johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,766
Kwani Zitto ni kabila gani?Zitto kinachomtesa ni udini na ukabila
Kwani Zitto ni kabila gani?Zitto kinachomtesa ni udini na ukabila
Zitto Kabwe ameyataka mwenyewe.Au zitto aje ajibu
Kaka ni noumer; ukweli wiki imeisha vizuri sana kwa Man U kufungwa tena nyumbani kwake, it reminded me miaka ya 90 huko when these teams were real giants in football
Najua katangulia ilaa daa, roho imeniuma sana baada ya kusikia sister hadi leo bado yupo singo; imeniuma sana. Ngoja nitafute pesa tu kaka, vitu vizuri kama vile vinatakiwa kua na mtuDada katangulia sauzi usijari kaenda weka mambo sawa unaambiwa na kifungulia kafungulia
Nimewahi kuandika Uzi wa kwa nini zitto hakutaka kuzikwa pembeni mwa kaburi la M/kiti wake msaidiziKwanza nianze na Moderetor jamani punguzeni Bifu na sisi SUKUMA Land people na nikisema sukuma Land, tambua ni watu hawa ukiondoa wale wanafiki wakina msukuma, na wenzake hao tutakutana nao kwny uchaguzi 2025.
Sukuma Land ni WA mwanza, Geita, kagera simiyu,Mara na shinyanga na Tabora sisi sote tuna mpenda Raisi wetu ambaye alikufa paspo kumaliza muda wake.
Raisi wetu amekufa mwka mmoja uliopita yeye Ndo amekuwa wimbo wa Taifa au Sala ya Baba yetu kwa wakatoliki kira uchwao ananangwa na viroboto uchwara hapa hasa wale malaya wa siasa Wana mnaganga na Moderetor uko kiimnya SSI hatukubali Haina mmaana na sisi hatupo humu.
Tupo na tumejaa kama pishi la pilau sema tumenyuti tu.
Eleweni tumenyuti tu, swali fikirishi hivi zitto kabwe hakumpenda Mama yake mbona hajawai zikwa karbu na kaburi la mamayke?
Leo anakuja n kauli hizo kwetu eti tukazikwe chato yeye mbona hajazikwa kigoma au wapi aliko zikwa mama yake?
Suala. La wiz wa Mali za umma sio ishu la Raisi tu ni la Watanzania wote tukemeane.
Kiburi cha uzima!Zitto anatoa kauli za kuwaumiza walio hai.
kamwe hawezi kuwa mwanasiasa bora
kwasababu kwenye ulimwengu wa siasa mambo yanabadilika
Labda Zitto Kabwe mwenyewe aliwaagiza wafute!Nimewahi kuandika Uzi wa kwa nini zitto hakutaka kuzikwa pembeni mwa kaburi la M/kiti wake msaidizi
Uzi wangu ulifyeka na nilighadhabika sana, nikajiuliza, uhalali wa Uzi wa zitto kuwepo hapa ni UPI ikiwa Uzi ambao unaendana na Uzi wake umefutwa iweje wake uendelee kuwepo?
Moderator muaje uonezi aisee
Kaka kweli tupo single ahahaha hahaha na Mimi nazichangaNajua katangulia ilaa daa, roho imeniuma sana baada ya kusikia sister hadi leo bado yupo singo; imeniuma sana. Ngoja nitafute pesa tu kaka, vitu vizuri kama vile vinatakiwa kua na mtu
Mtazikwa nyieZitto hakumwona mama yake malaika na Mungu mtu. Zitto alimpenda mama yake kwa dhati ya moyo wake siyo kumwabudu au kumshuhudia. Mpo nyie vihelehele wa mwendazake. Tumeshachimba makaburi yenu Chato njooni tuwazike.
Chief acha poroja za utoto basi!.Umeanza kutokwa povu mapema sana.
Umekunywa chai kwanza?
Tutafute pesa mkuu, ukiwahi wewe sawa tu nitakuunga mkno, nikiwahi pia kuzipata niunge mkno, ni matumizi mabaya ya rasilimali kwa mtoto kama yule kua SINGO; halafu kwa mama mkwe anaweza kuwasiliana nae vizuri maanake pamoja na rangi yake lakini anaongea kiswahili vizuri tuKaka kweli tupo single ahahaha hahaha na Mimi nazichanga
Lakini kiongizi wa wasukuma si alisema akitoweka sayarini hapa atakwenda kuwalimisha malaika huko akheraKwanza nianze na Moderetor jamani punguzeni Bifu na sisi SUKUMA Land people na nikisema sukuma Land, tambua ni watu hawa ukiondoa wale wanafiki wakina msukuma, na wenzake hao tutakutana nao kwny uchaguzi 2025.
