Zunguka Tanzania nzima ukipata mwanamke mrembo kumzidi huyu nidai milioni

984f67ae662a8fed8484737c9e444f1d.jpg


U must be crazy, out of your mind and stupid.
 
Pigisha kura mkuu.

images


images

images



images



Huyu ana umri zaidi ya Zari lakini una mwona?

Lakini pia yawezekana mjukuu wangu Zari akafubaa mwonekano kwa ajili ya stress za maisha ya upuuzi wa mumewe!. Angelikuwa na mtu kam aMzee Mengi, bila shaka angelikuw atofauti. Asingeonekan mtu wa huzuni na mashaka kila wakati.
Na bado mapacha wanakuja chezea wabongo
 
Mpumbavu ni wewe na ukoo wako mbuzi kabisa
Ulichoongea wewe kwa kuandika hapa umekiwazia kichwani au miguuni mpumbavu kabisa
Kuna Forum ya Waganda mpelekeni huku idiots!
Usitulazimshe wote tumpende huyo zari mapenzi yenu peleka huko nyambafu kabisa
Amesema ukizinguka Tanzania nzima
Angesema ukizunguka dunia nzima au East Africa
Next time don quote me
Rubbish****
Unajibishana na chizi hhhaaa,,umemjibu vizurii
 
Sio kwamba natafta kiki au nasifia sana au vipi, ila nasema hivi zunguka tanzania nzima ukikutana na mwanamke wa miaka zaidi ya 34 ambae anamwonekano au uzuri kumzidi huyu zari basi naomba nidai milioni moja, sutaniii, tuwekee picha ya huyo mwanamke hapa na sisi tutalinganisha kama kweli amemzidi zari,

Mtoto mashallah...

Mrembo ni mke wangu tu
Anaenisongea ugali Kila siku

Hawa wengine kanyaboya tu!!!
 
kuna picha mange kimambi kaipost inaonesha zari kakongoroka kawa kikongwe. sa sijui ni make up zake before selfie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom