Zoom tanzania; ni nani anafanya uhuni huu?

DR. MWAKABANJE

JF-Expert Member
Nov 7, 2012
1,976
3,122
Ndugu wana Jf, ni kweli tumekuwa tukilalamika sana kuhusu tatizo la ajira hapa nchini, kwa hivyo basi tumekuwatukijitahidi sana kutafuta kazi, au taarifa juu ya wapi tunaweza kupata kazi kupitia njia mbalimbali za mawasiliano zikiwemo social networks kama vile Zoom Tanzania.Kutokana na shida/tatizo hili wajaja miongoni mwetu katika jamii wamekuwa wakitumia mbinu mbalimbali ili kunufaika kwa namna moja au nyingine kupitia wasaka ajira.


Kilichonisukuma leo kuandika jambo hili ni hawa matapeli wanaotuma ujumbe mfupi wa simu pindi unapoomba kazi wakikutaka uwatumie chochote ili wakusaidie. binafsi hadi sasa nimetumiwa jumbe tatu ndani ya miezi miwili mfululizo, moja kutoka kwa mtu aliyejitambulisha kama Rachael Mwakapalila, pamoja na mambo mengine yote alinitaka nitume sh. 10,000 ili anisaidie nipate maswali ya interview kwa makubaliano kwamba nitamlipa sh. 300,000/= kutoka kwenye mshahara wangu wa kwanza kama malipo ya kunisaidia kupata kazi, ila sikufanya hivyo.Ndani ya mwezi huu nimepata massage kutoka kwa mtu anayejitambulisha kwa jina la Shafii, mara ya kwanza alinitaka nimtumia sh.30,000/= leo anataka nimtumie sh. 35,000/= kumbuka hizi ni kazi mbili tofauti kwa lengo lilelile kama la Rachael, kama ningewalipa hawa wote ningetumia sh. 75,000/=.


Massages zote nilizozipata, nafasi hizo za kazi nimeomba kupitia ZOOM TANZANIA, sasa swali langu kwa ZOOM ni nani anafanya upuuzi huu, ni kwenye kampuni/shirika niliyoomba kazi au zoom imeingiliwa na wajanja wanaochukua taarifa zetu?Ujumbe wangu kwa hawa matapeli, wamekuwa wakiandika kuwa wamependa CV yangu, jibu langu ni kuwa kama umeipenda ibusu basi inatosha au kwenye huo mchakato niweke kwa kuwa umependa cv yangu, huwezi ukapenda cv yangu halafu ukataka nikulipe eti kwa sababu cv umeipenda!

Namba anayotumia shafii ni 0652795853 na 0768978077
 
ZoomTanzania tunataka response ya haraka kwa haya yanayojili kama kweli au sio kweli na kama ni kweli na hao ni miongoni mwa staff wenu wawajibisheni otherwise hamna sifa ya kuwa recruitment agent coz hamna uadilifu!!

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Zoom TZ imekuwa na malalamiko mengi sana siku hizi...au na wao wameanza mchezo mchafu???

Mamlaka ya mawasiliano iangalie sana suala hili......
 
@totolucky njoo huku ujibu tuhuma,na sio kila siku manakuja na kazi siuji 20 leo trh 20.02.2013
 
