.
Ninazo makampuni tofauti tofauti kuanzia Lg, PHILIPS, Hitachi na...
Hisense Smart TV 4k inch 75 bado mpya nyembamba imenyooka hizo picha tu ila ukiiona live ndo utakubali, imetumika miezii 3 inafaa kuoneshea mpira maana ni kubwa mwenyewe anashida na pesa haraka...
Umepanga kununua Tv na pesa ni kidogo? Usiteseke Infopreneur anauza Smart Tv used from UK Kwa bei poa sana. Jambo bora zaidi ni kwamba Tv zangu Zinakuja na warranty pia ni Original. All you have...
AINA YA TV: StarTimes
MODEL: Smart TV
UPANA: inch 55''
Resolution (Ubora wa picha): 4K
Bei: Milioni moja na laki moja (1,100,000/- TZS)
Mahali: Kimara, Dar es salaam
Kama unaihitaji TV hii...
Nauza TCL TV smart android Inch 43, inaonyesha vizuri ila ina mistari kwenye screen, Tshs. 300000/=
Kwa anayehitaji tafadhali nipigie kwa namba 0612373688.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.