Zungu wa ILALA kufuata nyayo za Rostam?

Zungu wa ILALA kufuata nyayo za Rostam?

FUSO

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2010
Posts
36,509
Reaction score
45,123
Jana Mbunge wa Ilala Mh. Zungu aliijia juu wizara ya ardhi kwa kutaka kupoka eneo lote la jangwani magomeni kuwa la shughuli za michezo na mapumziko kwani wananchi walivamia eneo hilo la wazi. Zungu ametishia kuuachia hata ubunge wa Ilala ikibidi na kuungana na wananchi wake wote waliojenga Jangwani kuiburuza serikali mahakamani.

Kwa sauti ya ujasiri zungu alisema " Mheshimiwa spika nipo na swaumu yangu nasema niko radhi kuuachia ubunge wangu wa Ilala na kujiunga na wananchi wangu kuipeleka serikali mahakamani kama mpango huu utaendelea, najua mnataka kutoka Masaki mje Magomeni kula ice cream, mimi hilo napinga. Hakuna aliyevamia eneo lile, lile eneo limevamiwa na vyura si raia. Narudia kusema siungi mkono HOJA hii asimili mia"

Navyojua mimi kama bajeti hii itapita basi hilo eneo hilo lote lazima lichukuliwa na serikali kwa ajiri ya shughuli za viburudisho na michezo, na Je Zungu atatimiza ahadi yake hii? Ana roho ya ujasiri (roho ya paka) kama ya Rostam au anatishia nyau serikali yake ya CCM?
 
Mkuu nilimuona Zungu jana akinena kwa hisia kali. Unajua Zungu naye anaishi jangwani (amevamia). Hakika serikali inatakiwa ichukue eneo lote la jangwani na kuliboresha ili iwe pahala ambapo ni pa wananchi kupumzika. Jiji kubwa kama Dar linakosa sehemu ya kupumzika kwa wananchi wake kweli?
 
Kwani huyu Zungu ni Mbunge wa Chama gani? Si ni mmoja wa wale wanaofikiri kwa kutumia "Malalio"! Hao huwa wana mkwara wa Nanasi tu, Nje Miba lakini ukiingia Ndani wamejaa Utamu tuu. Pinda akiwapiga Mkwara tu wanarudi na kusema NDIOOOOOOOOOOOOOOOOOO!!!!!!!!!!!!!!!!!!.

Kwanza aanze kufikiri kwa kutumia Ubongo ndio tutakubaliana na anachokisema.

Bajeti itapita, na yeye hutamwona akiacha Ubunge. Anadiriki hata kuapa uongo kwa jina la Swaumu!
 
Hawa magamba nao!! Wanapinga 100% halafu wanakuja kuunga 100%. Ukishasikia hivyo basi wawekezaji wameshapatikana. Maeneo ya wazi wameshagawa yote wamegeukia bonde la msimbazi. Wameshindwa kuondoa wavamizi katikati ya jiji na maeneo mengine wamerudia msimbazi. Tumekwisha. Prof. Tibaijuka aliingia kwa mbwembwe sasa yuko wapi?
 
Mkuu nilimuona Zungu jana akinena kwa hisia kali. Unajua Zungu naye anaishi jangwani (amevamia). Hakika serikali inatakiwa ichukue eneo lote la jangwani na kuliboresha ili iwe pahala ambapo ni pa wananchi kupumzika. Jiji kubwa kama Dar linakosa sehemu ya kupumzika kwa wananchi wake kweli?
ni kweli lazima jiji la kubwa kama dar kuwa na sehemu za wazi za mapumziko, lakini ni eneo la jagwani tu lilikokuwa limetegwa kuwa la wazi? ningependa sana kama serikali ingechukua maeneo yote ya wazi waliogawiana then waje na hii option. lakini hoja hii inaonekana kama uonevu kwa watu waliojenga pale jagwani. Waziri kashindwa kuyarudisha maeneo mengi tu ya wazi yaliyoporwa na vigogo na wafanyabiashara wakubwa lakini laliona hili la magomeni peke yake sababu waliojenga pale ni wananchi maskini?
Hiki ndicho kilio cha Zungu pamoja na wapiga kura wake.
 
