Je unaijua maana ya neno Msasani ambalo ni jina la eneo maarufu jijini ambalo alipata kuishi mwasisi wa taifa hili Mwl JK Nyerere?
Jina hili linatokana Mzee maarufu aliyeishi maeneo hayo...
About the successful bid of set vehicle]
thing that there is described as "vehicle and a set of other exhibition number" to the Notices will take successful bid fee of 2 cars.
When making a...
OOH RABI, NILIDHANI KARANGA, KUMBE MAVI YA MBUZI.
1. Nilidhani ni karanga, kumbe ni mavi ya mbuzi,
Sikudhani ni pakanga, katika wangu mchuzi,
Kuamini mtu janga, jiandae na mauzi.
Kuna mambo ya...
Baada ya kusahau nywila (password) ya kadi yangu ya kiotomotela (ATM) nikaamua kukaa mgahawani (restaurant) jirani na kilipo kiotomotela (ATM) na kuagiza vibanzi (chips) vikavu na sharubati...
Najaribu kuandika kitabu cha shule ya chekechea (Nursery) Tatizo ni kuwa vitabu vingi hapa ni vya kiingereza. Nahitaji yule aliye na tafsiri ya maneno haya aweze kunisaidia
Weather - Jea ni Hali...
mambo zenu wakuu:
samahan kwa mnaofahamu,napenda kujulishwa kwamba: je; kiswahili ni cha ngapi katika lugha za kimataifa?; na je, inawatumiaji wanaokadiliwa kufikia wangapi duniani? pia maeneo...
Salamu kwenu wadau!
Leo nilikuwepo sehemu fulani nikakuta watu(wanafunzi) wanafanya mashindano ya kiingereza. Sasa kuna sehemu ya kutafsiri kwa kiingereza hizi sentensi za kiswahili. Mimi...
Salaam Wakuu!
Uwa najiuliza, ni sababu ipi ya msingi inayofanya Wabongo kulazimisha majina yao ya Kibongo kubeba 'double consonant' kama ilivyo ktk majina ya Kizungu?
Kadri ninavyo fahamu...
Kwa maana sasahivi jina utukufu limekuwa ndiyo kichaka cha ccm kifichia maovu yake na kuwapaka wananchi mafuta kwa mgongo wa chupa.
Kwa heshima naomba tuchambue jina UTUKUFU, TUKUFU,na maana yake.
BAKITA, hivi kwanini mmelala hivyo. Kiswahili kinachafuliwa sana. Kiswahili fasaha ni Jina lako nani?. Sio Majina yako nani?.
Ukiulizwa jina lako nani, hapo utayataja yote hatakama yanafika kumi...
Naomba kujuzwa maana ya jina Tibaijuka kwa ndugu zangu wahaya. Nikijaribu kufanya direct translation naona kama ni "mtanikumbuka" ;kama ni kweli hiyo ndio maana yake, tutamkumbuka kwa lipi huyu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.