Katibu mwandamizi wa Kamati ya wanaume wa mkoani kanda ya Kaskazini natangaza kua leo saa 10 tunakikao juu ya wanaume wenzetu wanaosikiliza nyimbo za Zuchu....
Katibu mwandamizi wa Kamati ya wanaume wa mkoani kanda ya Kaskazini natangaza kua leo saa 10 tunakikao juu ya wanaume wenzetu wanaosikiliza nyimbo za Zuchu....
Huwa siwezi kupinga kazi ya mtu hususan kama mimi binafsi siwezi ila huwa natoa point nyingi zaidi kwenye originality / Ubunifu kwahio neno kama fulani huwa linaleta ukakasi (does it mean ya fulani ni better)?
Katibu mwandamizi wa Kamati ya wanaume wa mkoani kanda ya Kaskazini natangaza kua leo saa 10 tunakikao juu ya wanaume wenzetu wanaosikiliza nyimbo za Zuchu....