Kwa wajuaji wa Kiswahili

Zamaulid

JF-Expert Member
May 25, 2009
18,659
13,486
e986de6851e075c7e083d6d882a9923d07e96033e50f6a7a7017f44c34fc0175.jpg
 
Siyo ndege ni nyuni...

Acha mawazo mgando...kiswahili kinajitosheleza...

Tafakari...
 
Huyo si ndege mnyama bali ni ndege ya abiria.

Si nyuni bali ni ndege...

Ndege kwa maana ya kiumbe hai chenye mabawa na kirukacho kwa pia huitwa NYUNI.

Chombo kilichotengenezwa na binadamu kuruka juu kwa usafiri huitwa NDEGE
 
Mantiki ya hiyo sentensi ni nini?
Kwamba kuna kuchanganya 'aeroplane' na 'bird'?
 
Back
Top Bottom