Mungu wangu magamba wanatumaliza hata hilo eneo la msimbazi limepata mwekezaji?????
 
kama wamevamia wanabidi watoke..sio habari za kutaka tukapate ice cream..nini maana ya jiji sasa kama kila sehemu wanatakiwa wakae watu...kuna maeneo maalumu ya kupumzika,michezo,na mengineyo..Zungu asitusumbue kama eneo lilikowa kwa ajili ya kupumzikia basi serikali iwatoe tena bila fidia.
 
kama wamevamia wanabidi watoke..sio habari za kutaka tukapate ice cream..nini maana ya jiji sasa kama kila sehemu wanatakiwa wakae watu...kuna maeneo maalumu ya kupumzika,michezo,na mengineyo..Zungu asitusumbue kama eneo lilikowa kwa ajili ya kupumzikia basi serikali iwatoe tena bila fidia.

Jiji nalo hukitaji kupumua pia......
 
Mungu wangu magamba wanatumaliza hata hilo eneo la msimbazi limepata mwekezaji?????

jangwani mkuu, kwa jinsi alivyokuwa anachangia zungu na kauli alizokuwa anazitoa dhidi ya waziri wa wizara kwa ujumla angekuwa wa upinzani 4 sure ungeombwa muongozo, alitumia kauli kali sana tusubiri majibu ya waziri jioni ili 2one kama zungu atajiuzuru kama majibu yatakuwa kinyume na matakwa yake.
 
jangwani mkuu, kwa jinsi alivyokuwa anachangia zungu na kauli alizokuwa anazitoa dhidi ya waziri wa wizara kwa ujumla angekuwa wa upinzani 4 sure ungeombwa muongozo, alitumia kauli kali sana tusubiri majibu ya waziri jioni ili 2one kama zungu atajiuzuru kama majibu yatakuwa kinyume na matakwa yake.
kweli mkuu, ile hisia ya huyu mbunge ilionyesha kuwa yupo tayari kwa lolote, na kama wengi wa wachangiaji wa hii mada wangepata sound clip yake wangekubaliana na mimi kwamba endapo waziri ataendelea na zoezi lake la kutaifisha ile ardhi basi tunaweza kuwa na uchaguzi mdogo ilala.

Mimi si mwanamagamba ila kwa hili la jana - zungu ameonyesha usimamo wa dhati kutetea wananchi wake. Wabunge wengi huwa wana dukuduku zao nyingi tu ila wanashindwa kuzitoa bungeni kuogopa fagio la chuma la wanamagamba.

Hakuna anayeunga mkono ujenzi holela lakini kwa nini wananchi wanafikia hatua ya kujenga kiholela?
 
jangwani mkuu, kwa jinsi alivyokuwa anachangia zungu na kauli alizokuwa anazitoa dhidi ya waziri wa wizara kwa ujumla angekuwa wa upinzani 4 sure ungeombwa muongozo, alitumia kauli kali sana tusubiri majibu ya waziri jioni ili 2one kama zungu atajiuzuru kama majibu yatakuwa kinyume na matakwa yake.

Mkuu,hiyo rangi hapo kama kweli atakuwa mtanzainia wa pili mwenye asili ya asia wa kujivua gamba???? lkn yawezekanaje m-asia amwonee uchungu m-tz (black) ??????? isijekuwa ipo special interest hapo, perhaps anataka kujiuzulu kukwepa ile scandle ya DDC ie. hon masaburi-saga!!!!!
ammo-te!!!
UKISTAAJABU YA MUSA UTAONA YA .......................???????
 
hayo ni mabaki ya wagiriki ndo maana wanamwita Zungu,kama kuna jingine zaidi ya hilo tujuze!!!!!!!!!!!!!!!
 
