Zitto: Wanasheria tazameni namna ya kuwajibisha ofisi ya DPP kwa uonevu wa Lema na wananchi wengine

Reucherau

JF-Expert Member
Nov 26, 2014
756
1,740
Mnamkamata mtu kwa kosa lenye dhamana. Mahakama Kuu inaruhusu dhamana. Serikali inakataa rufaa kuzuia dhamana. Mtu anakaa jela miezi 4, tena mwakilishi wa watu. Siku ya hukumu kuhusu dhamana Serikali inaondoa shauri mbele ya jopo la majaji 3.

Lengo? Kumkomoa mtu. Siasa za ukomoaji zinajenga chuki kwenye jamii na chuki inazaa visasi.

Haitoshi majaji kukemea Ofisi ya DPP. Mfumo wetu lazima uweke uwezo wa waendesha mashtaka wa aina ya kesi ya Mbunge wa Arusha Mjini kuwajibishwa. Wanasheria tazameni namna ya kuwajibisha ofisi ya DPP kwa uonevu wa makusudi dhidi ya wananchi
 
DPP anachaguliwa na Rais hakuna mwenye uwezo wa kumwajibisha

Hahahhahahahahahahah unajifariji eh?Inakuwa unatumia madaraka yako vibaya ubatumbuliwa tu.Hakuna kulilia ati nimeteuliwa na Rais fanya kazi kulingana na Katiba na Sheria za nchi zinavyotaka.

DPP ni mwanasheria kwa taaluma anajua na ana uwezo wa kutafsiri sheria,hivyo Wanasheria wanahaki kabisa ya kutafuta njia ya kumtumbua DPP hafai hata kuwakilisha kuku
 
Mnamkamata mtu kwa kosa lenye dhamana. Mahakama Kuu inaruhusu dhamana. Serikali inakataa rufaa kuzuia dhamana. Mtu anakaa jela miezi 4, tena mwakilishi wa watu. Siku ya hukumu kuhusu dhamana Serikali inaondoa shauri mbele ya jopo la majaji 3.

Lengo? Kumkomoa mtu. Siasa za ukomoaji zinajenga chuki kwenye jamii na chuki inazaa visasi.

Haitoshi majaji kukemea Ofisi ya DPP. Mfumo wetu lazima uweke uwezo wa waendesha mashtaka wa aina ya kesi ya Mbunge wa Arusha Mjini kuwajibishwa. Wanasheria tazameni namna ya kuwajibisha ofisi ya DPP kwa uonevu wa makusudi dhidi ya wananchi
Hii ni hoja nzito inayohitaji kufuatiliwa kwa karibu. Na ikidhihirika kuna uonevu toka kwa mwendesha mashtaka hatua za kisheria ufuate.
 
Mnamkamata mtu kwa kosa lenye dhamana. Mahakama Kuu inaruhusu dhamana. Serikali inakataa rufaa kuzuia dhamana. Mtu anakaa jela miezi 4, tena mwakilishi wa watu. Siku ya hukumu kuhusu dhamana Serikali inaondoa shauri mbele ya jopo la majaji 3.

Lengo? Kumkomoa mtu. Siasa za ukomoaji zinajenga chuki kwenye jamii na chuki inazaa visasi.

Haitoshi majaji kukemea Ofisi ya DPP. Mfumo wetu lazima uweke uwezo wa waendesha mashtaka wa aina ya kesi ya Mbunge wa Arusha Mjini kuwajibishwa. Wanasheria tazameni namna ya kuwajibisha ofisi ya DPP kwa uonevu wa makusudi dhidi ya wananchi
Tusubiri TLS watawapa adhabu gani hao mawakili wa DPP/AG waliotumia mfumo kumwonea mtu. Hapo ndio tutajua TLS ipokwa ajili ya haki na wanyonge
 
Mnamkamata mtu kwa kosa lenye dhamana. Mahakama Kuu inaruhusu dhamana. Serikali inakataa rufaa kuzuia dhamana. Mtu anakaa jela miezi 4, tena mwakilishi wa watu. Siku ya hukumu kuhusu dhamana Serikali inaondoa shauri mbele ya jopo la majaji 3.

Lengo? Kumkomoa mtu. Siasa za ukomoaji zinajenga chuki kwenye jamii na chuki inazaa visasi.

Haitoshi majaji kukemea Ofisi ya DPP. Mfumo wetu lazima uweke uwezo wa waendesha mashtaka wa aina ya kesi ya Mbunge wa Arusha Mjini kuwajibishwa. Wanasheria tazameni namna ya kuwajibisha ofisi ya DPP kwa uonevu wa makusudi dhidi ya wananchi
Kuna masuluhisho makuu matatu kwakuwa pia huyo DPP anateuliwa na Rais hayoooo 3
1. Katiba mpya.
2. Katiba mpya.
3. Katiba mpya
Na katika katiba mpya iangalie baadhi ya wateule haswa wanaohusu mwimili mwingine kama mahakama na bunge na namna ya upatikanaji na uwajibikaji, mfano mzuri ni (Tulia )
Alafu
Ona mpaka Leo jamaa , mteule wa cheti bandia anadunda mtaani na land cruiser la kodi zetu, ingekuwa kwa wenzetu fununu tu zingetosha kujiuzulu

Note: 1. Katiba
2. Katiba
3. Katiba
 
56 Reactions
Reply
Back
Top Bottom