Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 20,517
- 30,587
Pale tulipigwaDorotia mambo yake valuvalu sana,hii wizara na naibu wake huwa hawaeleweki.
Taarifa hazijitoshelezi kwa umma.
Kama vipi wapitishie taarifa kwa msemaji wa serikali ili amdadisi kwanza kabla ya walaji.