inakiukaje s
Naunga mkono hoja, hata kama hakuna hatua zitakazochukuliwa lakini wananchi watazidi kufahamu jinsi gani awamu hii ya tano inaongoza kwa kukiuka sheria.[/QUOTE
Inakiukaje sheria awamu hii!! hivi mbona tunawakuwa wanafki sana ss watanzania jamani..! ya JK ilisemwa weeeeee ila now inakumbukwa hata hii itakuja kuonekana sana ni better kwa kweli!! na sheria ipi imepuuzwa hapa?? je wewe ungelifanya lipi ili uone imenyooka?? ufafanuzi tafadhari hapa