Habari, kwanza napenda kuwajulisha kuwa ZoomTanzania sio recruitment agency, ZoomTanzania ni Online Business Directory na katika mambo tunayofanya ni kutangaza nafasi za kazi. Kutangaza kazi ZoomTanzania ni bure, nataka kuwajulisha kuwa kuna watu wanatumia nafasi hiyo kuwaibia watafutaji kazi. Hii ni sababu wanajua kuna watu wako desperate na kupata kazi na watashawishika kulipia nafasi hizo. Kila mtu anayetuma maombi ya kazi kwa kupitia ZoomTanzania ana account, siku ya kufungua account kulikuwa na Code of Conducts na katika Code mojawapo ilisema hivi " [FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]I understand that I should never be asked to make a payment to apply for any job. I will report to ZoomTanzania.com any employer that requests a payment." na tunashukuru kuwa kuna watu wamekua wakitusaidia kureport kazi ambazo wameombwa kutoa malipo ya aina yoyote. ZoomTanzania haihusiki na utapeli huu, narudia tena ni watu wachache wanaotaka kutake advantage ya jobseekers wanafanya mchezo huo. Kila listing inayoingia ZoomTanzania inapitiwa na nakubali wakati mwingine ni ngumu kujua ipi ni ya kweli na ipi sio. Lengo la ZoomTanzania ni kuwahabarisha kuhusu nafasi za kazi mbalimbali lakini kuna waharibifu wanatuchafulia jina letu. Napenda kushukuru kwa wale wote watupao taarifa ya nafasi mbalimbali wanazokuwa na mashaka nazo. Utapeli wa namna hii unatumika sio Tanzania tu ata nchi zingine. Mi ninachoomba tufanye kazi pamoja, kutusaidia kutoa taarifa pale mtu apatapo ujumbe kama huo. ZoomTanzania najua wengi mnakubali tunatangaza nafasi za ukweli na wengine mmewahi labda kuitwa katika interviews ama kupata kazi kwa kupitia Zoom. Naomba tushirikiane katika hili. Asante.[/FONT]
 
Habari, kwanza napenda kuwajulisha kuwa ZoomTanzania sio recruitment agency, ZoomTanzania ni Online Business Directory na katika mambo tunayofanya ni kutangaza nafasi za kazi. Kutangaza kazi ZoomTanzania ni bure, nataka kuwajulisha kuwa kuna watu wanatumia nafasi hiyo kuwaibia watafutaji kazi. Hii ni sababu wanajua kuna watu wako desperate na kupata kazi na watashawishika kulipia nafasi hizo. Kila mtu anayetuma maombi ya kazi kwa kupitia ZoomTanzania ana account, siku ya kufungua account kulikuwa na Code of Conducts na katika Code mojawapo ilisema hivi " I understand that I should never be asked to make a payment to apply for any job. I will report to ZoomTanzania.com any employer that requests a payment." na tunashukuru kuwa kuna watu wamekua wakitusaidia kureport kazi ambazo wameombwa kutoa malipo ya aina yoyote. ZoomTanzania haihusiki na utapeli huu, narudia tena ni watu wachache wanaotaka kutake advantage ya jobseekers wanafanya mchezo huo. Kila listing inayoingia ZoomTanzania inapitiwa na nakubali wakati mwingine ni ngumu kujua ipi ni ya kweli na ipi sio. Lengo la ZoomTanzania ni kuwahabarisha kuhusu nafasi za kazi mbalimbali lakini kuna waharibifu wanatuchafulia jina letu. Napenda kushukuru kwa wale wote watupao taarifa ya nafasi mbalimbali wanazokuwa na mashaka nazo. Utapeli wa namna hii unatumika sio Tanzania tu ata nchi zingine. Mi ninachoomba tufanye kazi pamoja, kutusaidia kutoa taarifa pale mtu apatapo ujumbe kama huo. ZoomTanzania najua wengi mnakubali tunatangaza nafasi za ukweli na wengine mmewahi labda kuitwa katika interviews ama kupata kazi kwa kupitia Zoom. Naomba tushirikiane katika hili. Asante.
Ni kweli mkuu watanzania inabidi kutumia akili, si kila jambo ni la kulalamika tu....
 
Watu wengi hawasomi code of conducts ,mikataba yao ya kazi ,warnings mbali mbali nk

Tubadilike!



