niliona tangazno la kazi
zoom@tz, nikatuma maombi, that was in july last year, nikaiiwa interview
mwezi huo huo tukaambiwa tusubiri majibu! nimesubiri kwa muda wote huo
last week jamaa wameniita nikaanze kazi morogoro,GROSS SALARY NI 1.2 M
TSH, nyumba, gari vyote nimekabidhiwa leo, cant wait to start kuchangia
to jamiiForums! narudisha sifa za pekee kwa zoom@tz kwa kunikutanisha na
hili shirika la waamerika! nilichojifunza kuwa maisha yanahitaji
uvumilivu sana na yesu ni jibu siku zote!
niliona tangazo la kazi
zoom@tz, nikatuma maombi, that was in july last year, nikaitwa interview
mwezi huo huo tukaambiwa tusubiri majibu! nimesubiri kwa muda wote huo
last week jamaa wameniita nikaanze kazi morogoro,GROSS SALARY NI 1.2 M
TSH, nyumba, gari vyote nimekabidhiwa leo, cant wait to start kuchangia
to jamiiForums! narudisha sifa za pekee kwa zoom@tz kwa kunikutanisha na
hili shirika la waamerika! nilichojifunza kuwa maisha yanahitaji
uvumilivu sana na yesu ni jibu siku zote!
kwenda zako
niliona tangazo la kazi zoom@tz, nikatuma maombi, that was in july last year, nikaitwa interview mwezi huo huo tukaambiwa tusubiri majibu! nimesubiri kwa muda wote huo last week jamaa wameniita nikaanze kazi morogoro,GROSS SALARY NI 1.2 M TSH, nyumba, gari vyote nimekabidhiwa leo, cant wait to start kuchangia to jamiiForums! narudisha sifa za pekee kwa zoom@tz kwa kunikutanisha na hili shirika la waamerika! nilichojifunza kuwa maisha yanahitaji uvumilivu sana na yesu ni jibu siku zote!
kwenda zako
ni kweli mkuu, ukimtegemea mungu inalipa sana
Not Mungu alone, na juhudi zako pia zinahitajika!!
kwenda zako
sio kwelisawa mkuu, maisha haya bila Mungu ni ubatili mtupu