Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,734
- 6,292
Anaandika Mh Zitto Kabwe:
69% ya wagonjwa wote wakisaidiwa kwa mashine?
1) Hizi takwimu sio za kweli kwa maana wagonjwa ni wengi zaidi ya hao.
2) Waziri kaamua kusema Hata kwenye idadi ya wanaosaidiwa kupumua.
3) Huyu Waziri haaminiki kwa sababu aliongoza Kampeni ya Watu kunywa Sumu. AFUKUZWE KAZI
Katika kila wagonjwa wa UVIKO-19 nchini, 7 wanatumia mitungi ya Gesi! Hii ni rekodi ya Dunia. Haiwezekani, wagonjwa ni wengi zaidi. Kama wenye kutumia msaada wa Gesi ni hao basi wagonjwa ni mara 600 ya hao wanaotajwa.
Tuendelee kujilinda
Lakini pia Mwanaharakati Maria Sarungi aliongezea katika ukurasa wake: