Zitto Zuberi Kabwe ni Mchochezi. Akamatwe, Ashitakiwe kwa Uchochezi, adai Rais Magufuli ni...

Nadhani Zitto lengo lake ni kuuteka umma usiojua kwamba data za ndege zinapatikanaje. Ndege zimetengenezwa 2015 na zilikuwa hazijawahi kumilikiwa na shirika lolote zaidi ya watengenezaji ndio maana hata huku kwetu zilikuja na namba za kiwandani. Sasa yeye Zitto kusema ndege zilikuwa zinamilikiwa na Kazakstan ni uongo ulio wazi kabisa. Na anafanya hivyo kwa maksudi ya kumchafua Mh. Rais pamoja na serikali yake. Tatizo watu wanapokosa hoja za msingi wanabaki kutunga uongo kama huu. Ndege ni za Kazakstan iweje Bombadier ndio wafanye delivery kwetu? Iweje Bombadier wafanye publication kwenye website yao kwamba wameiuzia serikali ya Tanzania ndege mbili mpya? Ina maana Zitto anataka kutuambia kuwa Bombadier na serikali wameshirikiana kuudanganya umma? Jamani wanasiasa hebu ifike mahali tuache kujivua nguo kwa kusema uongo kwa vitu ambavyo ukweli wake upo hadharani. Kwani ukimpongeza mheshimiwa Rais na serikali yake kwa kazi nzuri wanayoifanya katika kufufua ATCL kuna tatizo gani? Mimi nizidi kumuomba Mh. Rais na serikali yake kwamba wasilegeze Kamba, waendelee na moyo huohuo wa kuwatumikia watanzania. Kazi nzuri wanayoifanya isikatishwe tamaa na wanasiasa wanaopenda kukosoa kila kitu.
 
Nadhani Zitto lengo lake ni kuuteka umma usiojua kwamba data za ndege zinapatikanaje. Ndege zimetengenezwa 2015 na zilikuwa hazijawahi kumilikiwa na shirika lolote zaidi ya watengenezaji ndio maana hata huku kwetu zilikuja na namba za kiwandani. Sasa yeye Zitto kusema ndege zilikuwa zinamilikiwa na Kazakstan ni uongo ulio wazi kabisa. Na anafanya hivyo kwa maksudi ya kumchafua Mh. Rais pamoja na serikali yake. Tatizo watu wanapokosa hoja za msingi wanabaki kutunga uongo kama huu. Ndege ni za Kazakstan iweje Bombadier ndio wafanye delivery kwetu? Iweje Bombadier wafanye publication kwenye website yao kwamba wameiuzia serikali ya Tanzania ndege mbili mpya? Ina maana Zitto anataka kutuambia kuwa Bombadier na serikali wameshirikiana kuudanganya umma? Jamani wanasiasa hebu ifike mahali tuache kujivua nguo kwa kusema uongo kwa vitu ambavyo ukweli wake upo hadharani. Kwani ukimpongeza mheshimiwa Rais na serikali yake kwa kazi nzuri wanayoifanya katika kufufua ATCL kuna tatizo gani? Mimi nizidi kumuomba Mh. Rais na serikali yake kwamba wasilegeze Kamba, waendelee na moyo huohuo wa kuwatumikia watanzania. Kazi nzuri wanayoifanya isikatishwe tamaa na wanasiasa wanaopenda kukosoa kila kitu.
1.ATCL haijafufuka kwa sababu tu ya kununuliwa kwa ndege hizo.....bado kuna mambo mengine yatakayothibitisha ufufuko huo
2. Bombadier kuweka hii kitu kwenye website yao is not a big deal na haiwezi kuua hoja ya Zitto (kama ina ukweli lakini)
3. Hata Bombadier kufanya delivery ya hizo ndege kwetu haiwezi kuua hoja ya Zitto.
Jambo la msingi hapa ni Zitto athibitishe umtumba wa hizo ndege ambazo mpendwa rais wetu "amesigina sheria ya manunuzi" na kuzinunua!
 
Wanabodi,

Akizungumza kwenye mahojiano ya live kwenye kipindi cha Clouds 360 kinachorushwa na kituo cha TV cha Clouds TV, akizungumzia kuhusu Ndege Mpya za Bombadier, (Wakati Rais Magufuli akizizindua alisema ndege hizo ni mpya na zimenunuliwa kwa direct sale kutoka kiwandani, bila kupitia kwa madalali), Mbunge wa Kigoma Mjini, Mhe. Zitto Zuberi Kabwe, ametangaza kuwa ndege hizo ni mtumba, zilinunuliwa na shirika la ndege la Kazakstan zikiwa ni ndege 10, biasharra imefanywa kupitia kwa madalali, na kilichokuwa kikifanyika, ilikuwa ni kuzipaka rangi tuu ili zionekane ni mpya!.

