Zubaa ulizwe... Stori Katika picha

Wewe msahaulifu sana kama namba ya pikipiki hukumbuki utakumbuka kweli sababu ya kuibiwa?

Waliniibia sababu ya tamaa zao tu.
First time niliibiwa saa 7 usiku

Sec time niliibiwa saa saba mchana nikiwa natoka sokoni,wakakwapua pochi ambayo haikuwa na kitu cha maana,kulikuwa na elfu 1,lipbam na niliweka njegere .Simu ilikuwa kwny mfuko wa suruali.
Bora hata wangeiba mfuko wenye mazaga zaga ya sokoni.
 
Kumbe ile mipochi mikuuubwa ya masista du mjini huwa mnaweka buku buku ukiacha simu..

Wezi wanakuona ujue
Sent using Unknown device
 
Kama ni kweli una roho m###y.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…