Askari Kanzu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 4,598
- 1,233
Wewe zomba wakati mwingi unaniudhi na kunikera sana. Bado una mawazo ya tanu. Eti System at Work. Sasa, ingawa dawa ya DDT (dichlorodiphenyltrichloroethane) ilipigwa marufuku kutumika mimi ninaitafuta nikupulizie hadi ushindwe na ulegee. Dawa yako iko kikaangoni!!!