Wana Jambo Forum;
Salama nawatakia, wenzangu wa humu ndani
Nadhani mtapokea, salamu zenye amani
Choveki naulizia, wenzangu mu hali gani?
Amani nawatakia, wenzangu jambo foramu...
Watanzania tuna lipi la kujivunia kama hii report ya Human Development Index inavyyonyesha tupo kuleeeeeeeeeee mwisho kabisa hata Uganda na Vita, Njaa, Umasikini, n. k bado wametupita shame, shame...
He tried hard enough
To make me grab my A4 wood
And for a moment, gazed at the blank spaces
Thought and scrutinized
If it was worth it, or otherwise
For all I really wanted
An end to the...
I know!
I know you are mad and upset
That I didnt leave you alone and yet
I kept pushing and nagging, and asking
About it! I know you wanted me to stop
And leave you alone and be gone!
But...
Baraza la Kiswahili lashutumu wabunge kwa uchafuzi wa Kiswahili
Na Salim Said, MUM
MWENYEKITI wa Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA), Suleiman Hega amesema Bunge la Jamhuri ya Muungano...
Nimepata habari hii kutoka kwenye mtandao wa kiswahili jamani someni habari hii imetulia pia naomba maoni yenu.
Kiswahili as a National and International Language
By M.M. Mulokozi
Institute...
Moyo ulianza kunienda kwa kasi, viganja vilianza kulowa jasho, na koo lilinikauka nilipokuwa nikikata kona kuingia katika eneo la Hospitali ya Bombo, mjini Tanga. Moyo wangu ulikuwa umegubikwa na...
Na. M. M. Mwanakijiji
John Maduhu alimshika mkono mchumba wake Alice Rutashobya (alijulikana zaidi kwa jina la Koku) wakitoka nje ya ofisi za Paroko wa kanisa la Mt. Francis Ksaveri la Nyakahoja...
Hapa naendelea kupata wasiwasi wa upotoshwaji wa lugha yetu tukuka
Story Created: Oct 30, 2007
Story Updated: Oct 31, 2007
Project Ujima
Shelley Walcott
'Ujima' is a Swahili word...
Speed ya ukuaji wa kiswahili mbele ya mataifa inatisha na nafikiri tuanze harakati za hakia miliki maana kitakuja kubinafsishwa tusipoamka mapema.
Arpan Sharma speaks French with flair...
Juu ya mataaluma chombo kimeshika mwendo kasi
Kama Nyoka kwenye majani chateleza kwa kasi
Ndanimwe kimeshiba watu walioketi kwa nafasi
Nipo ndani naangaza katika madirisha ya tumbo lake
Miti...
Wakati napitapita nimeona habari hii nikahisi tunaweza kunufaika nao kwa kujua maendeleo ya lugha yetu ughaibuni.Fatilia hapa chini
Doctors lost in translation use assistance.
By Mary Pickels...
Ndugu Wananchi...
Napenda Kuchukua Nafasi hii Kuwatoa majonzi Makubwa !! Yalio Tukumba!! Lakini Ina weza Ikawa sio Majonzi Bali Ni kama Jambo la kushangaza...Pamoja na kwamba Msumbiji Ime tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.