Sukuma Land ni WA mwanza, Geita, kagera simiyu,Mara na shinyanga na Tabora sisi sote tuna mpenda Raisi wetu ambaye alikufa paspo kumaliza muda wake.
Raisi wetu amekufa mwka mmoja uliopita yeye Ndo amekuwa wimbo wa Taifa au Sala ya Baba yetu kwa wakatoliki kira uchwao ananangwa na viroboto uchwara hapa hasa wale malaya wa siasa Wana mnaganga na Moderetor uko kiimnya SSI hatukubali Haina mmaana na sisi hatupo humu.
Tupo na tumejaa kama pishi la pilau sema tumenyuti tu.
Eleweni tumenyuti tu, swali fikirishi hivi zitto kabwe hakumpenda Mama yake mbona hajawai zikwa karbu na kaburi la mamayke?
Leo anakuja n kauli hizo kwetu eti tukazikwe chato yeye mbona hajazikwa kigoma au wapi aliko zikwa mama yake?
Suala. La wiz wa Mali za umma sio ishu la Raisi tu ni la Watanzania wote tukemeane.
Acheni siasa za ukabila.Kwanza nianze na Moderetor jamani punguzeni Bifu na sisi SUKUMA Land people na nikisema sukuma Land, tambua ni watu hawa ukiondoa wale wanafiki wakina msukuma, na wenzake hao tutakutana nao kwny uchaguzi 2025.
Sukuma Land ni WA mwanza, Geita, kagera simiyu,Mara na shinyanga na Tabora sisi sote tuna mpenda Raisi wetu ambaye alikufa paspo kumaliza muda wake.
Raisi wetu amekufa mwka mmoja uliopita yeye Ndo amekuwa wimbo wa Taifa au Sala ya Baba yetu kwa wakatoliki kira uchwao ananangwa na viroboto uchwara hapa hasa wale malaya wa siasa Wana mnaganga na Moderetor uko kiimnya SSI hatukubali Haina mmaana na sisi hatupo humu.
Tupo na tumejaa kama pishi la pilau sema tumenyuti tu.
Eleweni tumenyuti tu, swali fikirishi hivi zitto kabwe hakumpenda Mama yake mbona hajawai zikwa karbu na kaburi la mamayke?
Leo anakuja n kauli hizo kwetu eti tukazikwe chato yeye mbona hajazikwa kigoma au wapi aliko zikwa mama yake?
Suala. La wiz wa Mali za umma sio ishu la Raisi tu ni la Watanzania wote tukemeane.
Kaka ukiniwai Mimi sikuungi mkono utamu ufaidi ww alafu mkono niunge mieTutafute pesa mkuu, ukiwahi wewe sawa tu nitakuunga mkno, nikiwahi pia kuzipata niunge mkno, ni matumizi mabaya ya rasilimali kwa mtoto kama yule kua SINGO; halafu kwa mama mkwe anaweza kuwasiliana nae vizuri maanake pamoja na rangi yake lakini anaongea kiswahili vizuri tu
inaonekana kwa sasa Zitto kafilisika kisiasaKwanza nianze na Moderetor jamani punguzeni Bifu na sisi SUKUMA Land people na nikisema sukuma Land, tambua ni watu hawa ukiondoa wale wanafiki wakina msukuma, na wenzake hao tutakutana nao kwny uchaguzi 2025.
Sukuma Land ni WA mwanza, Geita, kagera simiyu,Mara na shinyanga na Tabora sisi sote tuna mpenda Raisi wetu ambaye alikufa paspo kumaliza muda wake.
Raisi wetu amekufa mwka mmoja uliopita yeye Ndo amekuwa wimbo wa Taifa au Sala ya Baba yetu kwa wakatoliki kira uchwao ananangwa na viroboto uchwara hapa hasa wale malaya wa siasa Wana mnaganga na Moderetor uko kiimnya SSI hatukubali Haina mmaana na sisi hatupo humu.
Tupo na tumejaa kama pishi la pilau sema tumenyuti tu.
Eleweni tumenyuti tu, swali fikirishi hivi zitto kabwe hakumpenda Mama yake mbona hajawai zikwa karbu na kaburi la mamayke?
Leo anakuja n kauli hizo kwetu eti tukazikwe chato yeye mbona hajazikwa kigoma au wapi aliko zikwa mama yake?
Suala. La wiz wa Mali za umma sio ishu la Raisi tu ni la Watanzania wote tukemeane.