Habari, kwanza napenda kuwajulisha kuwa ZoomTanzania sio recruitment agency, ZoomTanzania ni Online Business Directory na katika mambo tunayofanya ni kutangaza nafasi za kazi. Kutangaza kazi ZoomTanzania ni bure, nataka kuwajulisha kuwa kuna watu wanatumia nafasi hiyo kuwaibia watafutaji kazi. Hii ni sababu wanajua kuna watu wako desperate na kupata kazi na watashawishika kulipia nafasi hizo. Kila mtu anayetuma maombi ya kazi kwa kupitia ZoomTanzania ana account, siku ya kufungua account kulikuwa na Code of Conducts na katika Code mojawapo ilisema hivi " I understand that I should never be asked to make a payment to apply for any job. I will report to ZoomTanzania.com any employer that requests a payment." na tunashukuru kuwa kuna watu wamekua wakitusaidia kureport kazi ambazo wameombwa kutoa malipo ya aina yoyote. ZoomTanzania haihusiki na utapeli huu, narudia tena ni watu wachache wanaotaka kutake advantage ya jobseekers wanafanya mchezo huo. Kila listing inayoingia ZoomTanzania inapitiwa na nakubali wakati mwingine ni ngumu kujua ipi ni ya kweli na ipi sio. Lengo la ZoomTanzania ni kuwahabarisha kuhusu nafasi za kazi mbalimbali lakini kuna waharibifu wanatuchafulia jina letu. Napenda kushukuru kwa wale wote watupao taarifa ya nafasi mbalimbali wanazokuwa na mashaka nazo. Utapeli wa namna hii unatumika sio Tanzania tu ata nchi zingine. Mi ninachoomba tufanye kazi pamoja, kutusaidia kutoa taarifa pale mtu apatapo ujumbe kama huo. ZoomTanzania najua wengi mnakubali tunatangaza nafasi za ukweli na wengine mmewahi labda kuitwa katika interviews ama kupata kazi kwa kupitia Zoom. Naomba tushirikiane katika hili. Asante.
 
Zoom is genuine! Mimi niliitwa interviews nyingi tu kipitia zoom! Mjitahidi tu kutokuapply kampuni za vichochoroni mfano employer hataji kampuni, au kampuni unaona iko iko tu!

Be careful guys
 
Habari, kwanza napenda kuwajulisha kuwa ZoomTanzania sio recruitment agency, ZoomTanzania ni Online Business Directory na katika mambo tunayofanya ni kutangaza nafasi za kazi. Kutangaza kazi ZoomTanzania ni bure, nataka kuwajulisha kuwa kuna watu wanatumia nafasi hiyo kuwaibia watafutaji kazi. Hii ni sababu wanajua kuna watu wako desperate na kupata kazi na watashawishika kulipia nafasi hizo. Kila mtu anayetuma maombi ya kazi kwa kupitia ZoomTanzania ana account, siku ya kufungua account kulikuwa na Code of Conducts na katika Code mojawapo ilisema hivi " [FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]I understand that I should never be asked to make a payment to apply for any job. I will report to ZoomTanzania.com any employer that requests a payment." na tunashukuru kuwa kuna watu wamekua wakitusaidia kureport kazi ambazo wameombwa kutoa malipo ya aina yoyote. ZoomTanzania haihusiki na utapeli huu, narudia tena ni watu wachache wanaotaka kutake advantage ya jobseekers wanafanya mchezo huo. Kila listing inayoingia ZoomTanzania inapitiwa na nakubali wakati mwingine ni ngumu kujua ipi ni ya kweli na ipi sio. Lengo la ZoomTanzania ni kuwahabarisha kuhusu nafasi za kazi mbalimbali lakini kuna waharibifu wanatuchafulia jina letu. Napenda kushukuru kwa wale wote watupao taarifa ya nafasi mbalimbali wanazokuwa na mashaka nazo. Utapeli wa namna hii unatumika sio Tanzania tu ata nchi zingine. Mi ninachoomba tufanye kazi pamoja, kutusaidia kutoa taarifa pale mtu apatapo ujumbe kama huo. ZoomTanzania najua wengi mnakubali tunatangaza nafasi za ukweli na wengine mmewahi labda kuitwa katika interviews ama kupata kazi kwa kupitia Zoom. Naomba tushirikiane katika hili. Asante.[/FONT]

Leo sijaona nafasi za kazi ndugu,kulikon?
 
Back
Top Bottom