Mh Zitto ni kweli kwa wazo lako wengi wa raia wema wa nchi yetu wanakuunga mkono. Hata hao wabunge wa CCM pia wanapenda iwe hivyo lakini ni woga tu ndio unawasumbua.
Sisi tumeamua kujitolea kuwashawisi wabunge wetu ili waweze kutia hizo sahihi ili upate kuwasilisha hoja binafsi. Ni kweli kama hutopata sahihi za wabunge wetu basi watakuwa wametusaliti kwa kiwango cha juu sana.
Hapo tunakuomba utusaidie ili na sisi kazi yetu iwe rahisi kuwatia adabu kwa usaliti wao. Baada ya kupata hizo sahihi tutakuomba utupe orodha ya wale walioweza kukupatia sahihi zao ili tuwajue wasaliti ni akina nani.
Unajua kwa jinsi wabunge walivyokuwa wakiongea kwa uchungu kiasi kile nitashangaa sana kama watashindwa kutumia nafasi hii kuiwajibisha serikali yao.
Haiwezekani kabisa eti uchangie kwa kupinga uozo wa serikali yako halafu unashindwa kuiwajibisha. Hapa Mh Zitto tunakuomba utuwekee orodha ya wote watakao saini.
Kushindwa kutupa hiyo orodha ni kutusaliti sisi wananchi wa Tanzania. Kwa kitendo hicho na wewe pia tutakuchukulia pia ni msaliti na mfitini wa taifa letu. Mimi naamini huwezi kutusaliti sisis watanzania wenzako.
Mungu akubariki na akulinde na wale wote wanaotaka kukufanyia ubaya!
Saa ya ukombozi imewadia, tunaomba wabunge watimize hili la kuweka sahihi na wazo za kuwasilisha hoja binafsi kufanikiwa. kila jambo lina mwisho wake, watanzania wanateseka kwa maisha magumu kutokana na mfumuko wa bei, kodi kubwa, lakini viongozi wetu serikalini hawalioni hili kila kukicha ni ufisadi kila kona, Tanzania imekuwa shamba la bibi. swala la uwajibikaji ndo nguzo ya utendaji bora mahala popote duniani, MUNGU bariki mabadiriko hayaMh Zitto ni kweli kwa wazo lako wengi wa raia wema wa nchi yetu wanakuunga mkono. Hata hao wabunge wa CCM pia wanapenda iwe hivyo lakini ni woga tu ndio unawasumbua.
Sisi tumeamua kujitolea kuwashawisi wabunge wetu ili waweze kutia hizo sahihi ili upate kuwasilisha hoja binafsi. Ni kweli kama hutopata sahihi za wabunge wetu basi watakuwa wametusaliti kwa kiwango cha juu sana.
Hapo tunakuomba utusaidie ili na sisi kazi yetu iwe rahisi kuwatia adabu kwa usaliti wao. Baada ya kupata hizo sahihi tutakuomba utupe orodha ya wale walioweza kukupatia sahihi zao ili tuwajue wasaliti ni akina nani.
Unajua kwa jinsi wabunge walivyokuwa wakiongea kwa uchungu kiasi kile nitashangaa sana kama watashindwa kutumia nafasi hii kuiwajibisha serikali yao.
Haiwezekani kabisa eti uchangie kwa kupinga uozo wa serikali yako halafu unashindwa kuiwajibisha. Hapa Mh Zitto tunakuomba utuwekee orodha ya wote watakao saini.
Kushindwa kutupa hiyo orodha ni kutusaliti sisi wananchi wa Tanzania. Kwa kitendo hicho na wewe pia tutakuchukulia pia ni msaliti na mfitini wa taifa letu. Mimi naamini huwezi kutusaliti sisis watanzania wenzako.
Mungu akubariki na akulinde na wale wote wanaotaka kukufanyia ubaya!
Mh Zitto ni kweli kwa wazo lako wengi wa raia wema wa nchi yetu wanakuunga mkono. Hata hao wabunge wa CCM pia wanapenda iwe hivyo lakini ni woga tu ndio unawasumbua.