Kauli yoyote ya rais, ndio kauli ya ukweli na ndio kauli ya mwisho, hivyo kama rais ameishasema ndege ni mpya, na zimenunuliwa toka kiwandani, haiwezekani tena akaibuka Mtanzania mwingine na kusema wazi, tena live kuwa ndege zile ni mtumba na kwenye biashara hiyo kulikuwa na madalali!, huku ni kumuaibisha rais wetu, kutaka kuonyesha rais amesema uongo, na yeye Zitoo ndio anayesema kweli, hivyo nashauri Mhe. Zitto akamatwe kwa haraka na kushitakiwa kwa uchochezi, kufuatia ushawishi mkubwa alionao mbunge huyu kwa kada ya vijana, wanaweza kumuamini Zitto na kumuona rais wetu ni muongo, wakati ukweli halisi, Zitto ndio atakuwa muongo!.

Akisisitiza kuhusu ndege hizo, Mhe. Zitto pia amepingana na kauli ya rais kuwa ngarama za ndege hizo ni siri za kibiashara, Zitto anadai kuwa hakuna siri yoyote ya biashara katika ununuzi wa rasilimali za taifa, Watanzania wana haki ya kujua matumizi ya kila senti ya fedha za umma!, huu pia ni uchochezi!, kama rais amesema bei ya ndege ni siri ya kibiashara, halafu mtu anaibuka na kutofautiana na rais kuwa kwenye matumizi ya fedha za umma, hakuna siri yoyote!, huku ni kutaka kumdhalilisha rais!, akamatwe ashitakiwe kwa uchochezi.

Rais kasema tumenunua ndege mpya moja kwa moja kutoka kiwandani na hakuna dalali, Zitto anasema tumenunua ndege mtumba kutoka Kazastan na tumepitia kwa dalali, hivyo hizo fedha zimekwenda kwa mwenye ndege!.

Hata hivyo, huyu Zitto anaakili sana, ili kuepuka kushitakiwa kwa uchochezi, amesema japo ni kweli ndege hizo tayari zilikuwa ni za shirika la ndege la Kazakstan ziliishapakwa rangi za nchi hiyo, ila inawezekana zilikuwa bado mpya kweli ila kwa vile ziliishapakwa rangi ya Kazakstan, hivyo zimebadilishwa tuu rangi kuguswa za Tanzania . Hivyo ameitaka serikali iseme kweli, Pesa zimelipwa kwa dalali gani na amelipwa nani kati ya kiwandani na mwenye ndege zake! . "Seek the truth and the truth will set you free" emphasis mine!.

Ukiondoa hoja ya upya au uutumba wa ndege hiyo, Mhe. Zitto ameupongeza uamuzi wa Serikali kufufua ATC na amempongeza rais Magufuli kwa uamuzi wa kununua ndege hizo na kueleza zitaleta unafuu mkubwa sana kwa usafiri wa anga japo ameshangaa kwa nini tununue kwa cash wakati option ya hire purchase ilikuwepo.
My Opinion, inawezekana ni kweli ndege zilikuwa za Kazakhstan ila wamezinunua mpya kutoka kiwandani kwa malipo ya hire purchase, ila kwa vile Tanzania imelipa cash, ikaamuliwa ndege mbili za Kazakhstan zibadilishwe tupewe Tanzania wenye cash cash in hand hivyo tumewapiga tanchi wa Kazakhstan kwa ujanja kuwahi.

Zitto akasisitiza kuwa yeye ni mkweli daima Magufuli na serikali ya CCM walifanya mambo mazuri anawaunga mkono na kuwapongeza hadharani ila wakifanya mambo ya hovyo hovyo kama kuzuia mikutano ya hadhara ya kisiasa, anawapinga bila kuogopa.

Hapa hoja sio nani ni mkweli na nani ni muongo kati ya Mhe. Zitto na rais Magufuli, but automatically rais Magufuli ndio mkweli na Zitto atakuwa ndie muongo, akamatwe, ashitakiwe kwa uchochezi! .

