Matangazo mengi yenye kilevi kama bia yana slogan inayosema: HAIUZWI KWA WENYE UMRI CHINI YA MIAKA KUMI NA NANE
Swali langu kama hao chini ya miaka 18 hawaruhusiwi kununua, je wanaruhusiwa...
Najuliza na sna shaka na utambuz wangu lkn hili ni neno jamii iliamua kulitumia badala penis yaan uume.
Kwa nini ukiimbwa wimbo wenye neno hilo watu huruka na husismkwa kwa kucheza
Jamii...
moja kati ya mapungufu ya usanifishaji wa lugha ya kiswahili ni kwamba .....mchakato huu ulifanywa na wageni(wazungu) hivyo kusababisha baadhi ya maneno kutamkwa tofauti na yanavyo andikwa...
Katika pitia pitia yangu ya vitabu hususan novels nimekuta zaidi ya mara tau hiv neno handsome limetumika kwa mwanamke (like Rose was a handsome womam of thirty-five pg 122, para 3, 4th line...
Kiswahili chetu kitakaa sawa lini?
Nashindwa kuelewa haya maneno MBUNGE, MBWA, MBU
Kwanini tusitumie au isomeke vizuri kwa kuandikwa M'BUNGE badala ya MBU-NGE ipi ni sahihi hapa na unaisomaje...
Na weka maneno chini niliyoyakuta yameandikwa kwa blog kama tamko kwa umma.
Kweli hawa watu wameishi marekani miaka mingi na hadi leo kiingereza ni pumba yaani hata bora wangekosea herufi ila...
Wa Nyoka Ni Nyoka", Ulilenga Nini Haswa? Nauliza Kwakuwa Nimekuwa Nikiwafuatilia Watoto Wengi Mno Wa Wakubwa au Watawala Wetu Mbalimbali Hapa Tanzania Lakini Cha Kushangaza Wengi Wao Huo Msemo...
Ipi tamu zaidi kuitamka mdomoni na kuisikia masikioni kati ya vifupisho hivyo hapo chini vya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam?
UD - Yu Dii
UDZM - Yu Di Zim
UDSM - Yu Di Es Em
Hakuna kitu ninachokichukia kama ukasuku. Tokea RTD kuanza kutangaza mechi za soka, nadhani mtangazaji hakuwa na maneno sahihi ya kuishia kutangaza hivo akatumia maneno haya ya "mpira umeisha"...
Naombeni jinsi ya kutumia neno "nimeibiwa" katika sentensi mbili tofauti
nikimtuma mtu anibebee mzigo nitasema "nimebebewa...." je? nikimtuma mtu aibe kwa ajili yangu?
itatofautianaje na...
Amami Kwenu
Naombeni mnisaidie kujua maana,tofauti na tafsiri ya maneno yafuatayo kwa lugha ya kiwsahili.Kusema kweli ni maneno ambayo mimi binafsi uwa yananichanganya sana na mpaka leo bado...
TWABORONGA KISWAHILI.
Twajua neno ONESHA, kwa chenye kuonekana.
ONESHA kuwa ONYESHA, hapa ni lugha gongana.
ONYESHA kunyumbulisha, ONYA, ONYO, ONYEANA.
Twajiita waswahili, kiswahili twaboronga...
Tafsiri baadae
Enshonga tiyashweilwe mwa tata
Aina nsinjo anga oruhoile
Mawe ni Ma Theopista.
Mawe nto ni Kokushubila.
Mawe ntokazi ni Kaijuko
Aba nibo banyonkize,
Ekyo mbendela Orwongoba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.