Zitto, unatuachaje?

Zitto, unatuachaje?

Ifikie wakati tuache kujinasibu jukwaani kwakujipachika UKigoma FEKI,unakuta mtu katoka burundi kafikia kigoma kapokelewa vizuri,baada ya muda nae anaanza kujiita mkigoma na hatimae kujipa uraia wa tanzania kwakuanza kukashifu viongozi makini wakati hajui kigoma imetoka wapi na inakwenda wapi.Mtoa mada usitufanye tuanzekufikiria upuuzi wa waSouth Africa tukawa...bureee.
 
Kwani maweni ni Hospitali ya jimbo au hopt ya Rufaa mkoa?Unaoishi kigoma ndo tunaujua umuhimu Zitto.

Halafu bado anajichanganya eti kibirizi wanakipindupindu hivi kibirizi ipo Kigoma kaskazini au Kigoma mjini kwa Serukamba?
 
Kwi kwi kwi kwi ahadi walizotoa pesa za mfuko wa majimbo.

Wanasema matatizo yataisha lini?

Wee kweli hamnazo niambie jimbo gan dunian lilioisha matatizo ambao wananchi wake wamelidhika kabisa
 
Acha unafiki kawaulize wakulima wa kahawa, watu hamna jema hata kama hakuna tangible alizo acha hata goodwill huzioni ukienda mikoani ukasema unatoka kigoma unaulizwa kwakina zitto? watu wengi wa kigoma mmeanza kujitaja kuwa ni wa kigoma baada ya zzk kupata umaarufu wengine mlikuwa mmeshapakana kgm muwe wakweli kuheat kwa zzk kumesababisha wakazi wengi wa kg kuanza hata kuchenga nyumba walizo zitelekeza zzk kaleta unification utakataa kwa sababu ya ubongo wako kuwa mfinyu wa kufikili lakini ukweli utabakia palepale kwamba mkiacha kumchagua zzk mtakuwa mmejidharau wenyewe.
 
amewaanzishia chama ambacho waha mtakuwa na nafasi ya kugombea popote pale hilo hamlioni wazee, just mnaweka jina mgombea waCCM anakuja anakupa millioni 10 unajitoa then hiyo milioni kumi unafanya biashara ya migebuka, siku zinaenda
 
Acha unafiki kawaulize wakulima wa kahawa, watu hamna jema hata kama hakuna tangible alizo acha hata goodwill huzioni ukienda mikoani ukasema unatoka kigoma unaulizwa kwakina zitto? watu wengi wa kigoma mmeanza kujitaja kuwa ni wa kigoma baada ya zzk kupata umaarufu wengine mlikuwa mmeshapakana kgm muwe wakweli kuheat kwa zzk kumesababisha wakazi wengi wa kg kuanza hata kuchenga nyumba walizo zitelekeza zzk kaleta unification utakataa kwa sababu ya ubongo wako kuwa mfinyu wa kufikili lakini ukweli utabakia palepale kwamba mkiacha kumchagua zzk mtakuwa mmejidharau wenyewe.

Aliyekuambia tunatafuta status nani???
Welfare ndo kila kitu
 
Mmemchoka Mwami Kabwe, mbona naskia kuna High School mbili anawaachia na Ambulance juu.
 
mwezenu kaanzisha chama cha kizalendo, jiungeni naye ili awatetee zaidi ili msonge mbele.
 
Mmemchoka Mwami Kabwe, mbona naskia kuna High School mbili anawaachia na Ambulance juu.

Hatuna High School hata mmoja ya umma!
Ukiacha ile ya mazingira ya Goseso ambayo inammilikiwa na Dr. Yared Fubusa, tumaini jipya la wanakigoma kask.. Kupitia Chadema.
 
Zitto ni tapeli wa kisaisa kigoma kazkazini iko hai kimaendeleo hata pale mwandiga imekaa kama kijiwe cha kupiga story hamna maendeleo wala ujenzi
 
Zitto n mmoja kat ya wanasiasa wachache wa nchi hii wanaojitambua na kujielew sn... Na ndio maana wale walio wa chache wanaomchukia na kumzushia mambo km ww muanzia mada huwa mnaishia Njian na kumuacha kjana wa kabwe mbele akiendeleo kulikomboa taifa..
 
Wewe punguani kweli hii nayo ni hoja?
hivi Ritz unajua kuna upunguani wa aina mbili, wa akili au ujinga, huyu jamaa naona kama punguani wa ujinga ila wewe punguani wa akili...shikamo bosi wa lumumba
 
Back
Top Bottom