Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Matangazo mengi yenye kilevi kama bia yana slogan inayosema: HAIUZWI KWA WENYE UMRI CHINI YA MIAKA KUMI NA NANE Swali langu kama hao chini ya miaka 18 hawaruhusiwi kununua, je wanaruhusiwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Najuliza na sna shaka na utambuz wangu lkn hili ni neno jamii iliamua kulitumia badala penis yaan uume. Kwa nini ukiimbwa wimbo wenye neno hilo watu huruka na husismkwa kwa kucheza Jamii...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
moja kati ya mapungufu ya usanifishaji wa lugha ya kiswahili ni kwamba .....mchakato huu ulifanywa na wageni(wazungu) hivyo kusababisha baadhi ya maneno kutamkwa tofauti na yanavyo andikwa...
0 Reactions
2 Replies
12K Views
Katika pitia pitia yangu ya vitabu hususan novels nimekuta zaidi ya mara tau hiv neno handsome limetumika kwa mwanamke (like Rose was a handsome womam of thirty-five pg 122, para 3, 4th line...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Naomba mwenye uelewa wa swali hili anisaidie Distinguish entrepreneurship from an entrepreneur.
0 Reactions
1 Replies
878 Views
Kiswahili chetu kitakaa sawa lini? Nashindwa kuelewa haya maneno MBUNGE, MBWA, MBU Kwanini tusitumie au isomeke vizuri kwa kuandikwa M'BUNGE badala ya MBU-NGE ipi ni sahihi hapa na unaisomaje...
0 Reactions
30 Replies
5K Views
Na weka maneno chini niliyoyakuta yameandikwa kwa blog kama tamko kwa umma. Kweli hawa watu wameishi marekani miaka mingi na hadi leo kiingereza ni pumba yaani hata bora wangekosea herufi ila...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wa Nyoka Ni Nyoka", Ulilenga Nini Haswa? Nauliza Kwakuwa Nimekuwa Nikiwafuatilia Watoto Wengi Mno Wa Wakubwa au Watawala Wetu Mbalimbali Hapa Tanzania Lakini Cha Kushangaza Wengi Wao Huo Msemo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kukosea kutaipu hasa kwenye kichwa cha habari tatizo ni nini wadau? ni KIKOJA au ni KIMOJA?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ipi tamu zaidi kuitamka mdomoni na kuisikia masikioni kati ya vifupisho hivyo hapo chini vya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam? UD - Yu Dii UDZM - Yu Di Zim UDSM - Yu Di Es Em
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kuchuchumaa
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Gaspa ni mwizi ameniibia fedha zangu.
1 Reactions
5 Replies
4K Views
Sentensi sahihi ni ipi? "Hawa ni wadogo wangu" au "Hawa ni ndugu zangu"?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hakuna kitu ninachokichukia kama ukasuku. Tokea RTD kuanza kutangaza mechi za soka, nadhani mtangazaji hakuwa na maneno sahihi ya kuishia kutangaza hivo akatumia maneno haya ya "mpira umeisha"...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Naombeni jinsi ya kutumia neno "nimeibiwa" katika sentensi mbili tofauti nikimtuma mtu anibebee mzigo nitasema "nimebebewa...." je? nikimtuma mtu aibe kwa ajili yangu? itatofautianaje na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
trust na belive kwa kiswahili
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Naomba msaada wa maana ya Phrases na Synonyms na mifano yake.
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Amami Kwenu Naombeni mnisaidie kujua maana,tofauti na tafsiri ya maneno yafuatayo kwa lugha ya kiwsahili.Kusema kweli ni maneno ambayo mimi binafsi uwa yananichanganya sana na mpaka leo bado...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
TWABORONGA KISWAHILI. Twajua neno ONESHA, kwa chenye kuonekana. ONESHA kuwa ONYESHA, hapa ni lugha gongana. ONYESHA kunyumbulisha, ONYA, ONYO, ONYEANA. Twajiita waswahili, kiswahili twaboronga...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Tafsiri baadae Enshonga tiyashweilwe mwa tata Aina nsinjo anga oruhoile Mawe ni Ma Theopista. Mawe nto ni Kokushubila. Mawe ntokazi ni Kaijuko Aba nibo banyonkize, Ekyo mbendela Orwongoba...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom