Neno graduate linatumikaje ? Aliyemaliza la saba, form four,form six, certificates courses, diplomas, degrees, masters, phd. Wote wanaweza tumia neno graduate ??
Naombeni ufafanuzi wenu ma Great...
Imezoeleka na kukomaa kwa kila kitu au malalamiko ya wananchi wanapo lalamika kuhusu utendaji wa viongozi au ukosefu wa kitu fulani muhimu kwa jamii, basi kauli rahisi kutoka Serikalini huwa...
RIWAYA: KOSA
MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA
SIMU:+255713776843
+255762219759
WHATSAPP:+255713776843
SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA DUNIA NA VILIVYOMO KWA KUNIPATIA AFYA NJEMA...
Sasa nimeamini ni kweli mtoto halali na fedha. Hulala na Nepi ya Mikojo.
Kumbe maana ya Methali hii, unaporudi nyumbani kabla ya kulala jiulize umetengeneza fedha kiasi gani, na cashi kiasi...
Kama ukipenda....
Nilitengeneza a table of all Present and Past Tenses, positive, negative and question forms, together with a short explanation as to how to use each tense (yaani, in what...
Hivi wapendwa hili neno lina maana gani?. naona baadhi ya member wa humu jf hupenda kulitumia mara kadhaa.(adiosamigo) napenda mwenyekujua maana yake atafsiri kwa lugha ya kiswahili ili niweze...
haya maneno yana maana moja mwasisi , mbunifu,na mgunduzi NA je kama hayana maana moja kila jambo hapo linamana gani? naomba msaada wenu watalam wa kiswahili
Kitambo kabla cjawa baba nilikuwa najua mtu ukimwita jasusi ni jambazi lililoshindikana, baadae tena naanza kujifunza kingereza neno jesus nilikuwa natamka jasusi hapo ndo nilizidi kupagawa lakini...
Wadau naomba maana na asili ya hili neno. Toka nakua ninasikia flani kabebwa na polisi kutumia Tanganyika jeki.
Hivi hii Tanganyika Jeki ni nini na ina uhusiano gani na watu wanavyokamatwa, na...
Maneno ya Kiswahili, "roho" na "moyo" hutamkwa mara kwa mara katika maisha ya Mswahili. Baadhi ya utumizi wa maneno haya ni "ana roho ya paka", "ana roho ngumu" "ana roho ya korosho" n.k...
HELLO WANAJF
MIMI NI MBUNIFU TOVUTI WA KUJITEGEMEA NIMEBUNI TOVUTI YA KUFUNDISHA KISWAHILI KWA NJIA YA MASAFA
HII N KW YEYOTE MWENYE WAZO LA KUANZISHA SHULE YA KISWAHILI ITAKAYOCHUKUA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.