Pasco
Mimi nilifikiri utasema tutafute nani mkweli kati ya magu na zito, yaani hii nchi ukiwa kiongozi mkuu ata kama jiwe utasifiwa tu, njaa mbaya
 
Hapa hoja sio nani ni mkweli na nani ni muongo kati ya Mhe. Zitto na rais Magufuli, but automatically rais Magufuli ndio mkweli na Zitto atakuwa ndie muongo, akamatwe, ashitakiwe kwa uchochezi! .
Pasco[/QUOTE]

Pasco wewe ndo mchochezi, nini ambacho amesema zitto cha Uongo? Wewe hujui dili za nchi hii zote za namna hiyo huwezi kuzitenga na sisiem? Acha uchochezi kutuaminisha mkuu sio wa sisiem!!! Mkuu anatekeleza Ilani, mwache...., oooh dalali..dalali, hivi akiwa anakadi ya sisiem unafikiri kuna mtu atathubutu kumtaja? List ni ndefu....singa singa, Rostam, Chenge, Riz 1, Simba Trust, ......Sisiem


Sent from mTalk
 
Je zito akishtakiwa na akawashinda/akatoa ushahidi, hiyo kauli yako kuwa rais hawezi kusema uongo si itakuwa aibu, na atafidiwa kwa kundhalilisha? Mara ngapi wapinzani wanasutwa bungeni kuwa ni waongo na baadae ukweli unadhibitika.
 
Mimi nilifikiri utasema tutafute nani mkweli kati ya magu na zito, yaani hii nchi ukiwa kiongozi mkuu ata kama jiwe utasifiwa tu, njaa mbaya
Na ndiyo maana na lengo hasa la mleta hoja.

Msome vizuri na kwa umakini, jamaa kacheza na sanaa ya lugha si nchezo. Ukiwa na haraka ya kukomenti tu, utaingia chaka tu!!

Kwa lugha rahisi na ya moja kwa moja waweza kusema kuwa kuna possibility kubwa Mtukufu katudanya na Zitto ndiye yuko sahihi!!

Uzuri ni kuwa wote wameongea live mbele ya TV
Wanabodi,

Akizungumza kwenye mahojiano ya live kwenye kipindi cha Clouds 360 kinachorushwa na kituo cha TV cha Clouds TV, akizungumzia kuhusu Ndege Mpya za Bombadier, (Wakati Rais Magufuli akizizindua alisema ndege hizo ni mpya na zimenunuliwa kwa direct sale kutoka kiwandani, bila kupitia kwa madalali), Mbunge wa Kigoma Mjini, Mhe. Zitto Zuberi Kabwe, ametangaza kuwa ndege hizo ni mtumba, zilinunuliwa na shirika la ndege la Kazakstan zikiwa ni ndege 10, biasharra imefanywa kupitia kwa madalali, na kilichokuwa kikifanyika, ilikuwa ni kuzipaka rangi tuu ili zionekane ni mpya!.

Kauli yoyote ya rais, ndio kauli ya ukweli na ndio kauli ya mwisho, hivyo kama rais ameishasema ndege ni mpya, na zimenunuliwa toka kiwandani, haiwezekani tena akaibuka Mtanzania mwingine na kusema wazi, tena live kuwa ndege zile ni mtumba na kwenye biashara hiyo kulikuwa na madalali!, huku ni kumuaibisha rais wetu, kutaka kuonyesha rais amesema uongo, na yeye Zitoo ndio anayesema kweli, hivyo nashauri Mhe. Zitto akamatwe kwa haraka na kushitakiwa kwa uchochezi, kufuatia ushawishi mkubwa alionao mbunge huyu kwa kada ya vijana, wanaweza kumuamini Zitto na kumuona rais wetu ni muongo, wakati ukweli halisi, Zitto ndio atakuwa muongo!.

Akisisitiza kuhusu ndege hizo, Mhe. Zitto pia amepingana na kauli ya rais kuwa ngarama za ndege hizo ni siri za kibiashara, Zitto anadai kuwa hakuna siri yoyote ya biashara katika ununuzi wa rasilimali za taifa, Watanzania wana haki ya kujua matumizi ya kila senti ya fedha za umma!, huu pia ni uchochezi!, kama rais amesema bei ya ndege ni siri ya kibiashara, halafu mtu anaibuka na kutofautiana na rais kuwa kwenye matumizi ya fedha za umma, hakuna siri yoyote!, huku ni kutaka kumdhalilisha rais!, akamatwe ashitakiwe kwa uchochezi.

Rais kasema tumenunua ndege mpya moja kwa moja kutoka kiwandani na hakuna dalali, Zitto anasema tumenunua ndege mtumba kutoka Kazastan na tumepitia kwa dalali, hivyo hizo fedha zimekwenda kwa mwenye ndege!.

