B BiGDaTa Member Dec 11, 2014 52 25 Jan 11, 2015 #2 Sio ndege chombo cha usafiri bali ndege kiumbe hai. Hahah
Zamaulid JF-Expert Member May 25, 2009 18,659 13,486 Jan 11, 2015 Thread starter #5 du....hiki kiswahili hiki...
I Itonjanda JF-Expert Member Oct 22, 2014 638 349 Jan 15, 2015 #7 Siyo ndege ni nyuni... Acha mawazo mgando...kiswahili kinajitosheleza... Tafakari...
BIGURUBE JF-Expert Member Mar 11, 2014 6,743 4,227 Jan 15, 2015 #9 slim5 said: Kidumu chama cha mapinduzi! Click to expand... CCM Kidumuu, ndoo zipo.
NYEHUNGE JF-Expert Member Jul 31, 2013 344 67 Jan 15, 2015 #10 slim5 said: Kidumu chama cha mapinduzi! Click to expand... Duh....!!!
M MwendaOmo JF-Expert Member Dec 16, 2013 774 723 Jan 15, 2015 #12 Kwani humu JF hamna waswahili? Si eropleni, ni Nyuni
Zamaulid JF-Expert Member May 25, 2009 18,659 13,486 Feb 9, 2015 Thread starter #13 MwendaOmo said: Kwani humu JF hamna waswahili? Si eropleni, ni Nyuni Click to expand... nyuni ndo nini!
MwendaOmo said: Kwani humu JF hamna waswahili? Si eropleni, ni Nyuni Click to expand... nyuni ndo nini!
B bagamoyo JF-Expert Member Jan 14, 2010 21,305 24,200 Feb 14, 2015 #15 Huyo si ndege mnyama bali ni ndege ya abiria.
I Itonjanda JF-Expert Member Oct 22, 2014 638 349 Feb 14, 2015 #16 bagamoyo said: Huyo si ndege mnyama bali ni ndege ya abiria. Click to expand... Si nyuni bali ni ndege... Ndege kwa maana ya kiumbe hai chenye mabawa na kirukacho kwa pia huitwa NYUNI. Chombo kilichotengenezwa na binadamu kuruka juu kwa usafiri huitwa NDEGE
bagamoyo said: Huyo si ndege mnyama bali ni ndege ya abiria. Click to expand... Si nyuni bali ni ndege... Ndege kwa maana ya kiumbe hai chenye mabawa na kirukacho kwa pia huitwa NYUNI. Chombo kilichotengenezwa na binadamu kuruka juu kwa usafiri huitwa NDEGE
R RR JF-Expert Member Mar 17, 2007 6,966 2,019 Feb 14, 2015 #17 Mantiki ya hiyo sentensi ni nini? Kwamba kuna kuchanganya 'aeroplane' na 'bird'?