MIMI BABA YENU
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 295
- 679
Ifike wakati wanasiasa wenye hulka kama za Zitto Kabwe kumpa heshima Hayati Magufuli kama anavyompa heshima marehemu mama yake mzazi ambaye pia ametangulia mbele za haki.
Zitto ulilia Bungeni baada ya Marehemu Mama yako kutajwa katika tujuma zako, Iweje umdhihaki Hayati Magufuli? kwa kusema hadharani kuwa wale wanaompenda sana Magufuli waende Chato wakachimbe kaburi pembeni ya kaburi la Magufuli kisha wajizike
Zitto, Je, nawe kukikwambia kuwa kama unapenda mama yako uende ukachimbe kaburi pembeni ya kaburi la Mama yako kisha ujizike utajisikiaje.
Zitto ulilia Bungeni baada ya Marehemu Mama yako kutajwa katika tujuma zako, Iweje umdhihaki Hayati Magufuli? kwa kusema hadharani kuwa wale wanaompenda sana Magufuli waende Chato wakachimbe kaburi pembeni ya kaburi la Magufuli kisha wajizike
Zitto, Je, nawe kukikwambia kuwa kama unapenda mama yako uende ukachimbe kaburi pembeni ya kaburi la Mama yako kisha ujizike utajisikiaje.