Hata hivyo, huyu Zitto anaakili sana, ili kuepuka kushitakiwa kwa uchochezi, amesema japo ni kweli ndege hizo tayari zilikuwa ni za shirika la ndege la Kazakstan ziliishapakwa rangi za nchi hiyo, ila inawezekana zilikuwa bado mpya kweli ila kwa vile ziliishapakwa rangi ya Kazakstan, hivyo zimebadilishwa tuu rangi kuguswa za Tanzania . Hivyo ameitaka serikali iseme kweli, Pesa zimelipwa kwa dalali gani na amelipwa nani kati ya kiwandani na mwenye ndege zake! . "Seek the truth and the truth will set you free" emphasis mine!.

Ukiondoa hoja ya upya au uutumba wa ndege hiyo, Mhe. Zitto ameupongeza uamuzi wa Serikali kufufua ATC na amempongeza rais Magufuli kwa uamuzi wa kununua ndege hizo na kueleza zitaleta unafuu mkubwa sana kwa usafiri wa anga japo ameshangaa kwa nini tununue kwa cash wakati option ya hire purchase ilikuwepo.
My Opinion, inawezekana ni kweli ndege zilikuwa za Kazakhstan ila wamezinunua mpya kutoka kiwandani kwa malipo ya hire purchase, ila kwa vile Tanzania imelipa cash, ikaamuliwa ndege mbili za Kazakhstan zibadilishwe tupewe Tanzania wenye cash cash in hand hivyo tumewapiga tanchi wa Kazakhstan kwa ujanja kuwahi.

Zitto akasisitiza kuwa yeye ni mkweli daima Magufuli na serikali ya CCM walifanya mambo mazuri anawaunga mkono na kuwapongeza hadharani ila wakifanya mambo ya hovyo hovyo kama kuzuia mikutano ya hadhara ya kisiasa, anawapinga bila kuogopa.

Hapa hoja sio nani ni mkweli na nani ni muongo kati ya Mhe. Zitto na rais Magufuli, but automatically rais Magufuli ndio mkweli na Zitto atakuwa ndie muongo, akamatwe, ashitakiwe kwa uchochezi! .

Pasco
 
Pasco wewe ndiyo mchochezi kama unajua huyu mbunge anaushawishi kwa vijana kwanini unaisemea serikali? Kwani nimara yakwanza kununuliwa vitu vibovu? Acha kabisa kutisha wananchi
 
Wanabodi,

Akizungumza kwenye mahojiano ya live kwenye kipindi cha Clouds 360 kinachorushwa na kituo cha TV cha Clouds TV, akizungumzia kuhusu Ndege Mpya za Bombadier, (Wakati Rais Magufuli akizizindua alisema ndege hizo ni mpya na zimenunuliwa kwa direct sale kutoka kiwandani, bila kupitia kwa madalali), Mbunge wa Kigoma Mjini, Mhe. Zitto Zuberi Kabwe, ametangaza kuwa ndege hizo ni mtumba, zilinunuliwa na shirika la ndege la Kazakstan zikiwa ni ndege 10, biasharra imefanywa kupitia kwa madalali, na kilichokuwa kikifanyika, ilikuwa ni kuzipaka rangi tuu ili zionekane ni mpya!.

Kauli yoyote ya rais, ndio kauli ya ukweli na ndio kauli ya mwisho, hivyo kama rais ameishasema ndege ni mpya, na zimenunuliwa toka kiwandani, haiwezekani tena akaibuka Mtanzania mwingine na kusema wazi, tena live kuwa ndege zile ni mtumba na kwenye biashara hiyo kulikuwa na madalali!, huku ni kumuaibisha rais wetu, kutaka kuonyesha rais amesema uongo, na yeye Zitoo ndio anayesema kweli, hivyo nashauri Mhe. Zitto akamatwe kwa haraka na kushitakiwa kwa uchochezi, kufuatia ushawishi mkubwa alionao mbunge huyu kwa kada ya vijana, wanaweza kumuamini Zitto na kumuona rais wetu ni muongo, wakati ukweli halisi, Zitto ndio atakuwa muongo!.

