Mahweso
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 1,098
- 1,501
Imezoeleka na kukomaa kwa kila kitu au malalamiko ya wananchi wanapo lalamika kuhusu utendaji wa viongozi au ukosefu wa kitu fulani muhimu kwa jamii, basi kauli rahisi kutoka Serikalini huwa msiwasikilize hao ni wapotoshaji.
Je, Tanzania ikitokea mtu analalamika huduma ya Maji haipatikani au barabara mbovu ni upotoshaji? Mfano mzuri ni katiba inayopendekeznwa, Rais alisema ichapishwe ili tuisome lakini mpakaleo haiko mtaani, Wanaharakati mbalimbali wanajaribu kutuelimisha kuhusu katiba hiyo maana mtaani haipo, matokeo yake tunaambiwa tusiwasikilize ni wapotoshaji, Naomba msaada wenu.
Je, Tanzania ikitokea mtu analalamika huduma ya Maji haipatikani au barabara mbovu ni upotoshaji? Mfano mzuri ni katiba inayopendekeznwa, Rais alisema ichapishwe ili tuisome lakini mpakaleo haiko mtaani, Wanaharakati mbalimbali wanajaribu kutuelimisha kuhusu katiba hiyo maana mtaani haipo, matokeo yake tunaambiwa tusiwasikilize ni wapotoshaji, Naomba msaada wenu.