Mazindu Msambule
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 7,509
- 6,862
Haa ha ha ha, acha roho mbaya mkuu, connection tumeisha peana nyingi, hili jambo dogo sana kutugombanisha mkuuKaka ukiniwai Mimi sikuungi mkono utamu ufaidi ww alafu mkono niunge mie
Haa ha ha ha, acha roho mbaya mkuu, connection tumeisha peana nyingi, hili jambo dogo sana kutugombanisha mkuuKaka ukiniwai Mimi sikuungi mkono utamu ufaidi ww alafu mkono niunge mie
Ngoja atupe.Zito ana ushahidi wa ufisadi wa Magufuli?
Zitto kinachomtesa ni udini na ukabila
We ni mahakama?Madai mazitto kuliko zitto mwenyewe, waweza thibitisha??!
Kamhukumu mumeoMimi ni hakimu binafsi.
CAG aulizwe kwa kukusaidia.Zito ana ushahidi wa ufisadi wa Magufuli?
Hata kama wapinzani wako kwa ajili ya matumbo yao ndiyo risasi 16 kweli???Magufuli hakuwa mjinga kuwa dhibiti hawa watu. Hawa na wenzao ni mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo.
Tanzania hakuna upinzani. Upinzani wapo kwa Ajili ya Matumbo yao.
Upinzani wa kweli utatoka ndani ya CCM naamini ndani ya CCM yupo Magufuli Mwingine Ambaye Atakuja kumalizia kazi nzuri Aliyoiacha Magufuli.
Nakubaliana kabisa!Acheni siasa za ukabila.
Kuna Wasukuma wengine hatukukubaliana na Magufuli.
Utateseka hapa duniani na bado ukifa watu hawatakubari wakuache upumzikeKila siku Magu hakuna kupumzika hiyo.
Magu.alikua mwizi mkubwa sanaKiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo amesema wale wanaompenda sana Magufuli waende Chato wakachimbe kaburi pembeni ya kaburi la Magufuli kisha wajizike
Zitto amesema zamani watu ambao ni walikuwa ni viherehere wanaojidai wanawapenda sana wafalme au watemi walikuwa wakizikwa pamoja na wafalme hao walipokuwa wanazikwa
Amesema hayo kwenye mjadala kuhusu ufisadi wa Hayati Magufuli ambapo amesema kwa mujibu wa ripoti ya CAG iliyopita Magufuli alikuwa na kikundi chake Tanroads ambacho alikuwa akitoa tenda kama za kujenga viwanja vya ndege, kujenga viwanda licha ya Tanroads kutohusika na kusababisha tends hizo kufanyiwa kwa gharama kubwa kuliko ilivyotakiwa ama kutofanyika kabisa
Zitto alieleza pia Magufuli bila kufuata Taratibu alitoa tenda nyingi kwa kampuni yake ya Mayanga Construction ya kujenga kiwanja cha kimataifa cha ndege Chato wilaya aliyotoka Magufuli na kusema hakuna Rais katika historia ya Tanzania amewahi kufanya hivyo.
Lia kabisa hadi ufe!!!Huyu mtu kipindi kile Dkt Magufuli anapata matatizo kule Mtwara, yeye na genge lake aliposti akimpongeza Mama Samia kuwa Rais, ila baadaye Dkt Magufuli akaibuka kumbe wakatumia mbinu nyingine na wakamuua na sasa bado wanashangilia. Hakika inauma sana tena machozi hapa yananitoka. Iko siku iko siku hizi hasira mtakuja kuziona.
Legacy uchwara ya kulindwa na mitutu inazidi kudidimia.
Tulishasema kuwa hakuna cha legacy hapo
Akiona anachelewa anywe sumu kabisaLia kabisa hadi ufe!!!