Akisisitiza kuhusu ndege hizo, Mhe. Zitto pia amepingana na kauli ya rais kuwa ngarama za ndege hizo ni siri za kibiashara, Zitto anadai kuwa hakuna siri yoyote ya biashara katika ununuzi wa rasilimali za taifa, Watanzania wana haki ya kujua matumizi ya kila senti ya fedha za umma!, huu pia ni uchochezi!, kama rais amesema bei ya ndege ni siri ya kibiashara, halafu mtu anaibuka na kutofautiana na rais kuwa kwenye matumizi ya fedha za umma, hakuna siri yoyote!, huku ni kutaka kumdhalilisha rais!, akamatwe ashitakiwe kwa uchochezi.

Rais kasema tumenunua ndege mpya moja kwa moja kutoka kiwandani na hakuna dalali, Zitto anasema tumenunua ndege mtumba kutoka Kazastan na tumepitia kwa dalali, hivyo hizo fedha zimekwenda kwa mwenye ndege!.

Hata hivyo, huyu Zitto anaakili sana, ili kuepuka kushitakiwa kwa uchochezi, amesema japo ni kweli ndege hizo tayari zilikuwa ni za shirika la ndege la Kazakstan ziliishapakwa rangi za nchi hiyo, ila inawezekana zilikuwa bado mpya kweli ila kwa vile ziliishapakwa rangi ya Kazakstan, hivyo zimebadilishwa tuu rangi kuguswa za Tanzania . Hivyo ameitaka serikali iseme kweli, Pesa zimelipwa kwa dalali gani na amelipwa nani kati ya kiwandani na mwenye ndege zake! . "Seek the truth and the truth will set you free" emphasis mine!.

Ukiondoa hoja ya upya au uutumba wa ndege hiyo, Mhe. Zitto ameupongeza uamuzi wa Serikali kufufua ATC na amempongeza rais Magufuli kwa uamuzi wa kununua ndege hizo na kueleza zitaleta unafuu mkubwa sana kwa usafiri wa anga japo ameshangaa kwa nini tununue kwa cash wakati option ya hire purchase ilikuwepo.
My Opinion, inawezekana ni kweli ndege zilikuwa za Kazakhstan ila wamezinunua mpya kutoka kiwandani kwa malipo ya hire purchase, ila kwa vile Tanzania imelipa cash, ikaamuliwa ndege mbili za Kazakhstan zibadilishwe tupewe Tanzania wenye cash cash in hand hivyo tumewapiga tanchi wa Kazakhstan kwa ujanja kuwahi.

Zitto akasisitiza kuwa yeye ni mkweli daima Magufuli na serikali ya CCM walifanya mambo mazuri anawaunga mkono na kuwapongeza hadharani ila wakifanya mambo ya hovyo hovyo kama kuzuia mikutano ya hadhara ya kisiasa, anawapinga bila kuogopa.

Hapa hoja sio nani ni mkweli na nani ni muongo kati ya Mhe. Zitto na rais Magufuli, but automatically rais Magufuli ndio mkweli na Zitto atakuwa ndie muongo, akamatwe, ashitakiwe kwa uchochezi! .

Pasco

Toa uongo wako hapa mbona hata mimi nimemsiliza zito tena kwa makini lakini maneno yako ulioongea hapa zito hajazungumza uomeongeza maneno mengi sana
 
Anaandika kiongozi wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe

Taarifa yetu kuhusu ' kupikwa ' Kwa takwimu za Pato la Taifa tutaitoa mara baada ya kikao cha Kamati Kuu ya Chama cha Act Wazalendo kitakachoketi 28/10/2017. Sheria ya Takwimu aliyotaja Rais kutaka itumike kuziba watu midomo haizuii tafsiri za Takwimu zinazotolewa na Serikali.

Tunatumia takwimu za Serikali kuonyesha kuwa Serikali inadanganya Kwa kutokusema ukweli wote wa uhalisia wa uchumi na kuporomoka Kwa mapato. Ni sawa na mtu anayesema Glasi ni ' half empty or half full ' kwani anasema kitu kile kile.

Kwa mfano, Rais anaposema kuwa Serikali inatekeleza miradi mikubwa Kwa kutumia ongezeko la kodi anakuwa anadanganya Wananchi na anafanya hivyo akijua anadanganya. Rais anajua kuwa Deni la Taifa limeongezeka Kwa TZS 6.5trn katika miaka yake miwili ya urais. ( Deni la Nje limeongezeka Kwa US$1.5bn ( TZS 4.5trn) kati ya July 2016-July 2017. Deni la ndani limeongezeka Kwa TZS 2trn katika kipindi hicho.

Soma . http://www.bot.go.tz/Publications/MonthlyEconomicReviews/MER August 2017 Final.pdf ).

