ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 19,737
- 28,298
Sikiliza utetezi wake kwanza ndio utoe maoni yako ........!!ndio maana tuna laana waliotakiwa kukaa jela ndio wamepewa madaraka kama akina bashite
Sikiliza utetezi wake kwanza ndio utoe maoni yako ........!!ndio maana tuna laana waliotakiwa kukaa jela ndio wamepewa madaraka kama akina bashite
Sipigi kampeni na wala hakuna sehemu niliyosema Lisu atawawajibisha!!TLS ni chama cha mwanasheria hakina nguvu wala uwezo wa kumwajibisha yeyote nje ya chama zaidi ya wanachama wao acha porojo Na kampeni zililizo chini ya kiwango
Mnamkamata mtu kwa kosa lenye dhamana. Mahakama Kuu inaruhusu dhamana. Serikali inakataa rufaa kuzuia dhamana. Mtu anakaa jela miezi 4, tena mwakilishi wa watu. Siku ya hukumu kuhusu dhamana Serikali inaondoa shauri mbele ya jopo la majaji 3.
Lengo? Kumkomoa mtu. Siasa za ukomoaji zinajenga chuki kwenye jamii na chuki inazaa visasi.
Haitoshi majaji kukemea Ofisi ya DPP. Mfumo wetu lazima uweke uwezo wa waendesha mashtaka wa aina ya kesi ya Mbunge wa Arusha Mjini kuwajibishwa. Wanasheria tazameni namna ya kuwajibisha ofisi ya DPP kwa uonevu wa makusudi dhidi ya wananchi
Tangu lini msaliti wa mabadiliko akawa na akili?Zitto ww una akili nyingi
Sitegemei maendeleo zaidi ya kurudi nyuma kimaendeleo kama tu mwendo wenyewe utakuwa wa hvi(chuki)Mnamkamata mtu kwa kosa lenye dhamana. Mahakama Kuu inaruhusu dhamana. Serikali inakataa rufaa kuzuia dhamana. Mtu anakaa jela miezi 4, tena mwakilishi wa watu. Siku ya hukumu kuhusu dhamana Serikali inaondoa shauri mbele ya jopo la majaji 3.
Lengo? Kumkomoa mtu. Siasa za ukomoaji zinajenga chuki kwenye jamii na chuki inazaa visasi.
Haitoshi majaji kukemea Ofisi ya DPP. Mfumo wetu lazima uweke uwezo wa waendesha mashtaka wa aina ya kesi ya Mbunge wa Arusha Mjini kuwajibishwa. Wanasheria tazameni namna ya kuwajibisha ofisi ya DPP kwa uonevu wa makusudi dhidi ya wananchi
Ni kuteuliwa mkuu sio kuchaguliwa.DPP anachaguliwa na Rais hakuna mwenye uwezo wa kumwajibisha
Katiba ya wananchi kupitia Jaji Warioba ndio itakata mzizi wa fitna vinginevyo tunajiongezea misalaba tuDPP anachaguliwa na Rais hakuna mwenye uwezo wa kumwajibisha
Katiba ya wananchi kupitia Jaji Warioba ndio itakata mzizi wa fitna vinginevyo tunajiongezea misalaba tuDPP anachaguliwa na Rais hakuna mwenye uwezo wa kumwajibisha
Mawakili WA Serikali hawapo TLS! WAO WAPO CHINI YA ATTORNEY GENERAL! INGAWA A.G HUWA Wakili Namba 1 kwa wote!Tusubiri TLS watawapa adhabu gani hao mawakili wa DPP/AG waliotumia mfumo kumwonea mtu. Hapo ndio tutajua TLS ipokwa ajili ya haki na wanyonge