mbona anadai kila kitu mlichotaka katimiza na kwamba baada ya kuona uwezo wake wakazi wa kigoma mjini wakiongozwa na serukamba wamemuomba asaidie kigoma mjini kuwa kama dubai .
Mkuu ukishamaliza hii ya Zitto tuamie kwa Hawa makamanda.
1) John Mnyika
2) Joseph Mbilinyi
3) Godbless Lema
4) Wenye
Hawa nao wamewaachaje wapiga kura wao.
Wewe punguani kweli hii nayo ni hoja?Zito kanenepea Chadema
Amewasaidia kuangusha baraza la mawaziri mara tatu kama anavyodai. Vipi hamkufaidi kuangushwa baraza la mawaziri wa JK?
Kwi kwi kwi kwi ahadi walizotoa pesa za mfuko wa majimbo.Hao wanasema matatizo bado yapo, wanaomba muda zaidi wayatatue pamoja.... Hawajawacha wapiga kura wao.
Treni ya kisasa huioni? Kigoma sasa hivi kuna maendeleo kupita Moshi Kilimanjaro
Kwi kwi kwi kwi ahadi walizotoa pesa za mfuko wa majimbo.
Wanasema matatizo yataisha lini?
amesaidi sisi kuwajua watu wa kigoma ni namna gani...
Nyie watani zangu wa Kgoma acha mteseke mana mna tabia ya usaliti kupindukia...te te teh.........
Wabunge wote wa Chadema, uwa nacheka sana uteteza wa Chadema ukihoji kuhusu wabunge wao kutimiza ahadi zao wanarukia CCM na kujenga hoja kama za kwako.Miaka 54 ya uhuru equivalent to 5 ya ubunge.
Wabunge wote wa Chadema, uwa nacheka sana uteteza wa Chadema ukihoji kuhusu wabunge wao kutimiza ahadi zao wanarukia CCM na kujenga hoja kama za kwako.
Kwa hiyo nyie na CCM hamna tofauti?