Pia Rais anajua kuwa Serikali inatumia, bila kufuata sheria, Fedha za Mashirika ya Umma zilizopo Benki Kuu kulipia baadhi ya Miradi yake. Kukiuka sheria za Fedha ni kosa la jinai na wakati mwengine kosa la kikatiba kwani Katiba imeweka utaratibu wa masuala ya Fedha za Umma.

Kodi inayokusanywa na TRA inaweza kulipa mishahara na kuhudumia Deni la Taifa tu. Kwanini Rais wetu hasemi kuwa tunakopa? Kukopa sio dhambi, kwanini aaminishe watu kuwa anatekeleza miradi Kwa kuwa kodi zimeongezeka? Kama Rais anaamini kuwa Mapato hayajaporomoka, aruhusu ukaguzi maalumu wa CAG kwenye Mapato ya July na Agosti 2017 na ukaguzi huo uwekwe wazi Kwa umma.

Rais akifanya hivyo NITAWAJIBIKA
Wajemini, huu ni uchochezi mwingine wa Mhe. Zitto, alipotoa uchochezi wa kwenye bandiko hili, alisamehewa, lakini kwa uchochezi huu, kamwe hawezi kusamehewa!.

This time tutashuhudia Zitto akikamatwa na kushitakiwa kwa uchochezi, hata ile taarifa kuwa tumekopa dola milioni 500 Uswisi na tutalipa dola milioni 900 baada ya miaka mitano itakuwa ni uongo!.
Hii taarifa kuwa Deni la Taifa limeongezeka Kwa TZS 6.5trn katika miaka yake miwili ya urais, huu pia utakuwa ni uongo!.
Hii taarifa kuwa Deni la Nje limeongezeka Kwa US$1.5bn ( TZS 4.5trn) kati ya July 2016-July 2017 pia itakuwa ni uongo!. Hii taarifa kuwa Deni la ndani limeongezeka Kwa TZS 2trn katika kipindi hicho, pia itakuwa ni uongo!.
Mtu hawezi kusema uongo mkubwa kama huu tena waziwazi mchwana kweupe akaachwa tuu hivi hivi!.
Lets wait and see!.

Paskali
 
Wajemini, huu ni uchochezi mwingine wa Mhe. Zitto, alipotoa uchochezi wa kwenye bandiko hili, alisamehewa, lakini kwa uchochezi huu, kamwe hawezi kusamehewa!.

This time tutashuhudia Zitto akikamatwa na kushitakiwa kwa uchochezi, hata ile taarifa kuwa tumekopa dola milioni 500 Uswisi na tutalipa dola milioni 900 baada ya miaka mitano itakuwa ni uongo!.
Hii taarifa kuwa Deni la Taifa limeongezeka Kwa TZS 6.5trn katika miaka yake miwili ya urais, huu pia utakuwa ni uongo!.
Hii taarifa kuwa Deni la Nje limeongezeka Kwa US$1.5bn ( TZS 4.5trn) kati ya July 2016-July 2017 pia itakuwa ni uongo!. Hii taarifa kuwa Deni la ndani limeongezeka Kwa TZS 2trn katika kipindi hicho, pia itakuwa ni uongo!.
Mtu hawezi kusema uongo mkubwa kama huu tena waziwazi mchwana kweupe akaachwa tuu hivi hivi!.
Lets wait and see!.

Paskali
Ni kweli Zitto ni mchochezi lakini mbona huwa hakamatwi?
 
Wajemini, huu ni uchochezi mwingine wa Mhe. Zitto, alipotoa uchochezi wa kwenye bandiko hili, alisamehewa, lakini kwa uchochezi huu, kamwe hawezi kusamehewa!.

This time tutashuhudia Zitto akikamatwa na kushitakiwa kwa uchochezi, hata ile taarifa kuwa tumekopa dola milioni 500 Uswisi na tutalipa dola milioni 900 baada ya miaka mitano itakuwa ni uongo!.
Hii taarifa kuwa Deni la Taifa limeongezeka Kwa TZS 6.5trn katika miaka yake miwili ya urais, huu pia utakuwa ni uongo!.
Hii taarifa kuwa Deni la Nje limeongezeka Kwa US$1.5bn ( TZS 4.5trn) kati ya July 2016-July 2017 pia itakuwa ni uongo!. Hii taarifa kuwa Deni la ndani limeongezeka Kwa TZS 2trn katika kipindi hicho, pia itakuwa ni uongo!.
Mtu hawezi kusema uongo mkubwa kama huu tena waziwazi mchwana kweupe akaachwa tuu hivi hivi!.
Lets wait and see!.

