sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
Kwanza nianze na Moderetor jamani punguzeni Bifu na sisi SUKUMA Land people na nikisema sukuma Land, tambua ni watu hawa ukiondoa wale wanafiki wakina msukuma, na wenzake hao tutakutana nao kwny uchaguzi 2025.
Sukuma Land ni WA mwanza, Geita, kagera simiyu,Mara na shinyanga na Tabora sisi sote tuna mpenda Raisi wetu ambaye alikufa paspo kumaliza muda wake.
Raisi wetu amekufa mwka mmoja uliopita yeye Ndo amekuwa wimbo wa Taifa au Sala ya Baba yetu kwa wakatoliki kira uchwao ananangwa na viroboto uchwara hapa hasa wale malaya wa siasa Wana mnaganga na Moderetor uko kiimnya SSI hatukubali Haina mmaana na sisi hatupo humu.
Tupo na tumejaa kama pishi la pilau sema tumenyuti tu.
Eleweni tumenyuti tu, swali fikirishi hivi zitto kabwe hakumpenda Mama yake mbona hajawai zikwa karbu na kaburi la mamayke?
Leo anakuja n kauli hizo kwetu eti tukazikwe chato yeye mbona hajazikwa kigoma au wapi aliko zikwa mama yake?
Suala. La wiz wa Mali za umma sio ishu la Raisi tu ni la Watanzania wote tukemeane.
Sukuma Land ni WA mwanza, Geita, kagera simiyu,Mara na shinyanga na Tabora sisi sote tuna mpenda Raisi wetu ambaye alikufa paspo kumaliza muda wake.
Raisi wetu amekufa mwka mmoja uliopita yeye Ndo amekuwa wimbo wa Taifa au Sala ya Baba yetu kwa wakatoliki kira uchwao ananangwa na viroboto uchwara hapa hasa wale malaya wa siasa Wana mnaganga na Moderetor uko kiimnya SSI hatukubali Haina mmaana na sisi hatupo humu.
Tupo na tumejaa kama pishi la pilau sema tumenyuti tu.
Eleweni tumenyuti tu, swali fikirishi hivi zitto kabwe hakumpenda Mama yake mbona hajawai zikwa karbu na kaburi la mamayke?
Leo anakuja n kauli hizo kwetu eti tukazikwe chato yeye mbona hajazikwa kigoma au wapi aliko zikwa mama yake?
Suala. La wiz wa Mali za umma sio ishu la Raisi tu ni la Watanzania wote tukemeane.