Kiraka
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 3,839
- 3,086
Zitto ana wazo zuri ila kamwe hatapata sahihi za wabunge wa magamba. Hatafanikiwa
Hilo tunajua laweza tokea, lakini pia inaweza isiwe hivyo... Kikubwa Zitto tunaomba list ya watakao kuwa wamekweka hizo signature... ziwe zimetimia au hazikutumia ... tutajua wanafiki ni kina nani na tota dela nao huku majimboni.
Hapo ndio utaelewa wabunge maslahi na wanafiki ni kina nani... mapovu mengi mpaka wanalia... ikifika kwenye action wanagwaya.. utasikia sababu kibao.... tunaomba hayo majina pls.