Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,047
Habarini Wana jamvi..?
natumai my wazima wa afya.
nimejaribu kufuatilia kwa makini sumu ambayo ana mezeshwa nandy, kwa official new queen wetu wa bongo flavor one and only Zuchu.
nimegundua kuwa anamuwza snaa Zuchu kuliko hata billnass na kwa maana hii Basi amejiingiza mkenge mwenyewe na anaenda kufuria soon mara harmonize Mara alikiba anaomba collabo tu na Wala hazina maajabu.
na kibaya zaidi nandy sio full package Kama zuchu ambaye anaweza kuandika mwenyewe nyimbo zake.
Yaani kwa huu wimbo au utopolo wa kiwango Cha lami/PhD/HD na Sgr Sina lakusema.
N. B:
NUMBER ONE Rayvanny and ft zuchu ni Kali sana kuliko NIBAKISHIE ya nandy ft kibamia
natumai my wazima wa afya.
nimejaribu kufuatilia kwa makini sumu ambayo ana mezeshwa nandy, kwa official new queen wetu wa bongo flavor one and only Zuchu.
nimegundua kuwa anamuwza snaa Zuchu kuliko hata billnass na kwa maana hii Basi amejiingiza mkenge mwenyewe na anaenda kufuria soon mara harmonize Mara alikiba anaomba collabo tu na Wala hazina maajabu.
na kibaya zaidi nandy sio full package Kama zuchu ambaye anaweza kuandika mwenyewe nyimbo zake.
Yaani kwa huu wimbo au utopolo wa kiwango Cha lami/PhD/HD na Sgr Sina lakusema.
N. B:
NUMBER ONE Rayvanny and ft zuchu ni Kali sana kuliko NIBAKISHIE ya nandy ft kibamia