Zungu jn kaongea sn kwa hisia 2subili 2majibu ya leo jion
ope watamsikiliza ha2taki uchaguz mdogo wa ilala
 
hayo ni mabaki ya wagiriki ndo maana wanamwita Zungu,kama kuna jingine zaidi ya hilo tujuze!!!!!!!!!!!!!!!
<br />
<br />
Jaman Zungu c ni jina km majina mengine mbona mna2mia kufikiri kwa masahuri n abt kuwaaribia watoto coz of...mnaprove o mnasema 2
mi c gamba bt kunamengine ni 2much sa2
 
Kwanza natangaza interest' mim ni afisa mipango miji mtarajiwa(nipo mwaka wa nne) Tatizo la miji Tanzania 1. ni kuingiliwa na siasa 2.Uchache wa wataalamu wa ardhi(waliopo ni 24% tu) 3.Rushwa.Hotel ya Golden tulip ilipelekea umbali kutoka kwenye vyanzo vya maji(BUFFER ZONE) Kupunguzwa kutoka mita 200 mpaka mita 60-kuna waziri alihusika kubadili hizo standards ili jamaa wakaribie bahari.(rushwa) ndio maana leo hata beach zinamilikiwa na watu binafsi.Maeneo ya wazi kama hilo la jangwani na mengine kwanza ni siasa(vimemo) kwenda kwa watu wa ardhi (mimi kama meyor nakuagiza mpe hilo eneo!) na rushwa pia ndio maana maeneo hayo yanajengwa pia wanasisa wanaogopa kuwaondoa watu waliovamia wakihofia kupoteza wapiga kura wao! NTARUDI BAADAYE.
 
COPLO ZUNGU ...[alikuwa coplo JWTZ]...lazzima kuenzi vyeo vyetu...mbona kulikuwa na Sergent Samuel doe..sio kuwwachia maafisa tu ndio watambie vyeo....

HUYU ZUNGU NI MJINGA SANA....HIVI PALE JANGWANI KUNA NYUMBA AU VIBANDA VYA TOPE....AACHE SIASA..ANATETEAJE WATU KUKAA KWENYE MAZINGIRA HATARISHI...YOTE HII NI KURA TU ANATAKA..KWA WAJINGA WENZAKE..WANAOISHI MABONDENI...WANAPOKUFA KWA MAFURIKO ANAFURAHIA??

NI MUHIMU ENEO LOTE LA JANGWANI KUANZIA SALENDA BRIDGE NA MABONDE YOTE JIJINI YAKAGEUZWA KUWA GREEN ZONE...NA ZIJENGWE AMUSEMENT PARKS AND SPORTS FACILITIES..TENA TUANZISHE KABISA CHOMBO KUDHIBITO BONDE LA JANGWANI ...SEHEMU NYINGINE TUWEKE MASHAMBA YA MBOGA MBOGA...VUNJA VUNJA MABONDE YOTE DAR NA SIO JANGWANI TU ..HATA KEKO,....NA KULE MTONI..KOTE!!
 
Hili ndio Tatizo la Miji Mikubwa Kama Dar es Salaam Kuwa na Viongozi BOGUS!! Just anaongea Kujifurahisha ili aonekane anatetea!! Dar es Salaam yote imekuwa Slums (Squatter) kutokana na kuwasikiliza watu kama hawa ambao wanafikiri kutumia MASABURI!! For any sustainable cities planning must be a key thing for proper environment!! Nadhani alitakiwa aulize je Hawa wavamizi tutawafidia Vipi? Ila nisingependa kuwaita wavamizi kwani Dar es salaam limekuwa moja ya majiji duniani ambayo hayana any Master plan, Hivyo kila mtu hujifanyia mambo yake kutokana na urefu wa kamba yake!! (Financial Capabilities)
 
Back
Top Bottom