Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Je unaijua maana ya neno Msasani ambalo ni jina la eneo maarufu jijini ambalo alipata kuishi mwasisi wa taifa hili Mwl JK Nyerere? Jina hili linatokana Mzee maarufu aliyeishi maeneo hayo...
4 Reactions
41 Replies
11K Views
Katu hapandi Farasi, yule mzoea Punda, Mpenda kwenda kasi, mwendo pole humshinda, Amezoweshwa fenesi, doriani lamshinda, Sitokalifisha nafsi, nafanya ninayopenda, Loo! Nina wasiwasi, kwa mambo...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Uzandiki.
0 Reactions
2 Replies
13K Views
Wana jamvi naomba kujulishwa maneno ya kiswahili ya Conscious mind na sub- conscious mind
0 Reactions
2 Replies
2K Views
About the successful bid of set vehicle] thing that there is described as "vehicle and a set of other exhibition number" to the Notices will take successful bid fee of 2 cars. When making a...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
KIUMBE SICHEKE MAMBA. Matatizo mitihani, tumekadiriwa watu, Alo kuwa duniani, kukwepa hatathubutu, Tumwamini Rahmani, tusikengeuke katu, Kutu haitakiwi peponi, chuma tusafishe kutu. Nani aweza...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
OOH RABI, NILIDHANI KARANGA, KUMBE MAVI YA MBUZI. 1. Nilidhani ni karanga, kumbe ni mavi ya mbuzi, Sikudhani ni pakanga, katika wangu mchuzi, Kuamini mtu janga, jiandae na mauzi. Kuna mambo ya...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Baada ya kusahau nywila (password) ya kadi yangu ya kiotomotela (ATM) nikaamua kukaa mgahawani (restaurant) jirani na kilipo kiotomotela (ATM) na kuagiza vibanzi (chips) vikavu na sharubati...
2 Reactions
5 Replies
5K Views
Write this in kiswahil "I is not a bird but it is an aeroplane."
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mat5:17 Msidhani ya kuwa nalikuja kuitangua torati au manabii; la, sikuja kutangua, bali kutimiliza
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Najaribu kuandika kitabu cha shule ya chekechea (Nursery) Tatizo ni kuwa vitabu vingi hapa ni vya kiingereza. Nahitaji yule aliye na tafsiri ya maneno haya aweze kunisaidia Weather - Jea ni Hali...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
(Ntwala kuchele valongo vangu) nnamilume na vamahe vohevohe tukojane epa tukamasane, nguhalile mwakau uidile dachi! nangu nive kuarusha,nnyangu uve kwachi? madengo lachidachi mwakau uniwena...
0 Reactions
88 Replies
12K Views
mambo zenu wakuu: samahan kwa mnaofahamu,napenda kujulishwa kwamba: je; kiswahili ni cha ngapi katika lugha za kimataifa?; na je, inawatumiaji wanaokadiliwa kufikia wangapi duniani? pia maeneo...
1 Reactions
5 Replies
19K Views
Salamu kwenu wadau! Leo nilikuwepo sehemu fulani nikakuta watu(wanafunzi) wanafanya mashindano ya kiingereza. Sasa kuna sehemu ya kutafsiri kwa kiingereza hizi sentensi za kiswahili. Mimi...
0 Reactions
51 Replies
22K Views
msaada wakuu,1.semantiki ni nini?2.fafanua vipengele vya semantiki kwa kutoa mifano
0 Reactions
5 Replies
8K Views
Salaam Wakuu! Uwa najiuliza, ni sababu ipi ya msingi inayofanya Wabongo kulazimisha majina yao ya Kibongo kubeba 'double consonant' kama ilivyo ktk majina ya Kizungu? Kadri ninavyo fahamu...
1 Reactions
71 Replies
10K Views
Kwa maana sasahivi jina utukufu limekuwa ndiyo kichaka cha ccm kifichia maovu yake na kuwapaka wananchi mafuta kwa mgongo wa chupa. Kwa heshima naomba tuchambue jina UTUKUFU, TUKUFU,na maana yake.
0 Reactions
0 Replies
4K Views
jaman wanajamvi habari zenu? naomba kuuliza ivi kwa kawaida pipi ikiwa kinywani kwa kiswahili sanifu inakuwa inafanywaje? au mtu anakuwa inaifanyaje?
0 Reactions
15 Replies
2K Views
BAKITA, hivi kwanini mmelala hivyo. Kiswahili kinachafuliwa sana. Kiswahili fasaha ni Jina lako nani?. Sio Majina yako nani?. Ukiulizwa jina lako nani, hapo utayataja yote hatakama yanafika kumi...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Naomba kujuzwa maana ya jina Tibaijuka kwa ndugu zangu wahaya. Nikijaribu kufanya direct translation naona kama ni "mtanikumbuka" ;kama ni kweli hiyo ndio maana yake, tutamkumbuka kwa lipi huyu...
0 Reactions
38 Replies
12K Views
Back
Top Bottom