Jana Mbunge wa Ilala Mh. Zungu aliijia juu wizara ya ardhi kwa kutaka kupoka eneo lote la jangwani magomeni kuwa la shughuli za michezo na mapumziko kwani wananchi walivamia eneo hilo la wazi. Zungu ametishia kuuachia hata ubunge wa Ilala ikibidi na kuungana na wananchi wake wote waliojenga Jangwani kuiburuza serikali mahakamani.
Kwa sauti ya ujasiri zungu alisema " Mheshimiwa spika nipo na swaumu yangu nasema niko radhi kuuachia ubunge wangu wa Ilala na kujiunga na wananchi wangu kuipeleka serikali mahakamani kama mpango huu utaendelea, najua mnataka kutoka Masaki mje Magomeni kula ice cream, mimi hilo napinga. Hakuna aliyevamia eneo lile, lile eneo limevamiwa na vyura si raia. Narudia kusema siungi mkono HOJA hii asimili mia"
Navyojua mimi kama bajeti hii itapita basi hilo eneo hilo lote lazima lichukuliwa na serikali kwa ajiri ya shughuli za viburudisho na michezo, na Je Zungu atatimiza ahadi yake hii? Ana roho ya ujasiri (roho ya paka) kama ya Rostam au anatishia nyau serikali yake ya CCM?
Kwa sauti ya ujasiri zungu alisema " Mheshimiwa spika nipo na swaumu yangu nasema niko radhi kuuachia ubunge wangu wa Ilala na kujiunga na wananchi wangu kuipeleka serikali mahakamani kama mpango huu utaendelea, najua mnataka kutoka Masaki mje Magomeni kula ice cream, mimi hilo napinga. Hakuna aliyevamia eneo lile, lile eneo limevamiwa na vyura si raia. Narudia kusema siungi mkono HOJA hii asimili mia"
Navyojua mimi kama bajeti hii itapita basi hilo eneo hilo lote lazima lichukuliwa na serikali kwa ajiri ya shughuli za viburudisho na michezo, na Je Zungu atatimiza ahadi yake hii? Ana roho ya ujasiri (roho ya paka) kama ya Rostam au anatishia nyau serikali yake ya CCM?