Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,482
- 9,517
Tafuteni probaganda nyengine hii ishachusha haina soko tena!!!
Wewe ndo mwarabu uliyetajwa nini!?
Tafuteni probaganda nyengine hii ishachusha haina soko tena!!!
Hawa ni warabu wenye kujiita wazanzibar.
Maelezo yameegemea zaidi katika historia ya kuivamia Zanzibar,
Hii yote ni kupiga kelele ili Sultan wa Zanzibar arudi eti waukate
Dawa ni kuwa na serikali moja tu ya Tanzania.
Ww mzee mwaka huu utakufa nacho kijiba cha roho!kamfufue Baba yako wa taifa aje azuie.Jamhuri ya Watu wa Zanzibar Kwanza Shengesha baadae upooooo!!
Written by Said-Said // 14/07/2012 // Habari // 5 Comments
(Amri zikitoka Zanzibar kwenda Oman, Tanganyika na maeneo mengine ya afrika)
Nianze makala yangu kusimulia kwamba wengi hawajui nini ZANZIBAR na hapa ndipo wanapopata tabu kukubali ukweli unaozungumzwa na wazanzibari kudai mamlaka ya taifa lao.
Zanzibar ikijuulikana tokea zamani (miaka mia tano kabla kuzaliwa nabii Issa), ilikua ni dola yenye nguvu sana kipindi hiko hata mataifa makubwa yakija kukopa Zanzibar na yakiitambua Zanzibar kwa heshma iliyonayo na wasifu wake wa kiutawala, eneo lake lilianzia kaskazini Kismayuu hadi Msumbiji sofala (kuanzia hapa zanzibar ya sasa hadi kongo) hii ilikua kabla ya kukatwana kugawiwa na na wakoloni, na ndio mana katiba yetu (Baada ya marekebisho ya 10) inatambua mipaka yetu kwa kuviongelea mpaka visiwa vidogo vidogo kama ni sehemu halali za Zanzibar.
Zanzibar ni Dola kongwe miongoni mwa dola za Afrika na ndio mana katika ramani iliyogunduliwa na chuo kikuu cha Oxford uengereza iliyochorwa katika karne ya kumi na moja viswa vya unguja na pemba vilikuwemo na makao makuu yake yalikuwa unguja ukuu, katika ramani hiyo hakuna Tanganyika.
Zanzibar ilitambulikana kuwa dola huru mnamo mwaka 1832, hadi mataifa makubwa ya magharibi yakafungua balozi zao Zanzibar, Kwa mfano Marekani alifungua balozi yake hapa mnamo mwaka 1837 na mwingireza nae akafungua balozi yake 1841, ufaransa akafungua balozi yake hapa 1844 na ujerumani akafungua nae mwaka 1847, hakuna nchi yeyote kusini mwa jangwa la sahara iliyokua ikijuulikana kama dola na kuwa na mahusiano ya kibalozi na mataifa makubwa zaidi ya Zanzibar.
Zanzibar ilikuwa na Benki kuu yake na pesa zake, na uchumi wake ulikua ni mzuri kuzidi mataifa mengi tu, ukenda WORLD BANK wakikupa takwimu za kifedha za miaka ya Raisi Karume Utakuta ni Nchi ya pili ama ya tatu kiuchumi kwa afrika (wachumi huita GDP), huku ikiwa na akiba ya Paundi milioni 800 katika banki ya kiengereza.
Zanzibar kibiashara ilijuulikana kama "THE INTERNATIONAL TRADE GATE WAY" LANGO KUU LA KIBIASHARA, serikali za wakati huo zikijifunza biashara kutoka hapa kwakua na uzoefu mzuri wa kuendesha biashara za ndani na nje ya nchi. Zanzibar ilikua ni kituo kikuu kibiashara, kisiasa na kiuchumi katika miaka hiyo.
Historia ya Zanzibar bado imbaki ya kipekee na imeshazungumzwa sana nyakati tofauti, nimekusudia kugusia haya ili kuwaomba wenzangu turejeshe mamlaka yetu ya utawala wa zanzibar.
Wazee wetu walitabiri na kusema "UTAWALA WA ZANZIBAR UTARUDI NA UTAKUWA NA NGUVU ZAIDI KULIKO ULE WA ZAMANI" M/mungu athibitishe maneno haya ya wazee wetu.
Zanzibar ni Dola kongwe miongoni mwa dola za Afrika na ndio mana katika ramani iliyogunduliwa na chuo kikuu cha Oxford uengereza iliyochorwa katika karne ya kumi na moja viswa vya unguja na pemba vilikuwemo na makao makuu yake yalikuwa unguja ukuu, katika ramani hiyo hakuna Tanganyika.
Wazanzibar hawana shida na muungano,
Waarabu wote na wale wadhaniao ni waarabu ndo shida.
Wanataka utawala wa Sultani,
Weusi Zanzibar hawatakuwa na nafasi wala haki.
Ubwana na Utwana utarudi Zanzibar[/QUOT
dah hii kazi ipo
Muungano hausadii pande zote mbili kisiasa na kiuchumi. Tanganyika na znz zitafanya vizuri kama kila moja ikiwa huru kabisa.
Sasa Tatizo ninaloona mimi ni katika sheria za kimataifa nchi inayopakana na bahari ina access au kumiliki maili 600 za mipaka ya bahari yake (zanzibar ipo maili 21 tu! toka mwambao wa Tanganyika). Hapa sasa ni shida, zanzibar itakuaje nchi katika bahari ya Tanganyika? nani atavua samaki katika maili 600 hizi?, madini na maliasili nyingine za majini zitakua za nani sasa?. Hili ni mojawapo ya matatizo makubwa ya kuvunjwa kwa muungano huu..Nakumbuka Nyerere aliwahi kusema privately, kama angeweza kuisogeza znz mbali huko baharini ingekua kitu kizuri sana kwa tanganyika.
Si muuvunje nyie wanafiki nani kawakataza?
Kuna porojo watu wanapigiana kwenye zumari hadi wanaamini kuwa ni za kweli!!
umekosea dogo ! Tanganyika haina bahari wewe,angalia geograghy vizuri,usione tanganyika iko karibu na bahari ukajua ni yake,zanzibar ipo kabla haijazaliwa kongo,tanganyika na kenya ! Tanganyika mwisho chumbe ukivuka hapo ugomvi.
2kiwapa mamlaka kamili hawa waz'bari watadai 10miles ohoo.
Nyie watanganyika ndo mnakioloniwa nyuma ya pazia ebu angalia madini yanachimbwa na wazungu kwa mgawo wa 3% wala hawalipi kodi!kweli mna akili nyie?