kugegedana tunafanyaje? hawa wala kitimoto wanapumua ka faruhalafu unakuta mijitu imekusanyika kwenye maeneo mbalimbali, kwenye mabasi n.k huku wakipumuliana na kupigiana chafya!!!
Jamani eeeh! Vaeni barakoa kwa usahihi, tuache ubishi tutakwisha, tutapupitika!!
tuvae barakoa kwa usahihi, tusivae barakoa kwenye videvu, kichani, au kuijaza mdomoni.
Vaa barakoa saizi yako usivae barakoa ya mtoto mdogo, vaa barakoa kwa usahihi.
Sent using Jamii Forums mobilvipikugegedena?