Elections 2010 ZNZ ikitafakari juu ya ajenda ya utaifa wake, Ajenda 5 ilizotunga Tanganyika kuimaliza Zanzibar

Upupu mtupu!!!. Mkuu naona unania ya kueneza chuki zisizo na maana. Kwanza taarifa yako imejaa maneno kama 'Nyerere anasemekana' na mengineyo kama hili, kwamba huna uhakika na unachokiandika. Pili TANU ilianzishwa mwaka 1957, hivyo kabla ya hapo Mwl. hajawahi kuwa mwenyekiti wa TANU. Hata huo uhuru wa Zanzibar unaouzungumzia historia inatuambia kwamba hadi tarehe 12/1/1964 Zanzibar ilikuwa inapeperusha bendera nyekundu ya Sultan Jamshid mhamiaji kutoka Oman aliyemrithi marehemu baba yake Sultan Seyyid Abdulla bin Khalifa. Hivyo hata vyama vya Hizbu na ZPPP viliposhinda uchaguzi wa Julai 1963 Zanzibar ilikuwa bado chini ya Sultan. Kama huijui historia ya Zanzibar bora ukae kimya usituletee upupu humu kwa great thinkers.
 
Ndugu zangu wa Visiwani, rejeeni hotuba ya Mh. Tundu Lissu Waziri kivuli Katiba na Sheria pale mjengoni, aliyaweka hayo yote wazi, lakini wabunge wa Visiwani wakaja juu kuwa ni mchonganeishi. Ukweli haupingiki, amueni tu nini mnataka, kwa pande zote mbili, Bara na Visiwani.
 
Tanganyika ingepata faida gani kwa kuizoofisha Zanzibar? Mpaka leo sijui ni kipi cha maana ambacho tunaweza kusema "Tanzania bara" imepata kwa kuungana na Zanzibar zaidi ya migogoro na siasa za "muafaka". I respect and admire Nyerere sana ila katika makosa makubwa ya uongozi wake ni huu muungano.

Hapo kwenye nyekundu napingana na wewe, hakuna mahali ambapo Nyerere hajafanya kosa katika uongozi wake labdaa katika kupiga porojo na kujichekesha chekesha vicheko vya kinafik
 
Hapo kwenye nyekundu napingana na wewe, hakuna mahali ambapo Nyerere hajafanya kosa katika uongozi wake labdaa katika kupiga porojo na kujichekesha chekesha vicheko vya kinafik
FF huwa ninakusoma kwa heshima kubwa humu jamvini, kitendo cha kudismiss mema yote ya Mwalimu, yaani you are just too blind to see due to remorse na maendeleo hasi ya watu wa imani yako hivyo umejoin team ya hate preachers ili kujifariji, andeleni kijifariji tuu, waliofanya makuu kwa nchi hii ni Mwinyi kwa kutoa rukhsa na JK kwa kuirihusu ile mahakama yetu!.

Ni ustaarabu wa kibinaadamu kuwazungumza kwa wema wazee wetu waliotangulia mbele ya haki hata kama jema ni moja tuu na mabaya 99!. Kitendo cha kudai hakuna hata jema moja ambalo Nyerere amelifanyia taifa hili. kutakupelekea kuhukumiwa na 'karma'.
 
Hapo kwenye nyekundu napingana na wewe, hakuna mahali ambapo Nyerere hajafanya kosa katika uongozi wake labdaa katika kupiga porojo na kujichekesha chekesha vicheko vya kinafik
Hata kutaifisha shule za kikristu ili waislamu nao wasome huoni kama ilikuwa nzuri kwa waislamu...??? Maana vinginevyo education gap would have been bigger than how it is today
 
Back
Top Bottom