Mkuu wanatia hasira hao acha kabisa....Mgirik ulixhofanya sio fair asee,,, nmecheka sana hadi jamaa zangu wameshindwa kunielewa kabisa licha ya kuwaelezea tukio!
SIPATI PICHA UNAVYOSHINDILIA MAJI SIKIONI KWA MAKOFI,, AF MAJI YANAPASUA NGOMA YA SIKIO! Hiki ndio kilicho nivunja mbavu
Sent using Jamii Forums mobile app
Watanzania bwana! Tuna shida sana. Hatutaki hata kidogo kushughulisha akili zetu. Kweli umeamini hili ni tukio la wizi hili? Mwizi anaichukua simu kama mtu anayepewa simu na mama mkwe wake? Kibaka wa simu anavyonyakuwa simu wakati wa uporaji unafikiri picha itatoka namna hiyo?
Unataka kusema matukio kama Haya hayapo Tanzania?Hii picha wamepiga kwa kuigiza halafu hawajaipatia hata kidogo! Ni mbumbumbu atakayeamini hili ni tukio la wizi. Kwa kifupi hawajui ku-act kama watu wa Bongo Movies!
๐๐ nilikuwa Morogoro,na boda boda wa SUA ndo waliniibia.Tatizo unaleta usukuma Dar es Salaam. Unaibiwa mara mbili! Hapo tatizo ni wewe siyo wezi.
Tatizo unaleta usukuma Dar es Salaam. Unaibiwa mara mbili! Hapo tatizo ni wewe siyo wezi.
nilikuwa Morogoro,na boda boda wa SUA ndo waliniibia.
Tatizo unaleta usukuma Dar es Salaam. Unaibiwa mara mbili! Hapo tatizo ni wewe siyo wezi.
nilikuwa Morogoro,na boda boda wa SUA ndo waliniibia.
Unataka kusema matukio kama Haya hayapo Tanzania?
Hapa Hata kama tukio ni la kuigiza lakn ni miongoni mwa majanga ya mitaani hasa Bodaboda dhidi ya watembea kwa miguu....
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewee mi sio msukuma bhana! ๐๐
Wewee mi sio msukuma bhana!
usimsikilize Mr Samaki
Huyo msukuma full.
siwakumbuki hataPole sana, unaweza kuwa na kumbukumbu ya huyo bodaboda nimfuatilie?
hahahahah..๐๐๐ una nini nami ww kijanaKwa sasa hayupo mjini. Subiri akirejea, tangu wampore kahama jiji.
Na wewe unashadadia kbs as if sijawahi kukuambia kabila langu...subiri ukija huku mkoani hutaamini nitakavyokuuza...malipo hapa hapa duniani๐๐
niliibiwa 2015 na 2017.Namba ya pikipiki?
Mi sio msukumaAcha uongo basi onea fahari kabila lako.
nikumbushe unakuja ln?
sawa boss..nikirudi jijini nitakitafutaUnatakiwa upate mshauri wa masuala ya mjini na apewe semina elekezi namna ya kuishi mjini.
Kuna chuo kiko Buguruni kinatoa hayo mafunzo kwa vitendo ndani ya miezi miwili tu unakuwa vizuri.
Kisa simu?Ndio maana mm tukiwakamata hawa tunawakata mshipa wa kisigino miguu yote miwili halafu nachukua maji unamjaza sikioni huku ukimshindilia makofi masikion maji yale yakizama sikion kwa pressure yanaenda kupasua ngoma ya sikio.... Halafu mnamwachia... Akitoka hapo anakuwa kiziwi na kitembea hawezi
Sent using Jamii Forums mobile app