ZUKU Tv Services Launched in Tanzania

StarTimes wana mapozi sana, acha wapate competitors, huenda watachanganya na zao!
 
Kwa ushindani huu unaokuja toka kwa zook, sisi wana uchumi tunasema furaha kwa watumiaji.
 
Jamani SHIME tusiwe SPOONFEEDED... TCRA mko wao wapi...??? Decoder iwe mpya mpaka liniiii...??? Sisi hatufanyi maendeleo Innocent Mungy najua upo hapa... Please DADAVUA ...ama sisi ni MALIMBUKENI
 
Mimi nashangazwa na haya makampuni vifurushi vyao vinakuwa na bei kubwa zaidi ya mara mbili ukilinganisha na vifurushi hivyo huko Kenya na Uganda ni kwanini,kama thamani ya pesa mbona Tsh iko juu kuliko ya Ush.DSTV na Zuku ndo wanatukamua zaidi kwa vifurushi vyao,wenzetu Kenya ni sawa na buure,TCRA sijui hawalioni hili.pia mwenyekiti wa kampuni mama ya Zuku hapa TZ Mr Ali Mafuruki vipi mbona mnatwimbia mchana kweupe

Mkuu we mgeni tz au? Umesahau 10%included?
 
Niliwahi kugoogle hii zuku nikabahatika kuona habari zao na pia chanel wanazotoa, ukweli kama itakuwa na tofauti na Star Times itakuwa kidogo sana. Kingine sikuona kama wanatumia antenna naona kama ni dish tu, labda sikuona vizuri.
 
This is completely madness, na inaoonyesha kiwango cha ujinga kwa watawala wetu. DSTV Tanzania hailipi kodi yoyote..... kuanzia VAT mpaka Corporate Tax. Kenya DSTV wanalipa hizi kodi. Hii ni kutokana na kuwa na viongozi pamoja na mifumo ya kipuuzi. Nilitegemea katika mazingira hayo Tanzania wangelipa fee ndogo.

Angalia hawa DSTV.. charge zao ni wizi mtupu, Sasa hivi natazama ligi ya Uingereza mechi zote kwenye HD kupitia Abu Dhabi sport kwa kulipa dola 200 kwa mwaka. Beam yao ipo clear hapa Dar. Haya majizi yalikuwa yananilipisha Tzs 145,000/=kwa mwezi mpaka najitoa.
Wakati mwingine unaweza kuiona TCRA as another lump of garbage sitting out there doing nothing.

Mkereketwa,
 

....na shida hizi za mgao wa umeme...acha tu niendelee kutazama 'Freeview' channels.
 
Kwa mikoani wengi wanaizimikia zuku kuwa haina mambo ya utanesco kitu clear sana
 
Jamani nyumba zenyewe za kupanga sebule kama tundu la ndege unajaza madecorder mpaka kwenye makochi,
ngoja tuisikilizie tutanunua tu

digital navyoona mie itaathiri zaidi watu wa Dar, Moshi na Dodoma maana wananchi wengi wanategemea antena kupata matangazo lakini mikoa mingi ya Tanzania walishajizoelea madish na cable hivyo hata ujio huu wa ving'amuzi haujawaathiri sana kwa kuwa wao walishaingia kwenye digital long time bila kujijua.
 
This is completely madness, na inaoonyesha kiwango cha ujinga kwa watawala wetu. DSTV Tanzania hailipi kodi yoyote..... kuanzia VAT mpaka Corporate Tax. Kenya DSTV wanalipa hizi kodi. Hii ni kutokana na kuwa na viongozi pamoja na mifumo ya kipuuzi. Nilitegemea katika mazingira hayo Tanzania wangelipa fee ndogo.

Angalia hawa DSTV.. charge zao ni wizi mtupu, Sasa hivi natazama ligi ya Uingereza mechi zote kwenye HD kupitia Abu Dhabi sport kwa kulipa dola 200 kwa mwaka. Beam yao ipo clear hapa Dar. Haya majizi yalikuwa yananilipisha Tzs 145,000/=kwa mwezi mpaka najitoa.
Wakati mwingine unaweza kuiona TCRA as another lump of garbage sitting out there doing nothing.

Mkereketwa,

Mdau hata mie niliweka DSTV nikaishia kulipa kwa miezi 6 baadae mtikisiko wa kiuchumi ukaingia nikaacha ikabidi nijiunge na watu wa cable hapa Mwanza kiukweli wanajitahidi wana channel kama 80 yaani za kimataifa zote, za dini (kikiristo na kiislamu), local channel zote, filamu za kinigeria na za kizungu, discovery, za wanyama (NAT GEO Wild na Animal Planet) na mpira unapata Ten sports na kwenye channel za kiarabu ambazo zipo zinatangaza kiarabu na english yaani the same tu kama DSTV), unalipia 15,000 tu kwa mwezi. Kwa mtaji huu hawa Zuku kuna baadhi ya maeneo sidhani kama watawashika maana watu wa CABLE ni wabunifu wao wananunua kila king'amuzi, pia wana ma-dish tofauti tofauti alafu wanaziingiza kwenye mfumo mmoja wa CABLE (yaani ni kama DSTV in local perspective)
 
kweli hapa tabora na kahama mi nalipia channels zaidi ya 52 kwa elfu kumi asante kwa huyu mdosi wa tabora tv kasambaza cable mji wote sports unakula raha kila kona miziki news elimu wanyama na vingine vingi hapa hatujui zuku wala dstv labda uende ktk mabaa ndo utao na dstv na zuku
 
Back
Top Bottom