NeverExisted
JF-Expert Member
- Apr 22, 2010
- 406
- 619
Ndio, kimsingi ndipo tunapoelekea.dah !
sasa hivi hata mtu akitoa hela mfuko wa kushoto kuweka wa kulia media zitakusanywa..
tena kwa gharama ya kodi zetu..
Ndio, kimsingi ndipo tunapoelekea.dah !
sasa hivi hata mtu akitoa hela mfuko wa kushoto kuweka wa kulia media zitakusanywa..
tena kwa gharama ya kodi zetu..
We jamaa aisee😀😀 kukumbusha neno gawio sio kwa fedha tuu, hata ukiwagawia watoto wako maandazi mawili na kitumbua kimoja, hili pia ni gawio.Mkuu Bobby, hizo ni stereo type tuu kuwa sio kila gawio lazima liwe dividends, neno gawio limetokana na neno gawa, serikali imegaiwa mgao wake wa fedha, hivyo fedha yoyote inayogaiwa ni gawio!, hata wewe ukiwagawiya watoto wako fedha za matumizi kwa viwango ulivyo wapangia, then fedha hizo ndilo gawio lao, wanao wanakuwa wamepata gawio lao la fedha za shule kutoka kwa baba yao.
P.
Tuna weza kuipata recording ya hiyo shughuli Mkuu? Maana wengine tuanaamini JF ni ya ma-GT, tuweke sawa tafadhaliZitto nahisi hakusikiliza vizuri kakimbilia kuandika na kupotosha watu. Imesemwa wazi, kuna walio toa gawio hasa wenye muundo wa kampuni na shareholding structure mf. Kadco. Baada ya hapo ikatangazwa yanakuja mashirika yanayotoa maduhuri mf. Tcra, ewura na wengine. Tofauti imesemwa wazi kwa waliosikiliza na ikatajwa kuwa ni 15% ya mapato kulingana na sheria. Zitto hoja huna tena.
Mkuu YAMETIMIASiasa zimezidi awamu hii.
Wanatoa tu hata empty cheque mbele ya TVs ili kudanganya wadanganyika.Mie nilikuwa najiuliza hao TTCL kwa line zipi au huduma gani wakatoe mabilioni yale