Kama akili ni nywele basi we mwenzetu ni za kwapaniJamani kikubwa cha kujiuliza ni kwa nini Zitto atoe maneno haya Wiki hii na hasa Leo Jumatatu wiki inayoendea kwenye Uchaguzi wa Mwenyekiti Chadema??? Zingatia pia Alokuwa mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Tabora (ambaye anahisiwa kuwa ni sehemu ya genge la ZK amemuwekea Pingamizi Mbowe). Kubwa hapa ZK ameshuhudia chaguzi mbalimbali za chama zikienda bila kukwama kama ambavyo walitegemea iwe, sasa anajaribu kuingiza chuki na vurugu ili mikutano ilobaki ivurugike. Nawashauri Viongozi wa Chadema Makao makuu kuwa makini na chanzo chochote cha vurugu ili kulinda uchaguzi uishe salama.
Jamani kikubwa cha kujiuliza ni kwa nini Zitto atoe maneno haya Wiki hii na hasa Leo Jumatatu wiki inayoendea kwenye Uchaguzi wa Mwenyekiti Chadema??? Zingatia pia Alokuwa mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Tabora (ambaye anahisiwa kuwa ni sehemu ya genge la ZK amemuwekea Pingamizi Mbowe). Kubwa hapa ZK ameshuhudia chaguzi mbalimbali za chama zikienda bila kukwama kama ambavyo walitegemea iwe, sasa anajaribu kuingiza chuki na vurugu ili mikutano ilobaki ivurugike. Nawashauri Viongozi wa Chadema Makao makuu kuwa makini na chanzo chochote cha vurugu ili kulinda uchaguzi uishe salama.
Zitto, ni kazi rahisi tu. Mbona Kafulila aliomba msamaha n kasamehewa na sasa anafanya vizuri tu kwenye chama chake? Maliza tofauti mkuu urudi kundini maana umepotea sana na sioni dalili yoyote ya kuinuka kwako
Jamani kikubwa cha kujiuliza ni kwa nini Zitto atoe maneno haya Wiki hii na hasa Leo Jumatatu wiki inayoendea kwenye Uchaguzi wa Mwenyekiti Chadema??? Zingatia pia Alokuwa mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Tabora (ambaye anahisiwa kuwa ni sehemu ya genge la ZK amemuwekea Pingamizi Mbowe). Kubwa hapa ZK ameshuhudia chaguzi mbalimbali za chama zikienda bila kukwama kama ambavyo walitegemea iwe, sasa anajaribu kuingiza chuki na vurugu ili mikutano ilobaki ivurugike. Nawashauri Viongozi wa Chadema Makao makuu kuwa makini na chanzo chochote cha vurugu ili kulinda uchaguzi uishe salama.
Jamani kikubwa cha kujiuliza ni kwa nini Zitto atoe maneno haya Wiki hii na hasa Leo Jumatatu wiki inayoendea kwenye Uchaguzi wa Mwenyekiti Chadema??? Zingatia pia Alokuwa mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Tabora (ambaye anahisiwa kuwa ni sehemu ya genge la ZK amemuwekea Pingamizi Mbowe). Kubwa hapa ZK ameshuhudia chaguzi mbalimbali za chama zikienda bila kukwama kama ambavyo walitegemea iwe, sasa anajaribu kuingiza chuki na vurugu ili mikutano ilobaki ivurugike. Nawashauri Viongozi wa Chadema Makao makuu kuwa makini na chanzo chochote cha vurugu ili kulinda uchaguzi uishe salama.
Angekuwa anatokea kaskazini wala asingefitinishwa