Paskali
Kwa mujibu wa utafiti wako wewe katika hayo yote ukweli ni upi?
 
Wajemini, huu ni uchochezi mwingine wa Mhe. Zitto, alipotoa uchochezi wa kwenye bandiko hili, alisamehewa, lakini kwa uchochezi huu, kamwe hawezi kusamehewa!.

This time tutashuhudia Zitto akikamatwa na kushitakiwa kwa uchochezi, hata ile taarifa kuwa tumekopa dola milioni 500 Uswisi na tutalipa dola milioni 900 baada ya miaka mitano itakuwa ni uongo!.
Hii taarifa kuwa Deni la Taifa limeongezeka Kwa TZS 6.5trn katika miaka yake miwili ya urais, huu pia utakuwa ni uongo!.
Hii taarifa kuwa Deni la Nje limeongezeka Kwa US$1.5bn ( TZS 4.5trn) kati ya July 2016-July 2017 pia itakuwa ni uongo!. Hii taarifa kuwa Deni la ndani limeongezeka Kwa TZS 2trn katika kipindi hicho, pia itakuwa ni uongo!.
Mtu hawezi kusema uongo mkubwa kama huu tena waziwazi mchwana kweupe akaachwa tuu hivi hivi!.
Lets wait and see!.

Paskali
Tukifanya hili jambo hoja kwa hoja tutajua nani mchochezi na muongo!!

Je, Serikali iko tayari kuweka data sahihi kujibu hizi tuhuma??

Najua mtakimbilia
tapatalk_1507481681414.jpeg
 
Wanabodi,

Akizungumza kwenye mahojiano ya live kwenye kipindi cha Clouds 360 kinachorushwa na kituo cha TV cha Clouds TV, akizungumzia kuhusu Ndege Mpya za Bombadier, (Wakati Rais Magufuli akizizindua, rais alisema ndege hizo ni mpya kabisa na zimenunuliwa kwa direct sale kutoka kiwandani, bila kupitia kwa madalali, Mbunge wa Kigoma Mjini, Mhe. Zitto Zuberi Kabwe, ametangazia umma kupitia Clouds 360 kuwa ndege hizo sii ni ndege za mtumba, zilitengenezwa kwa ajili ya shirika la ndege la Kazakhstan, na sio kwa ajili ya Tanzania, tena akasema order ya Kazakhstani ni ndege 10, biashara ya kuuziwa Tanzania, imefanywa kupitia kwa madalali, na kilichokuwa kikifanyika, ilikuwa ni kuzipaka rangi tuu kwa kuchubua rangi ya Kazakhstan na kuzipaka rangi ya Tanzania ili zionekane ni mpya!.

Rais kama mkuu wa nchi na amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama, kauli yoyote ya rais, ndio kauli ya ukweli na ndio kauli ya mwisho, hivyo kama rais ameishasema kuwa ndege ni mpya, na zimenunuliwa kwa cash direct kutoka kiwandani, haiwezekani tena akaibuka Mtanzania mwingine yoyote wa kumbishia rais nchi, tena kwa kusema wazi, tena live kwenye TV, kuwa ndege zile ni mtumba na kwenye biashara hiyo kulikuwa na madalali!, huku ni kumuaibisha rais wetu, kutaka kuonyesha rais wetu amesema uongo, na yeye Zitto ndio anayesema ukweli, hivyo nashauri kwa hiki alichokisema Mhe. Zitto, akamatwe kwa haraka na kushitakiwa kwa uchochezi, wa kutoa mane ya kashfa, yatakayopelekea kumkashifu rais wetu kuonekana ni muongo!, na kufuatia jinsi mbunge huyu kijana, Zitto, alivyo na ushawishi mkubwa kwa kada ya vijana, vijana wa Tanzania, wanaweza kumuamini Zaidi Zitto badala ya rais wao na hivyo kumuona rais wao kama vile ni muongo, kitu ambacho sii kweli, wakati ukweli halisi, ni Zitto ndio atakuwa muongo na siku zote rais ndie mkweli daima.

