Sasa mnatuchanganya, mara Maduhuli au Gwio, mara mapato ghafi au Divident kweni sheria inasemaje? ..hatari niliyoiona mara moja ni kwamba Sumatra mwenzao katoa vipi Tanroad asippotoa mwakani anafungiwa? yaani mihela yote ile kwenye mzani yeye anatia ndani? na akifungiwa yeye kweli Muhimbili naye aataachwa kwani kutoa maiti kwa mwezi inatosha kulipa gawio la mwaka mzima, Narco je kila siku wanauza nyama na ngombe etc, nafikiri ktk zile options zilizotolewa wakuu wa mashirika na Bodi zao wasiotaka kutoa wajiandae kabla ya mwakani kwani hawana salama kulingana na maneno mkuu aliyosema..kwamba kwenye pesa ya vikao wanalipana lakini hata kusema tuungeunge angalau tupeleke gawio kidogo hamna? (alisisitiza hapooo) nikahisi anataka kuwatumbua hapohapo lkn bahati yao kawaacha waende kuaga kabisaaa