Markus Mwalongo
Member
- Dec 21, 2017
- 7
- 6
Naunga mkonyo hoja
U must be crazy, out of your mind and stupid.
Nenda Instagram ukamuone huyo mnayemfananisha na Wanawake wa Kitanzania halafu urudi kuandika upya.Duh sio kwa kupanic hivi
Na bado mapacha wanakuja chezea wabongoPigisha kura mkuu.
Huyu ana umri zaidi ya Zari lakini una mwona?
Lakini pia yawezekana mjukuu wangu Zari akafubaa mwonekano kwa ajili ya stress za maisha ya upuuzi wa mumewe!. Angelikuwa na mtu kam aMzee Mengi, bila shaka angelikuw atofauti. Asingeonekan mtu wa huzuni na mashaka kila wakati.
Unajibishana na chizi hhhaaa,,umemjibu vizuriiMpumbavu ni wewe na ukoo wako mbuzi kabisa
Ulichoongea wewe kwa kuandika hapa umekiwazia kichwani au miguuni mpumbavu kabisa
Kuna Forum ya Waganda mpelekeni huku idiots!
Usitulazimshe wote tumpende huyo zari mapenzi yenu peleka huko nyambafu kabisa
Amesema ukizinguka Tanzania nzima
Angesema ukizunguka dunia nzima au East Africa
Next time don quote me
Rubbish****
We babu tuliaKwa akli kama zako hizi, ndiyo utashindana na Zari? Pole idiot!
Hhhaaaaaahivi huyu ndo zari????
Wakati zari ana 47 hukoMkuu, Jackie wa Mengi ana umri kumzidi Zari?Sidhani.
Umeniwahi mkuuHhhaaaaaaView attachment 657349
AmedumazwaMbona umedumaa akili
Sio kwamba natafta kiki au nasifia sana au vipi, ila nasema hivi zunguka tanzania nzima ukikutana na mwanamke wa miaka zaidi ya 34 ambae anamwonekano au uzuri kumzidi huyu zari basi naomba nidai milioni moja, sutaniii, tuwekee picha ya huyo mwanamke hapa na sisi tutalinganisha kama kweli amemzidi zari,
Mtoto mashallah...
Kuna jamaa yngu amemla siku moja tu akasepa....sasa sijajua ana nini huyu. Uzuri was sura si sawa na machine yakeMboni masimba anamiaka mingapi naye kisu namkubali