Sisi tumeamua kujitolea kuwashawisi wabunge wetu ili waweze kutia hizo sahihi ili upate kuwasilisha hoja binafsi. Ni kweli kama hutopata sahihi za wabunge wetu basi watakuwa wametusaliti kwa kiwango cha juu sana.
Hapo tunakuomba utusaidie ili na sisi kazi yetu iwe rahisi kuwatia adabu kwa usaliti wao. Baada ya kupata hizo sahihi tutakuomba utupe orodha ya wale walioweza kukupatia sahihi zao ili tuwajue wasaliti ni akina nani.
Unajua kwa jinsi wabunge walivyokuwa wakiongea kwa uchungu kiasi kile nitashangaa sana kama watashindwa kutumia nafasi hii kuiwajibisha serikali yao.
Haiwezekani kabisa eti uchangie kwa kupinga uozo wa serikali yako halafu unashindwa kuiwajibisha. Hapa Mh Zitto tunakuomba utuwekee orodha ya wote watakao saini.
Kushindwa kutupa hiyo orodha ni kutusaliti sisi wananchi wa Tanzania. Kwa kitendo hicho na wewe pia tutakuchukulia pia ni msaliti na mfitini wa taifa letu. Mimi naamini huwezi kutusaliti sisis watanzania wenzako.
Mungu akubariki na akulinde na wale wote wanaotaka kukufanyia ubaya!
Kwa uchungu waliokuwa nao nadhani kura zitatimia vinginevyo watakuwa wanafiki na wasaliti wa taifa letu la Tanzania tuipendayo!!!!!Zitto ana wazo zuri ila kamwe hatapata sahihi za wabunge wa magamba. Hatafanikiwa
Komaa Mkuu wabunge wengine wapo tuu bungeni hawafanyi lolote, hawana faida yoyote kwa wananchi, nakuunga mkono mia kwa mia!!!!!Mkuu Jogi, tunahitaji pia kuona sahihi ya Salome D. Mwambu, mbunge wangu wa Iramba mashariki otherwise naandaa mkutano mkubwa jimboni na kumshitaki kwa umma.
Hamna kitu hapo,mimi nimekushtukia wewe.hii ni mbinu ya magamba ili kuwatisha wabunge wa ccm wenye nia ya kutia sahihi ili waogope na kubadili uamuzi kwa kuhofia kutambulika na kuchukuliwa hatua kichama.,
Najua kwamba anapotia sahihi tayari hakuna kificho ila hii ni kama kitisho ili waweze kubadili maamuzi au kusita na watakapoamua basi iwe ni too late.
Zitto ana wazo zuri ila kamwe hatapata sahihi za wabunge wa magamba. Hatafanikiwa
Ndiyo mkuu PETITION Inakubalika ni just sahihi za idada fulani kubwa ya wananchi zinazopelekwa kule kuonesha wameunga mkono hoja fulani.
Tatizo hapa si umagamba au CDM na wewe huelewi mimi nimesema hivyo kama mfuasi wa chama au mwana JF,ninaelewa siasa za nchi hii kwa kina kuliko wewe mchezea laptop,soma identification yangu na utaelewa nini maana ya COMMONMWANANCHI,Acha porojo zko wewe mwana magamba! Kama kuna mbuge anayesoma alama za nyakati basi hataogopa kutia sahihi na oradha yao kuletwa kwenye public. Wananchi ndiyo tunawachagua kutuwakilisha na siyo kuwakilisha chama, SASA BASI WALE WATAKAO TIA SAHIHI NA KUFUKUZWA CCM, BASI MILANGO IPO WAZI KWENYE VYAMA VINGINE WENYE WAPIGANAJI WA KWELI, NA HAO NDIYO CDM TUNAWATAKA. CCM wakiwafukuza sisi wananchi tutawarudisha bungeni, kuna uwoga gani hapo? Nani zaidi kati ya CCM na wananchi wapiga kura? KAJINGE UPYA HOJA ZAKO HAZINA MASHIKO