MR KUO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 2,399
- 3,250
bila kuonyesha picha zao Mimi sielewi kitu kabisa hapa.
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Huyu Zuchu tangu siku ya kwanza anatambulishwa WCB amekuwa ni Artists wa kupambanishwa na Artists wenzake tu Leo utasikia Nandy, Kesho Lady jay dee, Keshokutwa Ruby unajiuliza ni kwanini? Kila siku apambanishwe Yeye tu kwanini msipambanishe Nandy na Mini Mars or Ruby na Maua sama au Gigi Money na Dayna kila siku Zuchu Zuchu Zuchu Zuchu kama Zuchu kuimba hajui kwanini kila muda mnamfungulia nyuzi za kumpambanisha si muwapambanishe hao wanaojua kuliko yeye.
samahani mkuu nipo nje ya mada, hv we ni KE au ME?Duu hadi nimeona aibu kusoma! Hivi wewe umeanza kusikiliza muziki lini? Mwaka jana alipokuja Zuchu?
Zuchu anajua kuimba lakini Kumlinganisha na Rubby ni dhambi kwakuwa Rubby ni level nyingine kabisa ...kwanza Zuchu ana safari bado kufika level ya Rubby!
Rubby ni habari nyingine kwanza naona hata aibu kuwa na mjadala kama huu maana naona ni ujinga mtupu..