Zomba nakutafutia DDT.

Askari Kanzu

JF-Expert Member
Jan 7, 2011
4,598
1,233
Wewe zomba wakati mwingi unaniudhi na kunikera sana. Bado una mawazo ya tanu. Eti System at Work. Sasa, ingawa dawa ya DDT (dichlorodiphenyltrichloroethane) ilipigwa marufuku kutumika mimi ninaitafuta nikupulizie hadi ushindwe na ulegee. Dawa yako iko kikaangoni!!!
 
Wewe zomba wakati mwingi unaniudhi na kunikera sana. Bado una mawazo ya tanu. Eti System at Work. Sasa, ingawa dawa ya DDT (dichlorodiphenyltrichloroethane) ilipigwa marufuku kutumika mimi ninaitafuta nikupulizie hadi ushindwe na ulegee. Dawa yako iko kikaangoni!!!

he!...kwa nini uwe muuaji hivyo....si umpotezee tuu....khaaaa
 
leteni submission zenu kwangu ntatoa uamuzi.(muanze na charge sheet) sijajua mtafungua kesi ya namna ghani madai,jinai nk
 
Kweli mmefikia kutaka towana roho

Kwakuwa zomba avatar yake ni hii
avatar8464_2.gif
Ndiyo maana anasema lazima ampulizie DDT hana maana ya kumuua kama sijakosea kumuelewa!
 
Back
Top Bottom