Akisisitiza kuhusu ndege hizo, Mhe. Zitto pia amepingana na kauli ya rais kuwa gharama za ndege hizo ni siri za kibiashara kati ya shirika hilo la ndege na serikali ya Tanzania, Zitto anadai kuwa kwenye manunuzi ya umma, public procurement, hakuna siri yoyote ya biashara katika ununuzi wa manunuzi ya umma yanayotumia rasilimali za taifa, na kudai Watanzania wana haki ya kujua matumizi yote ya kila senti ya fedha za umma kwa ukweli na uwazi!. Huu pia ni uchochezi!, kama rais wa nchi amesema bei ya ndege ni siri ya kibiashara, halafu anaibuka mtu na kutofautiana na rais kuwa kwenye matumizi ya fedha za umma, yatatakiwa kufanyika kwa ushindani wa wazi, na hata kwenye restricted tendering, bado hakuna siri yoyote. Watanzania wana haki ya kujua matumizi ya fedha zote za umma, maana ni fedha zao na ni kodi zao, na hata kama serikali itakopa, wanaozilipa ni Watanzania!. Huku pia ni kutaka kumdhalilisha rais!, hivyo Zitto akamatwe ashitakiwe kwa uchochezi.

Rais kasema tumenunua ndege mpya moja kwa moja kutoka kiwandani na hakuna dalali, Zitto anasema tumenunua ndege mtumba za Kazakhstan toka kiwandani ambazo
hizo hizo fedha tulizolipa, tumepitia kwa dalali na hazikulipwa direct kiwandani, bali zimelipwa kupitia kwa dalali na zimekwenda sio kiwandani, bali kwa mwenye ndege Kazakhstan!.

Hata hivyo, huyu Zitto anaakili sana, ili kuepuka kushitakiwa kwa uchochezi, amesema japo ni kweli ndege hizo tayari zilikuwa ni mali ya shirika la ndege la Kazakstan na ziliishapakwa rangi ya Kazakstan, hivyo zimebadilishwa tuu rangi kupakwa rangi za Tanzania na vile zilikuwa bado hazijakabidhiwa Kazakhstan, then kwa Tanzania ni mpya . Hivyo ameitaka serikali iseme kweli, pesa zimelipwa kwa dalali gani na amelipwa nani kati ya kiwandani na mwenye ndege zake! . "Seek the truth and the truth will set you free" emphasis mine!.

Ukiondoa hoja ya upya au uutumba wa ndege hiyo, Mhe. Zitto ameupongeza uamuzi wa Serikali kufufua ATC na amempongeza rais Magufuli kwa uamuzi wa kununua ndege hizo na kueleza zitaleta unafuu mkubwa sana kwa usafiri wa anga japo ameshangaa kwa nini tununue kwa cash wakati option ya hire purchase ilikuwepo?!.

My Opinion, inawezekana ni kweli ndege zilikuwa za Kazakhstan ila wamezinunua mpya kutoka kiwandani kwa malipo ya hire purchase, ila kwa vile Tanzania imelipa cash, ikaamuliwa ndege mbili za Kazakhstan zibadilishwe rangi tupewe Tanzania wenye cash cash in hand hivyo tumewapiga tanchi wa Kazakhstan kwa ujanja kuwahi.

Zitto akasisitiza kuwa yeye ni mkweli daima Magufuli na serikali ya CCM wakifanya mambo mazuri anawaunga mkono na kuwapongeza hadharani ila wakifanya mambo ya hovyo hovyo kama kuzuia mikutano ya hadhara ya kisiasa, anawapinga bila kuogopa.

My Take.
Wanabodi, hoja sio nani ni mkweli na nani ni muongo kati ya Mhe. Zitto na rais Magufuli, but automatically rais Magufuli ndio mkweli na Zitto atakuwa ndie muongo, anastahili akamatwe, ashitakiwe kwa uchochezi!.

NB. Ukiona mtu amesema hadharani kuwa rais Magufuli amedanganya, na mtu huyo hajachukuliwa hatua zozote, lakini kwa vile rais hawezi kudanganya, then wenye akili mtajua mkweli ni nani!.
Paskali
We una mavi debe yamekubana si bure .

Kwa hiyo Raisi akitangaza Kinyesi ni chakula halali wewe utakula . Kuna watu nimabourggous mpaka mnatia kichefuchefu. Sijui mliwezaje kujinga Jforum
 
Zitto katudanga juzi kuwa Serengeti Boys wamefuzu kutoka ''credible sources'' hajawahi kuja hadharani kuomba radhi kwa upotoshaji....mwache tu alituahidi kigoma huduma za bima ya afya hadi sasa hata vitambulisho tu hakuna mwaka 2020 atakuja kutoa hesabu...JPM keshatimiza yake.
Ha ha ha nayeye anataka akamatwe,awekwe ndani...ili umaarufu wake ukue!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom